Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Jamani uwanja wa Uhuru askari wamezidiwa hali ni mbaya sana. Naandika mpaka natetemeka mimi nipo nje watu ni wengi sana na wamezuliwa kuingia na wanatumia nguvu kutaka kuingia nasikia uko ndani watu wameanza kukanyagana.

Naomba Sirro ufanye maamuzi watu wapo emotional lolote baya linaweza tokea. Ongeza timu ya usalama na watumie busara kuwasaidia watu utaratibu maana ni kama wamepaniki idadi ya watu imekuwa kubwa na wanaendelea kumiminika.

Duh JPM watu walikupenda [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Umevaa barakoa?
 
Jamani uwanja wa Uhuru askari wamezidiwa hali ni mbaya sana. Naandika mpaka natetemeka mimi nipo nje watu ni wengi sana na wamezuliwa kuingia na wanatumia nguvu kutaka kuingia nasikia uko ndani watu wameanza kukanyagana.

Naomba Sirro ufanye maamuzi watu wapo emotional lolote baya linaweza tokea. Ongeza timu ya usalama na watumie busara kuwasaidia watu utaratibu maana ni kama wamepaniki idadi ya watu imekuwa kubwa na wanaendelea kumiminika.

Duh JPM watu walikupenda [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Wanafunzi wengi kuvaa kaputula za khaki kama sare ndo kunakufanya uamini khaki ndo kitambaa kinachopendwa sana?
 
Marehemu mwenyewe alikua anafurahia anapofika sehem akakuta kundi kubwa la watu wanamsubiri, alitamani akifa akawe kiongozi wa malaika
 
Nilikuwepo,
Wanajeshi
Mapolisi
Skauti
Services Men
Migambo
Makampuni binafsi ya ulinzi

Wamejaza wana ulinzi wengi sana bila ya kuwa na Utaratibu mmoja
 
Jamani uwanja wa Uhuru askari wamezidiwa hali ni mbaya sana. Naandika mpaka natetemeka mimi nipo nje watu ni wengi sana na wamezuliwa kuingia na wanatumia nguvu kutaka kuingia nasikia uko ndani watu wameanza kukanyagana.

Naomba Sirro ufanye maamuzi watu wapo emotional lolote baya linaweza tokea. Ongeza timu ya usalama na watumie busara kuwasaidia watu utaratibu maana ni kama wamepaniki idadi ya watu imekuwa kubwa na wanaendelea kumiminika.

Duh JPM watu walikupenda 😭😭😭😭😭
Safisha macho kwa picha tafadhali
 
Nilikuwepo,
Wanajeshi
Mapolisi
Skauti
Services Men
Migambo
Makampuni binafsi ya ulinzi

Wamejaza wana ulinzi wengi sana bila ya kuwa na Utaratibu mmoja
Hapo ndo penye changamoto, halafu cha ajabu nimeona mwanamke aliyezimia kapakatwa na skauti mmoja tu tena mwanaume anapelekwa kwenye hema,
 
Usilete Taharuki Hapa Tanzania
Usalama Unaanza Na Wewe Mwenyewe
Unaona Uwanja Umejaa Bado Unakwenda
Utaka IGP Afanye Nini, Umeshaambiwa
Uwiano Wa Wana Usalama Ni Idadi Ndogo
Kuliko Millions 60 Ya Watanzania
 
Marehemu mwenyewe alikua anafurahia anapofika sehem akakuta kundi kubwa la watu wanamsubiri, alitamani akifa akawe kiongozi wa malaika
Tayari
Ameanza Kuwaongoza Malaika Huko Mbinguni
 
Back
Top Bottom