Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina kwere hata ww utafata tu njia ni hiyo mojaNenda baba nenda sisi tutakuchangia sanda
Apo washamba ndio wengi sijuwi wana fikiri wana komoa ugonjwa!Wanasahau kuwa Mungu umsaidia yule anaye jisaidia.
Waache waongeze idadi
Hakika mtoto akililia wembe wacha umkate ndiyo atakuwa na akiliApo washamba ndio wengi sijuwi wana fikiri wana komoa ugonjwa!
Hivi misiba kumbe ina invitation card/words!?Niwaalike wote tuungane Twende tukaone Mwili wa Aliyekuwa Rais wetu.
Leo ndio siku yetu kwa Dar.
Machinga. Mama ntilie kwa mikoa ya pwani na viunga vyake twendeni.
Ukiwa mnafiki na mjijga kiasi hiki, hata ile neema ya kuumbwa binadamu inakuwa haina maana.Mapadre na masista wengi wamekufa kwa Corona sababu kutwa wako Vatican Italia kwenye corona ndio maana maaskofu na mapadre wanavaa barakoa kwenye misa wakati wanakwaya na waumini hawavai barakoa Kanisani kwenye Misa
Karibu if ndugu.Niwaalike wote tuungane Twende tukaone Mwili wa Aliyekuwa Rais wetu.
Leo ndio siku yetu kwa Dar.
Machinga. Mama ntilie kwa mikoa ya pwani na viunga vyake twendeni.
Niwaalike wote tuungane Twende tukaone Mwili wa Aliyekuwa Rais wetu.
Leo ndio siku yetu kwa Dar.
Machinga. Mama ntilie kwa mikoa ya pwani na viunga vyake twendeni.
Sina shaka, kwenye jukwaa hili watu mnaoongoza kwa ujinga na unafiki wa nafsi, ni wewe na Etwege. Ni vigumu sana kuamini kwamba mna akili hata ile ya kiwango cha chini kabisa ya akili ya kawaida.Kuaga dunia nzima inaona kuwa propaganda za Lisu na Chadema uongo na utapeli.Lisu alitoka ubelgiji akiwa kavaa barakoa na kutangaza kuwa Corona ipo Tanzania alipofika Airport barakoa akaitupa chooni miezi yote mitatu ya kampeni hakuvaa
Usidhani wazungu wajinga ukiwatapeli mara moja hawarudii kosa
Ndio maana Lisu alikosa pesa za wafadhili za kulipia mabango ya kampeni au vipeperushi wazungu wakamjua Kuwa Lisu tapeli na mwizi na Amsterdam wake wakagoma kutoa pesa hata za matangazo ya photocopy ya kampeni ya kubandika kwenye miti!!! Kuwa anasema ohhh kuna Corona anafika airport anatupa barakoa haivai hadi siku ya kurudi tena Ubelgiji Wazungu sio wajinga huwezi waibia kiboya hivyo
siongei kisiasa yani ni hatari watu wapo emotionalAcha waingie tu mkuu, uzi bila picha ni sawa na supu bila mchuzi.
Kabisa yani naogopaNa wakuhakikisha wapo pia.
ningekuwa sirro ningetangaza aliye nyumbani asiende maana waliohapa hatuwezi kuisha leoWatu gani hao mbona mpo wachache sana
Wewe barakoa umevaa?Kabisa yani naogopa
Sirro anahusika vipi?ningekuwa sirro ningetangaza aliye nyumbani asiende maana waliohapa hatuwezi kuisha leo