Uchaguzi 2020 Dar: Yaliyojiri Kawe kwenye Mkutano wa kufunga kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Izi ata mimi nashinda
 
Naona wachawi wa mbogamboga wameandaa wingu ziiiito la mvua kutuharibia lakini watashindwa na tutawalegeza.
 
Weka tiki (vema) kwenye jina la mwisho la mgombea, hakikisha hiyo vema ama tiki yako haitoki nje ya kibox (kisanduku). Pia usitoboe macho kwa mgombea number moja kwa hasira maana kufanya hivyo utakuwa umeharibu kura yako.

Pamoja tunashinda!!
Hivyo ulivyo vitaja katika jamii staarabu siyo vigezo vya kura kuharibika. It's so because of barbaric leaders.
 
CCM wamekwama kabisa, Tundu Antipas Lissu is a game changer!!

Tuliyoyaona kuwa yameshindikana kabisa - sasa mbona ni mepesi sana, usicheze na Mungu wa mbinguni ewe mwanadamu - nani ambaye alitabiri miezi 3 kabla ya uchaguzi kwamba leo CCM itahaha hivi kujinusuru?
 
Hawa VOA walioko kwenye simu yako, ni wapumbavu Sana aisee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…