Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Rudi shule kwanza ujifunze kuandika.watanzania Hatuna tamaduni hizo cjui nyie mmetoa Wapi hizo Roho Hakuna kiongoz duniani toka kuumbwa kwa ulimwengu amewah kuw mkamilifu Kwenye uongoz wake lazma awe na dosari lkn pamoja na yote amefany meng Sana watu wa Hali ya Chini na Wapend haki ndo wanaelewa Jinsi gn inauma kumpoteza Huyu mwamba Jana nimeangalia kwny kituo flan Iv walikuw wanaonyesha viongozi mbalmbal waki sain daftari La maombolezo nilimuona baloz wa Zambia nchini mzee flan Iv sijamkarir jina Alilia kwa uchungu akimlilia magufuli Ndyo aliyoifanya Tanzania ifike hapa ilipo na ni mzambia sasa nashangaa mtanzania mwenzang unaropoka ovyo tuu hivi unadhan huyo Lissu ndo mkamilifu mtu acyejua maana ya uzalendo anafny kitu kwa masifa ili kufurahsha mabeberu all in all magufuli tutamkumbuka narudia tutamkumbuka iandike hii tarehe ya Leo mahali
Sasa wanamlilia nini aakati6 ameenda kuwaona kina Azory Gwanda, Kanguye, Akwilini Akwilini huko alikowatanguliza.
Huyo mtetezi tangu aanze kukutetea umepata nini ??