DAR: Vijana watano wamepotea katika mazingira ya kutatanisha

DAR: Vijana watano wamepotea katika mazingira ya kutatanisha

Kuna muda nlicomment!

"Je hawa vijana wanajishugulisha na nini" kumbe wanauza sim
Je wanauzia dukani,wana duka au wanauza sim za deal!
Ukifatilia wote waliyokombwa wanajishuglisha na sim hapo kko.....
Je inawezekana waliyakanyaga mahali au!

Ova
Hii ishu ya hao madogo itakuwa na mambo mengi yamejificha, ukweli utajulikana
 
Ni kwanini wasicheki kwenye system kujua simu zao zilipatikana kwenye mnara gani kwa mara ya mwisho? Hiyo itatupa Mwanga
 
Mawazo ya kishetani kutoka kwa shetani,umeshawahukumu kuwa hawa ni wauza unga je una ushahidi?Ben Saanane amepotea je unajua hili au kwa sababu sio ndugu yako?yaani nchi imeshakua ya watu makatili na roho mbaya kuliko za kikaburu.poleni wanafamilia mliuguswa na kupotelewa kwa ndugu zenu.
 
Wakati wenzako wanafundishwa wewe ulikua unawaza sanne ifike ukale visheti, bagia na viazi, kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Mi milikuwaga nawaza uji wali.sisomi mpaka ninywe uji wali na miogo ya kukaanga.nashushia na gubiti na pipi karanga nazifata Nera.
Kuhusu hii story kuna nyingine nimeisoma jana kuna dada alitoka out na mwenzake
Wakapiga kilaji kisha yele mwenzake akaondoka na danga
Kilichotokea mwenzake hakuoatikana mpaka walipokuta maiti yake muhimbili ikiwa imeondolewa figo
HILI JAMBO LINATISHA WAKUU MUWE NA TAHADHALI
HIZI OUT KUWENI MAKINI NAZO KAMA NDO TUMEANZA KUIBIWA FIGO KWA KUTEKA WATU
TUWE MAKINI
 
Mi milikuwaga nawaza uji wali.sisomi mpaka ninywe uji wali na miogo ya kukaanga.nashushia na gubiti na pipi karanga nazifata Nera.
Kuhusu hii story kuna nyingine nimeisoma jana kuna dada alitoka out na mwenzake
Wakapiga kilaji kisha yele mwenzake akaondoka na danga
Kilichotokea mwenzake hakuoatikana mpaka walipokuta maiti yake muhimbili ikiwa imeondolewa figo
HILI JAMBO LINATISHA WAKUU MUWE NA TAHADHALI
HIZI OUT KUWENI MAKINI NAZO KAMA NDO TUMEANZA KUIBIWA FIGO KWA KUTEKA WATU
TUWE MAKINI
Duuu uliisoma wapi hiyo?
 
Nahisi Kuna k2 wamefanya Hao jamaa Si bure
 

Vijana hawa watano wakazi wa Dar es salaam, TAWFIQ MOHAMED, SEIF SWALA, EDWIN KUNAMBI, HEMED ABASS na RAJABU MDOE wamepotea katika mzingira ya kutatanisha tangu tarehe 26.12.2021 hawajaonekana mpaka leo hii.

Taarifa za ndugu zinasema siku ya mwisho mmoja wao alituma msg kwamba wamekamatwa maeneo ya 'Kariakoo, Kamata' wakiwa kwenye gari IST nyeusi wanapelekwa Central lakini ndugu walipofuatilia polisi Central na vituo vingine vyote DSM hawaonekani. Hata kwenye vyumba vya kuhifadhia maiti miili yao haipo.
Tunaomba kila mwenye kuona asambaze picha hizi au mwenye taarifa apige no hizi.. 0764533335, 0786247106.
Mungu awapiganie na kuwalinda huko waliko kama bado wako hai
 
Waliosema kuwa vijana wamekamatwa na polisi waeleze vizuri hizo habari ziliwafikiaje na zimetoka kwa nani
 
kuna wakati vijana wengi wanajiingiza kwenye vitendo vya kihalifu kama vile ujambazi n.k.
hivyo kama yamewakuta ya kuwakuta hatuwezi kujua, ila kwa sasa ni vyema uchunguzi ukafanyika ili ukweli ufahamike kuliko kuzusha. kila mtu anasema lake.
 
Kwani haya mambo si mlikuwa mnasema yamfanywa na Magufuli? Na alipokufa si mlishangilia sana?

Sasa hiyo katiba inahusika vipi tena?
Wanaharakati, wale mashangazi na wanasiasa wapo kimya,ila ingekuwa enzi ya Mwendazake kelele mtindo mmoja.
 
Tofautisha ishu za Kisiasa, kijamii na kiuchumi.

Kama unaelimu huwezi shindwa kutofautisha visa kulingana na nyanda hizo tatu.

Mtu anaweza kupotea Kwa sababu za Kisiasa, kijamii au kiuchumi kulingana na nafasi na hadhi yake katika jamii yake.
Sina elimu.
 
Mi milikuwaga nawaza uji wali.sisomi mpaka ninywe uji wali na miogo ya kukaanga.nashushia na gubiti na pipi karanga nazifata Nera.
Kuhusu hii story kuna nyingine nimeisoma jana kuna dada alitoka out na mwenzake
Wakapiga kilaji kisha yele mwenzake akaondoka na danga
Kilichotokea mwenzake hakuoatikana mpaka walipokuta maiti yake muhimbili ikiwa imeondolewa figo
HILI JAMBO LINATISHA WAKUU MUWE NA TAHADHALI
HIZI OUT KUWENI MAKINI NAZO KAMA NDO TUMEANZA KUIBIWA FIGO KWA KUTEKA WATU
TUWE MAKINI
Hata mm bro nimeona mpaka picha yako huyo mdada maskini hii biashara ya FIGO au viungo vya watu imeshika nguvu dsm na target kubwa ni kwenye sehemu za starehe na bar .Huu mtandao wa figo unakuwa kinyama dada zetu na walevi ndio victims inafaa serikali iangalie hili jambo mara moja Surgical Doctotrs wasajilie na wachunguzwe .
 
Back
Top Bottom