Kwa akili ndogo za Maccm wanadhani wamemngoa. Lakini akidi haikutimia. Mwita bado ni Meya halali wa Jiji la Dar. Yaani wamekurupuka...
Fyoko Fyoko ipi tena wakati Meya kang'olewa? Au kuna Fyoko zaidi ya hiyo?
Ili kumng'oa walihitaji kura za wajumbe 17. CCM wapo 16. Walifoji sahihi ya asiye kuwepo ili wafikishe 17. Wameshindwa kutimiza uovu wao waliokuwa wameupanga. Meya hajang'olewa.
Sasa naanza kuelewa why CAG prof Assad aliondolewa,ukiwa na akili zako timamu kufanya kazi na ccm hii inayoongozwa na Magufuli ni ngumu sanaAmedhalilika mchana kweupe. Hii ni baada ya kufoji jina ili apate akidi ya kutosha kumuondoa Meya halali Mh Isaya Mwita ili kuisaidia CCM kwa maelekezo ya Makonda.
View attachment 1317369
View attachment 1317357
Ccm wana jipa kiburi kwa vile polisi wana fanya kazi zao. Badala ya kulinda raia na malizao wao wana linda Ccm na viongozi wao.. Ila nguvu ya umma ikiamua hata hao polisi hawata tosha. Yaani hata Zungu ana shiriki hii haramu? Mwenyekiti wa shughuli za bunge??? /Haoni hata huo umri wake haufai kubariki ushenzi? Ati Alhaj??? Njaa nyingine ni mbaya sanaHaya maneno Watanzania wengi wanayasemea Moyoni na chini chini.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo propaganda za kihitlaccm wanafanya hayo yote ili kutuletea Wananchi Wanyonge maendeleo.
Hivyo Jacob aache kuzuia maendeleo.
hata mimi
Ni kweli ccm imekufa.... bila polisi ccm, mahakama, wakuu wa mkoa na wilaya .ccm ni wepesi kuliko pamba. Ndio maana mwenyekiti wa ccm unaogopa siasa za ushindani wa majukwaaani kama ukoma!Ukweli ni kwamba CCM ishakufa ni suala la muda tu,ili mateke ya kifo yamalizike
Sent using Jamii Forums mobile app
MADHARA YA MKOA KUONGOZWA NA MWIZI WA VYETI YAPO BAYANA KABISA MACHONI MWETUNimefurahishwa sana na njia aliyo onyesha Meya Jacob katika kikao cha Halmashauri ya Jiji la Dar kilicho kuwa kimepangwa ili "kumkomesha" Meya wa Jiji Isaya Mwita baada ya kukataa kuwa na bei ya kuunga mkono juhudi.
Akidi haikutimia kwa wajumbe wa CCM hivyo wakaamuwa kufoji jina la Diwani ambaye hayupo na kusaini.
Jacob akashtukia mchezo na kuchukua attendance register ili kuonyesha ulimwengu hila za CCM katika vikao halali unaofanywa na Mkurugenzi kushirikiana na madiwani na Wabunge wa CCM akiwemo na Mheshimiwa Zungu ambaye ni mwenyekiti wa Bunge asiyepaswa kabisa kushiriki tabia kama hizo.
Walipotaka kumdhibiti kwa kutumia polisi Boniphace alijipanga tayari kutembeza MKONO NA KUNG FU kiasi waka gwaya kumkabili.
Kinachoundwa ni kuhakikisha Meya anakuwa wa CCM kwa gharama yeyote na bila aibu.
Mtindo aliotumia Boniphace ni wakuiga maana CCM hawana aibu hivyo kuna wakati ikibidi kuwapa kichapo ni sawa tu.
Ama kweli 2020 ni #NoHateNoFear
Mhh kang'olewa?Fyoko Fyoko ipi tena wakati Meya kang'olewa? Au kuna Fyoko zaidi ya hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani akasome ili aongeze maarifa, hatimaye apate PhD ya ujuha wetu.Tanzania tunafanya mambo ya kipumbavu mpaka shetani anakimbia