Dar: Washukiwa wa biashara ya dawa za kulevya watiwa mbaroni

Huyo mzigo ni wapesa nyingi sio wao hao mapusha tu nakwambia jauendi na maji huo lazima itapigwa plea bargaining si unajua mshua yeye zake money tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kg270 duh hatari sana, mbona wahusika na mazingira yao hawafanani na kumiliki hizi 270kg..
 
How sure are you??? Mahitaji ya mtoto ni zaidi ya chakula kizuri na malazi.

Wazazi/walezi wengi wanafeli kwenye kuhakikisha watoto wao wako owwkey psychologically. Ukiangalia watu wengi wanaojiingiza kwenye matumizi ya madawa ya kulevya huwa na matatizo ambayo ni Psychological & emotional more than anything else. Hata wale ambao hujiingiza tu kwa ushawishi(bendera fuata upepo) huwa wana-lack self-esteem & the confidence to make their own decisions bila kujali ushawishi wa nje, peer pressure and so so.
 
Umeandika point Sana
 
Sio kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…