Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wanahaha kubaka sanduku la kura mpaka wameanza kuua watu ZanzibarAmin
Hakika huu ni mwaka wa mabadiliko
Analolipanga Mungu, hakuna binadamu mwenye uwezo wa kulipangua.
Hakika Mungu amembariki Tundu Lissu na amempa kibali cha kuwa Rais mpya wa Taifa letu
Kukichwa kutapambazuka....Mungu ibariki CHADEMA , Mungu mbariki Tundu Lissu
Kesho tarehe 28 Nchi inaenda kupata uhuruLissu ni kwa 2025 sahivi anaandaa njia tu!
Ni maono yako unaweza kuwa sahihi.Kesho tarehe 28 Nchi inaenda kupata uhuru
AminaTunamtakia Kila la Heri Rais wetu wa awamu ya sita Mh Tundu A. Lissu......Watanzania walio wengi wameumizwa sana na utawala unaomaliza muda wake ila wanyonyaji wachache tu ndiyo hawaelewi.......
Mkuu Erythrocyte asante sana kwa taarifa toka mwanzo wa kampeni hadi sasa, pamoja na kamanda Molemo na wengine wote waliotuhabarisha kuhusu kampeni za Mgombea wa Urais kupitia CDM.
Pamoja na vyombo vyote vya Habari kupigwa mkwara na waandishi wao Kufyata kuna wengine waliamua kusonga mbele.
Hatujawahi kuwa na roho za kukatisha tamaa ,huwa kuna mambo yanatokea kwa bahati mbaya tuErythrocyte - Mbona mmekatisha matangazo live tangu juzi? Ni nini kimetokea? Mnatukatisha tamaa. Wapigakura tunajiskia kama m-give up vile!
Yote yanawezekanaLissu ni kwa 2025 sahivi anaandaa njia tu!
Umenikumbusha 2015Chadema chedema....peoples' power
Tanzania Tanzania ...peoples' power