Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Mimi wanao nikera Ni hawa wanaoanguka, kama walikua wanajua hawana pumzi kilichowapeleka Nini?
 
Sasa wanakanyagana ili iweje? Si waende kwa utaratibu? Wakati mwingine binadamu akili zao kama za nyumbu
Wasimamiaji hawaja weka utaratibu na hata kama wameweka hawaufatilii, Wanapiga story + hawako serious.

Alaf hao watu wa ulinzi wapo wengine wanafanya sifa ie wanajikuta Komandozz wanapelekesh watu hovyo hapo

Haya
Baada ya hizo Fujo ndio unakuta wanapanga utaratibu Sasa, Na ni saa nne hii
 
Safisha macho kwa picha tafadhali
IMG_20210321_102220.jpg
 
Wewe barakoa umevaa?
Msichokijua ile ngoma unapenya mpaka kwenye macho, unapovaa barakoa wewe hakukuondoi kwenye hatari ya kupata corona, badala yake kinakuzuia usisambaze kurusi. Kwa ule msongamano hata uende na barakoa ukijichanganya unaondoka nao.
 
Uwanja umejaa mno, naona wasipokuwa makini kutakuwa na maafa.
Mageti yamefingwa wa nje wasiingie ndani kwanza wamaliz kuaga walio ndani

Sasa hivi unatoa kabla kui ngiza wengine
 
Wasimamiaji hawaja weka utaratibu na hata kama wameweka hawaufatilii, Wanapiga story + hawako serious.

Alaf hao watu wa ulinzi wapo wengine wanafanya sifa ie wanajikuta Komandozz wanapelekesh watu hovyo hapo

Haya
Baada ya hizo Fujo ndio unakuta wanapanga utaratibu Sasa, Na ni saa nne hii
Hivi na wewe ungekuwepo pale ungefanya hizo vurugu za kukanyagana? Yaani unaona kabisa pale watu wamesheheni na wewe unaenda kuongeza msongamano, kwanini usisubiri uende taratibu au uondoke kabisa kama imeshindikana?
Ndo hivyo akili za binadamu..


Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani mmejua sasa kwamba hamkuwa mnaibiwa kura[emoji28],au na huo umati wa lao na Jana umesombwa?
Sio wote wanaokwenda msibani wanampenda mwendazake wengine wanaenda kuakikisha kama kweli adui yao kaenda, na usione watu wanalia msibani ukafikiri wote wanauzuni wengine wanalia kwa furaha,

Nb: wabongo wengi hawana kazi za kufanya kwaiyo usishangae kuja uwanjani!!
 
Jamani uwanja wa Uhuru askari wamezidiwa hali ni mbaya sana. Naandika mpaka natetemeka mimi nipo nje watu ni wengi sana na wamezuliwa kuingia na wanatumia nguvu kutaka kuingia nasikia uko ndani watu wameanza kukanyagana.

Naomba Sirro ufanye maamuzi watu wapo emotional lolote baya linaweza tokea. Ongeza timu ya usalama na watumie busara kuwasaidia watu utaratibu maana ni kama wamepaniki idadi ya watu imekuwa kubwa na wanaendelea kumiminika.

Duh JPM watu walikupenda 😭😭😭😭😭

Kapicha jamani
 
Back
Top Bottom