mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,864
- 10,483
Kusema ukweli CCM kama chama kikongwe na tawala chenye kushika dola kinatia aibu sana na kuleta fedheha ktk masuala ya uchaguzi. Tuhuma zenyewe ni ubabaishaji mtupu, tume ilikuwa inaendesha huo uchunguzi ni "zero brains" tupu na hata huo mchakato wa uchaguzi wenye kuhusisha watu 16 tu, bado wanataka kuchakachua matokeo!? Ama kwa hakika CCM hii upuuzi wowote ule ktk masuala ya uchaguzi unaweza kutokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app