Daraja la Wami liitwe Samia na Flyover ya Kurasini iitwe Mwinyi

Daraja la Wami liitwe Samia na Flyover ya Kurasini iitwe Mwinyi

Salaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.

View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Afanye mwingine aitwe mwingine.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sawa mkuu, siku njema.

: Lakini siku nyingine jitahidi kutumia lugha zenye staha kwa watu usio wafahamu.
Mkuu wewe unachukia Nini daraja likiitwa kwa jina la Rais wa Sasa? Mi sikufahamu ila tambua mi mkubwa wako huko ulipo,
 
Majina ya watu kwa madaraja ama majumba husaidia nini? ukifanya mazuri utakumbukwa tu si lazima uwe kwa daraja.
 
Salaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.

View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Hivi Tanzania watu wanaostahili kuenziwa ni wana siasa peke yao? Hasa kutoka chama tawala.

Amandla...
 
Kwanini mgawanye nchi kwa majina yenu? Kwani ikiitwa daraja la Wami kuna shida gani? Au kuna shida ikiitwa daraja la Kurasini? Yaani wananchi tukatwe tozo tujenge daraja afu from no where iitwe Samia?! Hii tabia naona inakithiri nchi hii. Mara Kijazi, mara Magufuli. Ya nini?
 
Salaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.

View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Bora ungeshauri apewe hilo daraja kuliko jina lake kulala porini kwenye mamba wanaomeza nondo za daraja na kusababisha lisikamilike.
 
Kwanini mgawanye nchi kwa majina yenu? Kwani ikiitwa daraja la Wami kuna shida gani? Au kuna shida ikiitwa daraja la Kurasini? Yaani wananchi tukatwe tozo tujenge daraja afu from no where iitwe Samia?! Hii tabia naona inakithiri nchi hii. Mara Kijazi, mara Magufuli. Ya nini?
Kwanini tusibadilishe jina la Jamhuri badala ya Tanzania tuiite Magufuli!!
Mmaonaje!!
Na mlima Kilimanjaro tuutafutie jina la mwanasiasa.

Vipi l uhusu Norongoro na Manyara!
Hakuna wanasiasa wenye hamu kupawa wakina (namesakes) wa Mali asili hizi ?

Alisikika mlevi moja akubwatuka maneno haya.
 
Salaam Wakuu,
View attachment 2382402
Rais Samia anapaswa kuenziwa kama Marais wengine. Napendekeza Daraja linalojengwa la Wami, lipewe jina la Rais Shupavu Samia kama kutambua mchango wake wa kudumisha amani na kuleta Suluhu Tanzania, pia Samia amefanya Watanzania sasa wana furaha tofauti na takwimu za nyuma.

View attachment 2382393
Pia Mzee wetu Mwinyi jina lake liwekwe pale Flyover ya Kurasini kama ishara ya Upendo. Flyover ya Kurasini ni ndoto ya mzee Mwinyi ya siku nyingi.
Mnadumaza history KWa vizazi vijavyo ,na majina yenu hayo, kwani ujenzi UKIFANYIKA Kuna kiongozi anatoa pesa mfukoni mwakwe ? Nyie vipi we unafikili mpaka jina mto wani lipo mnajua KWa nini waliita jina hilo , ipo siku Mtaita hata Mlima Kilimanjaro mlima wa jk, pinda, au Tulia mnapoelekea sipo 2025 mkiondoka majina haya ya kujipendekeza lazima yafutwe
 
Kwanini tusibadilishe jina la Jamhuri badala ya Tanzania tuiite Magufuli!!
Mmaonaje!!
Na mlima Kilimanjaro tuutafutie jina la mwanasiasa.

Vipi l uhusu Norongoro na Manyara!
Hakuna wanasiasa wenye hamu kupawa wakina (namesakes) wa Mali asili hizi ?

Alisikika mlevi moja akubwatuka maneno haya.
Ni hatua mbaya tumefikia kama nchi. Zamani wanafunzi wanaenda shule ya Sekondari Magamba, Tosamaganga, Minaki, Weruweru, Ilboru, Kibaha, Mzumbe etc. Ghafla ikageuka Fredrick Sumatra secondary school, Benjamin Mkapa, Pius Msekea sekondari! Aiseee?l Hivi mtoto anafauluje kutoka shule inaitwa Benjamin Mkapa sec school? Au Fredrick Sumaye?! Ujinga. Sasa wanakuja na daraja la Kijazi, Magufu, sijui Mfugale flyover. Ni nini hii?! Tulipe kodi sisi, majina watajwe wao? Bila Kodi yetu hizo structures zingejengwaje?
 
Back
Top Bottom