yoteyametimia
JF-Expert Member
- Nov 20, 2022
- 210
- 262
Mungu anipe roho ya kuridhika 🙏🏾🙏🏾 tamaa mbaya 🥴
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makubwa haya Mungu atuepushieMkuu hujawahi kwenda mahabusu Kwa kesi ya uzururaji ,
Kufika mahakamani ukapewa murder Case?
Tena mpo 10 kwenye kesi na wote hamjuani.
Kesi za kubambikiwa zipo sn bongo.
Yapo Sana tu kwenye vituo vyetu vya police.Makubwa haya Mungu atuepushie
Yaonesha wajuaHii kesi mpaka apatikane Mtu anayeitwa fahame karama inasadikika yeye ndio injinia wa hii kitu.... wengi ushahidi wa kimazingira unawatia hatiani
Aise ngoja tu ni ninyamaze MUNGU anisamee na aniepushie mbali, kwa hali iliopo nikweli kabisa kwa waongoza njia hawa anakupeleka baharini hivi hivi unajiona.Mkuu hujawahi kwenda mahabusu Kwa kesi ya uzururaji ,
Kufika mahakamani ukapewa murder Case?
Tena mpo 10 kwenye kesi na wote hamjuani.
Kesi za kubambikiwa zipo sn bongo.
Umeona eeMakubwa haya Mungu atuepushie
Wote ni washiriki lakini sheria za nchi nyingi zinatofautisha aliyepiga risasi na waliohusika kupanga mipango au usaidizi wa mauaji maana unaweza kushiriki lakini usijue intention ni kuua lakini ukifyatua risasi wewe ndio muuaji kabisa (premeditation)....homicide VS manslaughterMzee hujui maana ya "kula njama" aliefyatua risasi ni mmoja lakini njama ya kunuia na mpango mzima ulipangwa na watu 11. Kwa iyo wote lazima wapigwe kitanzi wafe kwenye kamba na wanye mavi. Ukinyongwa kwa kamba mpaka "unye" na unazikwa na kimba.
Hayo ni ya nchi "nyingi" kama unavyosema mi naongelea Tanzania yaani bongo hii nchi yetu pendwa.Wote ni washiriki lakini sheria za nchi nyingi zinatofautisha aliyepiga risasi na waliohusika kupanga mipango au usaidizi wa mauaji maana unaweza kushiriki lakini usijue intention ni kuua lakini ukifyatua risasi wewe ndio muuaji kabisa (premeditation)....homicide VS manslaughter
Kabisa mkuu,,Wote ni washiriki lakini sheria za nchi nyingi zinatofautisha aliyepiga risasi na waliohusika kupanga mipango au usaidizi wa mauaji maana unaweza kushiriki lakini usijue intention ni kuua lakini ukifyatua risasi wewe ndio muuaji kabisa (premeditation)....homicide VS manslaughter
Daa jamaniKabisa mkuu,,
Ila hapa kwetu hata ukimpa mtu lifti ya gari na hujuwi ulipomshusha amefanya tukio gani,,
Kama wakifanya mauaji na wewe umo...
Wewe ni kunyongwa tu..
Inchi ngumu sn hii,,
Kabisa mkuu..Daa jamani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nacheka kama mazuri, kaka mmoja alikuwa akiiba na shemeji yake siku alikamatwa alifinywa akasema yote kawapeleka mpaka kwa shemeji yake, alipotoka alikuwa anaapa kuiba tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa mkuu..
Kuna siku nipo bank nikamuona jamaa fulani namfahamu,,
nae yupo humo humo bank,
Nikajikausha kama simjuwi.
Maana mnaweza kusalimiana na mtu baadae akafanya uhalifu ukaonekana na wewe umeshiriki..
Inchi ngumu sn hiyo..
Hakuna deep investigation yeyote inayofanyika zaidi ya kubinya mbupu za mtuhumiwa,
Unategemea mtuhumiwa ataacha kukiri kuhusika?
Hakuna atakayeminywa mbupu asiongee hata uongo .[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nacheka kama mazuri, kaka mmoja alikuwa akiiba na shemeji yake siku alikamatwa alifinywa akasema yote kawapeleka mpaka kwa shemeji yake, alipotoka alikuwa anaapa kuiba tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiku mwema, umeme umerudi saa 6 kasoro ndiyo maana nimechangamka sahizi nchi hii !Hakuna atakayeminywa mbupu asiongee hata uongo .
Mradi jamaa wasitishe kubinya koleo.
Inchi ngumu sn hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiku mwema, umeme umerudi saa 6 kasoro ndiyo maana nimechangamka sahizi nchi hii !
Acha tu nikama tunatembea bila kichwaInchi ngumu sn hiyo
KabisaAcha tu nikama tunatembea bila kichwa
Ismail machipsi na makoi wameangukiwa na jumba bovu. Hawa watu hawawezi kula njama hata ya kuuwa mende.
Makoi mda wote yupo Arusha kwenye duka lake la dawa anauza.
Aisee...Machips mtoto mdogo sana wa kiswahili/msomali wa kaloleni hawezi kuwa na hii misheni kubwa namna hii. Machips anafahamika ni jina maarufu mitaa ya hapo mjini kwa waswahili.
sio kuridhika tu mkuu kuna watu wako magerezani kwa kesi ambazo hata hawazijui. ni Mungu tu.Mungu anipe roho ya kuridhika [emoji1488][emoji1488] tamaa mbaya [emoji3061]