DAR: Vijana watano wamepotea katika mazingira ya kutatanisha

Press yake ilikua ya hovyo sana mpaka unashangaa huyu ni Mkuu wa Kanda maalum au ni muhuni tu, polisi wa TZ wana Kauli za hovyo sana
 
Kwani laini zao za simu zilisoma minara ipi na ipi along the way kwa mara ya mwisho?
 
Mko nalo huko?
Liko na shetan linakung'utwa kweli kweli kwenye tanuru likijambajamba kea maumivu makali. Uzuri halitarudi tena kuteka, kuiba na kufisidi mali za imma na hilo li SRG halitafanikiwa kwasabab ya dhulma ya nafsi na hela za watu.

NYAMBAFF
 
Liko na shetan linakung'utwa kweli kweli kwenye tanuru likijambajamba kea maumivu makali. Uzuri halitarudi tena kuteka, kuiba na kufisidi mali za imma na hilo li SRG halitafanikiwa kwasabab ya dhulma ya nafsi na hela za watu.

NYAMBAFF
Umejuaje kama wewe si mmoja walo?

Mbona kama wewe ndio unaumia kuliko hilo jitu lako?

Hilo li SGR ni kwa ajili mama, bibi na babu zako wanaliwa na umasikini kule kijijini. Yeye wala halimuhusu wala familia yake maana alishaitengezea mstari tayari!

Unakwama wapi libavicha?
 
Kabisa mkuu...
Ndoto zetu sometimes zinakua kubwa kuliko uhalisia,
Tunajikuta tunafanya vitu vingi sana..
Yes na hasa wanaume.

Wapate kuhonga wadada na wadada wapate ku slay Instagram.

Makes me so sick.
 
Aliiba trillion 10 kupitia iyo SRG. Na huo mradi ulikuwa hata siyo kumsaidia mtanzania alianzisha ilu apige hela. Jitu linakopa matrillion hapohapo linakuapua hayo matrillion ya mkopo. Limekufa limeondoka limetuachia zigo la mavi ya madeni tunamlipia mradi wenyewe hovyo hauna faida na hautakuwa.

Nyambaff
 
Pumbavuuu..

Onesha ushahidi wa ni kwa vipi alikwapua til. 10?

Magufuli na rais yeyote wa tz akitaka kuchota hela haitaji mzunguko wa kuanzisha mamiradi kama hayo! Ila anatoa oda tu nipeni sh kadhaa basi.

Hauna faida sababu wewe ni mjinga na mpumbavu!
Na kwa akili yako ili iwe na faida ni mpaka uwe unaletewa hela hapo getoni kwako na kuambiwa hizi zimetokana na SGR.

Subiri ianze ndio utajua hujui

Pimbi wee!
 
Lijizi na lifisadi liliiba matrillion limekufa limeenda nakutuachia zigo la mavi la madeni tunamlipia.
 
Dah habari yenuewe Kwa kimombo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…