happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 604
- 1,970
Mungu ndio anajua siku atayoniita.Hujui kazi ya barakoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ndio anajua siku atayoniita.Hujui kazi ya barakoa
Utaitoa hapo na kuwapelekea wapendwa wako nyumbani, siyo lazima uitwe weweMungu ndio anajua siku atayoniita.
wanaweza ipata hata sokoni.Utaitoa hapo na kuwapelekea wapendwa wako nyumbani, siyo lazima uitwe wewe
Nadhani mmejua sasa kwamba hamkuwa mnaibiwa kura[emoji28],au na huo umati wa lao na Jana umesombwa?Na wakuhakikisha wapo pia.
Wasimamiaji hawaja weka utaratibu na hata kama wameweka hawaufatilii, Wanapiga story + hawako serious.Sasa wanakanyagana ili iweje? Si waende kwa utaratibu? Wakati mwingine binadamu akili zao kama za nyumbu
Safisha macho kwa picha tafadhali
Msichokijua ile ngoma unapenya mpaka kwenye macho, unapovaa barakoa wewe hakukuondoi kwenye hatari ya kupata corona, badala yake kinakuzuia usisambaze kurusi. Kwa ule msongamano hata uende na barakoa ukijichanganya unaondoka nao.Wewe barakoa umevaa?
Ingekuwa simple namna hiyo huko wanakozitengeneza wasingekufa.Ile ngoma inapenya hata kwenye macho[emoji28].Umevaa barakoa?
Umati wakutosha, ndani na nje ya uwanja. Hakika huyu mtu alikuwa kipenzi cha watanzania. Pumzika kwa amani.
Hivi na wewe ungekuwepo pale ungefanya hizo vurugu za kukanyagana? Yaani unaona kabisa pale watu wamesheheni na wewe unaenda kuongeza msongamano, kwanini usisubiri uende taratibu au uondoke kabisa kama imeshindikana?Wasimamiaji hawaja weka utaratibu na hata kama wameweka hawaufatilii, Wanapiga story + hawako serious.
Alaf hao watu wa ulinzi wapo wengine wanafanya sifa ie wanajikuta Komandozz wanapelekesh watu hovyo hapo
Haya
Baada ya hizo Fujo ndio unakuta wanapanga utaratibu Sasa, Na ni saa nne hii
Kwani na watoto wapo?siongei kisiasa yani ni hatari watu wapo emotional
Sio wote wanaokwenda msibani wanampenda mwendazake wengine wanaenda kuakikisha kama kweli adui yao kaenda, na usione watu wanalia msibani ukafikiri wote wanauzuni wengine wanalia kwa furaha,Nadhani mmejua sasa kwamba hamkuwa mnaibiwa kura[emoji28],au na huo umati wa lao na Jana umesombwa?
wapo wengi tu ila wadogo sana wana wazazi waoKwani na watoto wapo?
Dah jiwe kakuachieni urithi mbaya sana UJINGA!!Ingekuwa simple namna hiyo huko wanakozitengeneza wasingekufa.Ile ngoma inapenya hata kwenye macho[emoji28].
Jamani uwanja wa Uhuru askari wamezidiwa hali ni mbaya sana. Naandika mpaka natetemeka mimi nipo nje watu ni wengi sana na wamezuliwa kuingia na wanatumia nguvu kutaka kuingia nasikia uko ndani watu wameanza kukanyagana.
Naomba Sirro ufanye maamuzi watu wapo emotional lolote baya linaweza tokea. Ongeza timu ya usalama na watumie busara kuwasaidia watu utaratibu maana ni kama wamepaniki idadi ya watu imekuwa kubwa na wanaendelea kumiminika.
Duh JPM watu walikupenda 😭😭😭😭😭