chief_
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 830
- 1,395
Ulitaka aendelee kuteseka kidogo?Yes...last week nilikua naplan.ikitolkea niende kigoma nikale bata dah...nimejikuta sina hata hamu...inauma...ameenda mapema sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka aendelee kuteseka kidogo?Yes...last week nilikua naplan.ikitolkea niende kigoma nikale bata dah...nimejikuta sina hata hamu...inauma...ameenda mapema sana
Yes atleast augueUlitaka aendelee kuteseka kidogo?
Mfate kaburiniChadwick Boseman alipokufa nililia sana japo nilimjua tu kwa kupitia muvi. Ila Magu daah tmpaka leo nipo Kwenye dozi naamini Magufuli anaweza kufa na watu.
Nilivyoona uzi jf wa Tanzia moyo ulienda mbio mwili ukachemka siku nzima ya alhamis nilishindwa kuinuka/kutembea. Niliwekewa drip 3[emoji22]
The reason baada ya Nyerere ni magufuli pekee niliyemuamini, I like to be Loyal. I was Loyal to JPm
Hahaha ... unaendeleaje wewe lakini?Yes atleast augue
Kwani Assad ni mwana chama wa Ccm?au katiba inasemaje?Kwakweli, me namuomba madam president abadilishe DPP pia, huyu aliepo ni chanzo cha mrundikano wa cases nyingi mahakamani na pia akipenda amteue Prof. Mussa Asad kuwa Prime minister au Vice President.
Nimepona namshukuru MaananHahaha ... unaendeleaje wewe lakini?
Basi ni habari njema, nafurahiNimepona namshukuru Maanan
ShukranBasi ni habari njema, nafurahi
Ni mbunge wa Ruangwa,
Sema alipita bila kupingwa.
Bado anatambulika kama mbunge wa kuchaguliwa.
Ni kipi ambacho hujaelewa hapo.Mara kachaguliwa, mara bila kupingwa.... una uhakika hujachanganyikiwa?
Wameshindwa hata kutumia Drones [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]Hivi hawa TBC hawana anti shaking stand za kamera zao. Video inacheeeza hadi kero
Shenzi sana wale, old skuli hadi basiWameshindwa hata kutumia Drones [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Mkuu ni hiyo maiti au?Hawa Askari waliokula kiapo inakuaje wanapita mbele ya janeza tena wamevaa sare na kofia wanapita kama raia au askari asiye na sare wanamaanisha nini hivi hawajui kama wanaweza kuchukuliwa hatua za kinidhamu?...
Daah this song made 😢😢😭😭😭Kuna wimbi ulikua unaimba wakati Mapadri wanaaga mwili unaimba "Eeh Bwana unifaadhili mimi"
Mwenye kuujua anipatie jina au link please 🙏