Uchaguzi 2020 Dar: Yaliyojiri Kawe kwenye Mkutano wa kufunga kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Dar: Yaliyojiri Kawe kwenye Mkutano wa kufunga kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Wakuu leo ndio hitimisho la kampeni nzito sana za Tundu Lissu zilizovurumishwa nchi nzima , kwa mafanikio makubwa sana , kwa tathmini ya Kisomi niliyoifanya Tundu Lissu anatarajiwa kushinda Urais wa Tanzania kwa angalau 70% ,

Hitimisho la kampeni hizi linafanyika Jijini Dar es salaam kwenye viwanja vya Tanganyika Packers , Jimbo la Kawe , na taarifa inaonyesha kwamba maandalizi yote yamekamilika.

Kama Kawaida mimi mtumishi wako nitakuletea kila kinachojiri kwa kila nukta , endelea kubaki hapahapa JF kwa taarifa za Uhakika

" RAIS MPYA OYEEE , TANZANIA MPYA OYEEE "

View attachment 1613435


View attachment 1613407


==========
Mbona leo hakuna tambo za picha "Hata angle moja tu" kuonesha mmejaza!

Au haya mambo hayatuhusu sisi wana CCM😂😂.

Chagua Magufuli kwa maendeleo ya sasa na kizazi cha baadae!
 
Amin

Hakika huu ni mwaka wa mabadiliko

Analolipanga Mungu, hakuna binadamu mwenye uwezo wa kulipangua.

Hakika Mungu amembariki Tundu Lissu na amempa kibali cha kuwa Rais mpya wa Taifa letu
Anaenda kugalagazwa asubuhi tu huyu🤣,lissu hawezi na hafai kuwa Rais.
 
Matumizi yeyeto ya nguvu dhidi ya haki ndio anguko la ccm, Hawa ambao awajaongezewa mishahara 5 yrs sio wa wakutegemea maana nao ni wahanga wanaopumulia mashine achilia mabosi zao ambao wao ni wanufaika lkn awaingii field
 
Simpi Kura si Kwa sababu ninachuki naye, hapanaa, Bali karudi akiwa amebadilika na haeleweki kabisa kiasi cha kusema, ni dhahili katumwa na amekwisha chukua chake tayari kutufanya kuwa koloni la Mabeberu tena!!

Kwa nini kupoteza Kura yako ewe Mtanzania???

Mpe JPM Kura yako Ili tujenge Taifa lisilotegemezi
 
Kesho tunakwenda kumalizana na huyu kibaraka wa wazungu.
 
Back
Top Bottom