Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Rudi shule kwanza ujifunze kuandika.

Sasa wanamlilia nini aakati6 ameenda kuwaona kina Azory Gwanda, Kanguye, Akwilini Akwilini huko alikowatanguliza.

Huyo mtetezi tangu aanze kukutetea umepata nini ??
 
Ni majitu machache mabinafsi yakina kigogo ndio yalikuwa yanachafua taswira ya JPM...
leo haliwezi kuposti hizo picha za wananchi
Na yale mataifa yaliyoaminishwa kwamba Tanzania tunaongozwa na Dikteta, salaam ziwafikie
 
Nafuatilia Misa takatifu ya kuuombea mwili wa Aliyekuwa Rais wa JMT, katika kanisa la Mt. Peter kwa hadhi ya msiba ulitakiwa kuwepo na Maaskofu wa kutosha ila sijaona hata mmoja.
Ibada imeendeshwa na Mapadre tu.
Hii si sahihi kabisa.
Acha zako basi! Hao mapadre ndio hata wakiongoza wanaongoza kwa moyo na toba ya kweli! Kinachoongoza hapo ni roho mtakatifu! Hata hivyo nenda uwanjwa wa uhuru utayarudisha maneno yako! Huko utakuta papa wa tz ndie ataongoza ili uwe na amani! Tuendelee kumuombea jemedari wetu, na shujaa wetu na nchi yetu!
Sasa huyo ataenda mbinguni? Labda kama hizi hadithi za mbingu ziwe furahisha genge, lakini kama mbingu ipo kama tunavyosimuliwa, huyo mtu muovu haingii.
Huyu Magufuli mnayemchukia, mtamkuta kiti cha mbele mbinguni na cheo kapewa bali wengine msipojirekebusha hata mlango wa mbinguni mtaishia kuutazama kwa mbali tu mkienda motoni!
RIEP Magufuli!
Jiwe aikuwa mbishi sana huenda alikuwa ameandaa mpango wa kumpoteza maaskofu kabla ya kifo kuingilia kati
Magufuli alikuwa mchaMungu sana kuliko malimbukeni wengi wa mtandaoni! Alikuwa ni mtu wa imani kuuna kwa imani hiyo amehesabiwa haki! Magufuli ndie alipigania maisha ya askofu mkuu Luwaichi, hawezi tena akawa yy wa kutaka kuwaondoa ww pimbi!
 
Nafuatilia Misa takatifu ya kuuombea mwili wa Aliyekuwa Rais wa JMT, katika kanisa la Mt. Peter kwa hadhi ya msiba ulitakiwa kuwepo na Maaskofu wa kutosha ila sijaona hata mmoja.
Ibada imeendeshwa na Mapadre tu.
Hii si sahihi kabisa.
Acha zako basi! Hao mapadre ndio hata wakiongoza wanaongoza kwa moyo na toba ya kweli! Kinachoongoza hapo ni roho mtakatifu! Hata hivyo nenda uwanjwa wa uhuru utayarudisha maneno yako! Huko utakuta papa wa tz ndie ataongoza ili uwe na amani! Tuendelee kumuombea jemedari wetu, na shujaa wetu na nchi yetu!
Sasa huyo ataenda mbinguni? Labda kama hizi hadithi za mbingu ziwe furahisha genge, lakini kama mbingu ipo kama tunavyosimuliwa, huyo mtu muovu haingii.
Huyu Magufuli mnayemchukia, mtamkuta kiti cha mbele mbinguni na cheo kapewa bali wengine msipojirekebusha hata mlango wa mbinguni mtaishia kuutazama kwa mbali tu mkienda motoni!
RIEP Magufuli!
Jiwe aikuwa mbishi sana huenda alikuwa ameandaa mpango wa kumpoteza maaskofu kabla ya kifo kuingilia kati
Magufuli alikuwa mchaMungu sana kuliko malimbukeni wengi wa mtandaoni! Alikuwa ni mtu wa imani kuuna kwa imani hiyo amehesabiwa haki! Magufuli ndie alipigania maisha ya askofu mkuu Luwaichi, hawezi tena akawa yy wa kutaka kuwaondoa ww pimbi!
 
Nafuatilia Misa takatifu ya kuuombea mwili wa Aliyekuwa Rais wa JMT, katika kanisa la Mt. Peter kwa hadhi ya msiba ulitakiwa kuwepo na Maaskofu wa kutosha ila sijaona hata mmoja.
Ibada imeendeshwa na Mapadre tu.
Hii si sahihi kabisa.
Acha zako basi! Hao mapadre ndio hata wakiongoza wanaongoza kwa moyo na toba ya kweli! Kinachoongoza hapo ni roho mtakatifu! Hata hivyo nenda uwanjwa wa uhuru utayarudisha maneno yako! Huko utakuta papa wa tz ndie ataongoza ili uwe na amani! Tuendelee kumuombea jemedari wetu, na shujaa wetu na nchi yetu!
Sasa huyo ataenda mbinguni? Labda kama hizi hadithi za mbingu ziwe furahisha genge, lakini kama mbingu ipo kama tunavyosimuliwa, huyo mtu muovu haingii.
Huyu Magufuli mnayemchukia, mtamkuta kiti cha mbele mbinguni na cheo kapewa bali wengine msipojirekebusha hata mlango wa mbinguni mtaishia kuutazama kwa mbali tu mkienda motoni!
RIEP Magufuli!
Jiwe aikuwa mbishi sana huenda alikuwa ameandaa mpango wa kumpoteza maaskofu kabla ya kifo kuingilia kati
Magufuli alikuwa mchaMungu sana kuliko malimbukeni wengi wa mtandaoni! Alikuwa ni mtu wa imani kuuna kwa imani hiyo amehesabiwa haki! Magufuli ndie alipigania maisha ya askofu mkuu Luwaichi, hawezi tena akawa yy wa kutaka kuwaondoa ww pimbi!
 
Nafuatilia Misa takatifu ya kuuombea mwili wa Aliyekuwa Rais wa JMT, katika kanisa la Mt. Peter kwa hadhi ya msiba ulitakiwa kuwepo na Maaskofu wa kutosha ila sijaona hata mmoja.
Ibada imeendeshwa na Mapadre tu.
Hii si sahihi kabisa.
Alimtuma musiba kuwananga maaskofu.
Viongozi wa dini ni wajumbe wa Mwenyezi Mungu duniani Mungu anapowatumia kuonya wasikilize.
Viongozi wa dini wameonya Sana Sana Sana Mungu kampa mda ajirekebishe atubu lkn sikio la kufa maaskofu wakabakia kusubiria tu maamuzi ya Mungu.Askofu Shoo,Niwemugizi,Bagonza,nk wameonya Sana lkn sikio la kufa musiba anatumwa kuwatukana,anatuma watu wahoji uraia wao mara kodi nk.
Mwisho wa kiburi ni kaburi.
Hakuna aliyewahi mkufuru Mungu akabaki salama.
Makufuru
1.Kupiga push up Kumdhihaki Lowasa
2.Kuitwa Yesu
3.Kuwatukana viongozi wa dini,
4.Kuumiza watu kuwabambika kesi,kuwafilisi,kuwakomoa,nk.
5.Kujifananisha na Malaika
6.
7.
 
Gwajiboi mzee wa kufufua wafu vipi yupo hapo maeneo ya kuaga mwili wa mpendwa wetu?kama yupo hawezi kufanya maombi akaturudishia furaha yetu au hana uwezo wa kufufua ni mwongo kwa kondoo wake.
 

Mimi hata nisipoenda huko mbinguni kama kuko sina tatizo maana sijifanyi mcha Mungu.
 
Wapambe wakiona huu uzi watawalazimisha Maaskofu wahudhurie huko kwenye mazishi. Yaani itakuwa mambo ya kunenepeshea ng'ombe mnadani.
Wamesahau kwamba ng'ombe hanenepi siku ya mnada
 
Rudi shule kwanza ujifunze kuandika.

Sasa wanamlilia nini aakati6 ameenda kuwaona kina Azory Gwanda, Kanguye, Akwilini Akwilini huko alikowatanguliza.

Huyo mtetezi tangu aanze kukutetea umepata nini ??
we uliyosoma Vipi tena mbn Hujui kuandika hebu Pitia hayo majina Uliyo yaandika Kama ni sahh
Hauko makin bro unawenge na chuki zakipumbavu pevuka kuwa mtu Mzima utajua maana ya maisha ya dunia hii Uki nijibu ni we pimbi usipo nijibu umeniogopa
Haka kamchezo hakahtaj hasira calm down
 
Najua wanalipa kama kisasi cha kudhalilishwa ile siku ila inaonesha jinsi gani pia wenyewe wanavyokuwa na vinyongo mioyoni afu kanisani wakituhimiza sisi tuache vinyongo😬😬.Anyway twendelee na ibada🚶🚶
Tuwape mda wataenda Chato labda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…