one wisow
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,303
- 1,901
NKesho atapata kura nyingi sana za mashoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NKesho atapata kura nyingi sana za mashoga
SMungu hawezi batiki chama cha mashoga na wasagaji
Simpi Kura si Kwa sababu ninachuki naye, hapanaa, Bali karudi akiwa amebadilika na haeleweki kabisa kiasi cha kusema, ni dhahili katumwa na amekwisha chukua chake tayari kutufanya kuwa koloni la Mabeberu tena!!
Kwa nini kupoteza Kura yako ewe Mtanzania???
Mpe JPM Kura yako Ili tujenge Taifa lisilotegemezi
Mabeberu uleta maendeleo mkoloni mweusi uleta umasikini tunachagua maendeleoNdiyo vizuri kibaraka wa mabeberu ashindwe kukamilisha kampeni
Acha kelele, huwezi.Lissu akipata hata 10% tu mimi navua nguo hadharani. In other words, Lissu hawezi pata hata 10%.
Kabla hajaenda kuhutubia Kawe ahakikishe msafara wake umepita Bunju,umepita Goba,Umepita Manzese umepita Mburahati Tabata then jioni aende kufunga Kampeni Kawe.Magari ya M4C yakiwa na Bendera yapite mtaani kote kukumbusha wananchi kuwa leo ndo ile siku ya kufunga kampeniKuna kula dalili kuwa muda sio mrefu kitanuka hapa tanganyika packers, muda huu walinzi wa mwamposa wanarumbana na wafuasi wa chadema wakiwazuia wasijikinge mvua kwenye kanisa lao
Kama tu kuandika kunakushinda! Utaelewa kweli nini Maana ya Beberu?Mabeberu uleta maendeleo mkoloni mweusi uleta umasikini tunachagua maendeleo
Beberu ni hoja za watu waliofilisika kifikra na waliosoma sylbus za zamani Kama wewe.Kama tu kuandika kunakushinda! Utaelewa kweli nini Maana ya Beberu?
Uleta ndo nini??
Mmoja wapo kwwnye kamati ya roho mbaya huyu Jamaa.Hata usipo kuwepo wewe ,Lissu ni RAIS ajaye!Post zako zinaonesha wewe ni Malaya wa kisiasa period.
Wewe ni miongoni mean wanaCCM wenye roho mbaya
Ni Rais wa Vilaza labda na sio Watanzania NeverHata usipo kuwepo wewe ,Lissu ni RAIS ajaye!Post zako zinaonesha wewe ni Malaya wa kisiasa period.
Wewe ni miongoni mean wanaCCM wenye roho mbaya
Hao mabeberu wapo afrika pekee? Mbona nchi zingine zinamaendeleo?Kama tu kuandika kunakushinda! Utaelewa kweli nini Maana ya Beberu?
Uleta ndo nini??
Kesho utapata somo Kwa vitendo kuhusu nini Maana ya Beberu!Beberu ni hoja za watu waliofilisika kifikra na waliosoma sylbus za zamani Kama wewe.
Siku ya hukumu keshoKesho utapata somo Kwa vitendo kuhusu nini Maana ya Beberu!
Sawa!!!?
Kama mumeo?Amekaa kijuha juha hahaha
Hatudanganyiki kirahisi kiasi hiki
Kwenye kura ccm ilishashindwa , tegemeo lao ni VIFARU PEKEE , hebu angalia mauaji ya Zanzibar , yote haya ya kazi gani ?Bwanyeye Robert hawezi kupandikiza Rais wa Tanzania.Kesho tunamfyekelea mbali arudi Ubelgiji kupiga box
Kama ni mnufaika na ukujenga jiandae kurudi homeKesho utapata somo Kwa vitendo kuhusu nini Maana ya Beberu!
Sawa!!!?
Mbeba maono ameshafika ?Kwenye kura ccm ilishashindwa , tegemeo lao ni VIFARU PEKEE , hebu angalia mauaji ya Zanzibar , yote haya ya kazi gani ?
View attachment 1613687
Shikilia hapohapo!!Siku ya hukumu kesho