FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kabisa mkuu...Tunawatesaga sana wazazi wetu.
Very heartbreaking.
Hapana Yuko kuzimu na bado anateka watu. Lilidhan litaishi mileleKwa hiyo bado yupo madarakani anateka watu?
Press yake ilikua ya hovyo sana mpaka unashangaa huyu ni Mkuu wa Kanda maalum au ni muhuni tu, polisi wa TZ wana Kauli za hovyo sanaPolic Leo muliro aliongea kwa kejeli San eti wanapotea wenge the hvy jeah la polic wanajuwa jinsi ya kufanya Kaz anaongea as if kwamba anajuwa kinachoendelea kwa hao vijana et wako machimboni watarud mambo ya kiw amaguma nimesikiaa cjapenda kauli zale
CCM= MagufuliSiyo Magufuli tena?
Bado linakuchapa hata baada ya kufa?Hapana Yuko kuzimu na bado anateka watu. Lilidhan litaishi milele
Mbona mlishangilia kifo chake mkisema sasa mnapumua?CCM= Magufuli
Nikisema CCM ni chanzo cha uovu basi ujue namaanisha Magufuli ni chanzo cha uovu wote hapa nchini
Litanichapaje wakati linaliwa tigo na mapepo huko kuzimu likiendelea kukusanya kuni.Bado linakuchapa hata baada ya kufa?
Legacy yake ya mauaji na kutekana bado kuna vijana wa system wanaienzi. Ila itakomaMbona mlishangilia kifo chake mkisema sasa mnapumua?
Sasa kulikoni tena?
Si mnapumua nyie?
Mko nalo huko?Litanichapaje wakati linaliwa tigo na mapepo huko kuzimu likiendelea kukusanya kuni.
Liko na shetan linakung'utwa kweli kweli kwenye tanuru likijambajamba kea maumivu makali. Uzuri halitarudi tena kuteka, kuiba na kufisidi mali za imma na hilo li SRG halitafanikiwa kwasabab ya dhulma ya nafsi na hela za watu.Mko nalo huko?
Umejuaje kama wewe si mmoja walo?Liko na shetan linakung'utwa kweli kweli kwenye tanuru likijambajamba kea maumivu makali. Uzuri halitarudi tena kuteka, kuiba na kufisidi mali za imma na hilo li SRG halitafanikiwa kwasabab ya dhulma ya nafsi na hela za watu.
NYAMBAFF
Yes na hasa wanaume.Kabisa mkuu...
Ndoto zetu sometimes zinakua kubwa kuliko uhalisia,
Tunajikuta tunafanya vitu vingi sana..
Kabisa mkuuYes na hasa wanaume.
Wapate kuhonga wadada na wadada wapate ku slay Instagram.
Makes me so sick.
Aliiba trillion 10 kupitia iyo SRG. Na huo mradi ulikuwa hata siyo kumsaidia mtanzania alianzisha ilu apige hela. Jitu linakopa matrillion hapohapo linakuapua hayo matrillion ya mkopo. Limekufa limeondoka limetuachia zigo la mavi ya madeni tunamlipia mradi wenyewe hovyo hauna faida na hautakuwa.Umejuaje kama wewe si mmoja walo?
Mbona kama wewe ndio unaumia kuliko hilo jitu lako?
Hilo li SGR ni kwa ajili mama, bibi na babu zako wanaliwa na umasikini kule kijijini. Yeye wala halimuhusu wala familia yake maana alishaitengezea mstari tayari!
Unakwama wapi libavicha?
Pumbavuuu..Aliiba trillion 10 kupitia iyo SRG. Na huo mradi ulikuwa hata siyo kumsaidia mtanzania alianzisha ilu apige hela. Jitu linakopa matrillion hapohapo linakuapua hayo matrillion ya mkopo. Limekufa limeondoka limetuachia zigo la mavi ya madeni tunamlipia mradi wenyewe hovyo hauna faida na hautakuwa.
Nyambaff
Lijizi na lifisadi liliiba matrillion limekufa limeenda nakutuachia zigo la mavi la madeni tunamlipia.Pumbavuuu..
Onesha ushahidi wa ni kwa vipi alikwapua til. 10?
Magufuli na rais yeyote wa tz akitaka kuchota hela haitaji mzunguko wa kuanzisha mamiradi kama hayo! Ila anatoa oda tu nipeni sh kadhaa basi.
Hauna faida sababu wewe ni mjinga na mpumbavu!
Na kwa akili yako ili iwe na faida ni mpaka uwe unaletewa hela hapo getoni kwako na kuambiwa hizi zimetokana na SGR.
Subiri ianze ndio utajua hujui
Pimbi wee!
Dah habari yenuewe Kwa kimomboJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limepokea taarifa za vijana watano wanaodaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha tangu mwisho wa mwaka 2021. Kamanda Jumanne Muliro amesema wamezipokea na wanazifanyia kazi kuweza kufahamu usahihi wake.
====
Dar es Salaam. Fears have gripped parents and relatives of five young men who have reportedly gone missing for over three weeks now.
The five young men, who are described as Kariakoo traders, went missing since December 26 when they left for a beach party in Kigamboni.
Some relatives said they received the last communication from the young men that they had been arrested by the police but their whereabouts remains a mystery.
“We have visited various police stations, hospitals and even morgues but got no clue yet,” said Mr Longili Martin, father of one of the disappeared young men.
“As I speak to you, I’ve just been at Msimbazi and Central Police stations to see if there was any development. Unfortunately, there is none. The police only say that they are investigating,”he said.
Mr Martin, a resident of Gongolamboto explained that he last communicated with his son Edwin Kunambi on December 23, when he invited the son for Christmas celebrations. According to him, Edwin told him that he would not join the family because he would be busy and promised to join them on New Year Day.
When contacted, Dar es Salaam Regional Police Commander Jummane Muliro said he was aware of the missing young men and police were currently conducting investigations into the matter.
He denied claims that they had arrested the men whom they are now looking for.
“Some family members have reported the matter to the police and we are saying that not every missing person is arrested by the police. Not every missing person is dead, several times children go missing and they are found somewhere else…. Therefore when a person goes missing people should be patient,” he said.
According to him, when he was Shinyanga and Mwanza RPC, almost every day people would go to the mines, stay there for six months and come back after they failed to get what they expected.
“When police arrest people, we normally announce so that family members would be aware of their whereabouts,” he said.
Ms Sylvia Quentin, a relative of one of the missing young men called Tawfiq Mohamed, stressed that they have visited every police station, hospital and morgue more than twice, but all has been in vain.
“We cannot continue like this, today we are planning to demonstrate to the Minister for Home Affairs and see how he can help us,” she said.
Ms Tabu Saidi told The Citizen that her son Rajab Mdoe went to her house in Kinyerezi on December 26, asked for a car so that he could go to the beach in Kingamboni with friends for a party.
“I remember it was around 2 in the afternoon, when he came and took the car. When it was past midnight, I decided to call him but his phone was unanswered. It did not bother me, because I knew he would come back but I became suspicious when he did not return until morning,” she said.
According to her, she tried to call his phone in the morning and unfortunately, it was not reachable.
She added that on December 27, two of her son’s friends went to her house, to inform that her son had been arrested by the police when they were going to the beach.
“I have reported the matter to the police stations, gone through all hospitals and morgues but there is no clue,” she said, adding that she was helpless as what to do next.
View attachment 2089191
Wanapumulia mashine😅Si mnapumua nyie?