CCM wakizidiwa si wanawaitaga wazee [emoji23][emoji23]Mkuu nani a nachezea vitasa kati ya chadema na ccm
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wa wanyonge bado yupo chato? Au yupo ziara kwenye hifadhi za taifa? Nauliza tena vetting ilifanyika kumpata rais wa Tanzania?Nawahukuru Sana hawa Maaskari kwa Kutii kuacha kuninyang'anya Daftari la Mauzulio ambalo CCM waliweka Jina na sahihi ya Mjumbe ambaye yupo Nje ya Nchi. (Wamefoji Mahudhurio)
Nilishafikia Uamuzi wa Kumkamata Askari mmoja Nimng'ang'anie Koo ikibidi nife naye kupinga Uonevu,Dhuluma na Ukandamizaji,Muda Sijui tungekuwa wapi Wote?
Inatia hasira Sana Pale unapoona Kuna Watu wanajiona Wao wanahaki ya kufanya jinai,Kufoji na Uharamia wa kila aina,Mbaya zaidi kwa Kutumia Vyombo vya Dola.
Kilichotolea baada ya Hapa ni Kwamba CCM wakosa 2/3 ya Baraza ambayo ni Kura 17 za kumuondoa Meya madarakani,Wamepiga Kura Zao 16 tuhView attachment 1317315
Hahaha hapo mtamuua kabisa, vyeo vyote anavitaka.Anaweza kuachiwa Ukuu wa Mkoa halafu Kifutu akabaki na cheo chake cha Naibu Raisi
Wapo wenye uwezo wa kuandika miandiko mitatu mpaka minne tofauti kwa ufasaha kabisa.Majina yaliyoandikwa kwenye hiyo karatasi, hakuna mwandiko uliojirudia. Inawezekana mojawapo ya mambo mawili limetokea; ama Kassim Mshamu alisaini halafu akaondoka ukumbini, au kuna mtu asiyekuwa mjumbe alikuwamo ukumbini kinyume cha taratibu akasaini jina hilo huku akijua Kassimu hayupo.
Labda ungeanza kujifunza kuandika kwanza kabla kulijali Taifa, nafikiri ni muhimu zaidi kwako.
Kuomba utapoteza muda bure, hawa watu wanahitaji mikakati ya kuwakabili na sio maombi.Wadau Sasa binafsi nimeelewa ni kwanini ilitumika nguvu kubwa kwenye uchaguzi was serikali za mitaa.
Sasa hebu tujiulize ikiwa madiwani wanataka kutoana macho hadharani, je huko tuendako kwenye uchaguzi mkuu nini kitatokea? Niombe tu, wote kwa pamoja tusaidiane kuliombea taifa letu.
Kwa iyo wewe unatakaje?!!!!😬😬😬Tatizo tumezijadili sana siasa na kuzifanya ziwe juu ya taifa.
Magufuli anasema sheria na utaratibu mwingine tuliojiwekea kama taifa unamchelewesha You cant imagine kama huyu mtu yuko hivi na ana elimu ya kiwango cha PhD sasa asinge soma angekuwaje?Kwanini ushindane na ukuta wakati mlango upo? vitu vingine vinatia aibu sana kwa kweli kama lengo ni kumuondoa huyu bwana katika nafasi ya meya wa jiji kwanini wasisubiri oktoba ya mwaka huu ambao ni mwaka wa uchaguzi wakamalizana nae taratibuu kuliko hivi sasa kila mtu anashangazwa na nguvu hii inayotumika.
Tukisema huyo jamaa ni mkuu wa kikosi cha utekaji na mauaji huko chadema mnapingaNilishafikia Uamuzi wa Kumkamata Askari mmoja Nimng'ang'anie Koo ikibidi nife naye kupinga Uonevu,Dhuluma na Ukandamizaji,Muda Sijui tungekuwa wapi Wote?
Tukisema huyo jamaa ni mkuu wa kikosi cha utekaji na mauaji huko chadema mnapinga
Jamaa linajisifia wazi wazi jinsi linavyoweza kutoa roho ya binadamu kisa umeya,piga hesabu kaua wangapi kwenye uchaguzi wa urais
Vyote!Unachekelea upumbavu au upumbavu ndo unakuchekesha?
Wewe wasema!Unajiita UCD si useme tu unajipendekeza upate UDC? Endelea kujitahidi ili UCD ugeuke kuwa UDC!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaya sana mnapiga kelele watu wanawaangalia tu!
Jidanganye... Watu wanakuendeshea nchi, usalama wa nchi nzima ndo unasema Chama Chao kimekufaUkweli ni kwamba CCM ishakufa ni suala la muda tu,ili mateke ya kifo yamalizike
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanaumiza sanaYajayo yanasikitisha Sanaaa Mkuu Elli .......