Uchaguzi 2020 Dar: Yaliyojiri Kawe kwenye Mkutano wa kufunga kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Dar: Yaliyojiri Kawe kwenye Mkutano wa kufunga kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Kesho atapata kura nyingi sana za mashoga
N
FB_IMG_1603573794611.jpg
 
Simpi Kura si Kwa sababu ninachuki naye, hapanaa, Bali karudi akiwa amebadilika na haeleweki kabisa kiasi cha kusema, ni dhahili katumwa na amekwisha chukua chake tayari kutufanya kuwa koloni la Mabeberu tena!!

Kwa nini kupoteza Kura yako ewe Mtanzania???

Mpe JPM Kura yako Ili tujenge Taifa lisilotegemezi

Heri ya mabeberu kuliko wakoloni weusi, mabeberu uleta maendeleo mkoloni mweusi uleta umasikini na mateso
 
Kuna kula dalili kuwa muda sio mrefu kitanuka hapa tanganyika packers, muda huu walinzi wa mwamposa wanarumbana na wafuasi wa chadema wakiwazuia wasijikinge mvua kwenye kanisa lao
Kabla hajaenda kuhutubia Kawe ahakikishe msafara wake umepita Bunju,umepita Goba,Umepita Manzese umepita Mburahati Tabata then jioni aende kufunga Kampeni Kawe.Magari ya M4C yakiwa na Bendera yapite mtaani kote kukumbusha wananchi kuwa leo ndo ile siku ya kufunga kampeni
 
Hata usipo kuwepo wewe ,Lissu ni RAIS ajaye!Post zako zinaonesha wewe ni Malaya wa kisiasa period.
Wewe ni miongoni mean wanaCCM wenye roho mbaya
Mmoja wapo kwwnye kamati ya roho mbaya huyu Jamaa.
 
Hata usipo kuwepo wewe ,Lissu ni RAIS ajaye!Post zako zinaonesha wewe ni Malaya wa kisiasa period.
Wewe ni miongoni mean wanaCCM wenye roho mbaya
Ni Rais wa Vilaza labda na sio Watanzania Never
 
Back
Top Bottom