Dark days 17/03/20...

Hizo layers mnaenda ninyi wa CHINI gizani.

Sie ni WA JUU, JUU sana. Tunaingia Ulimwengu huo kupitia ROHO wa KRISTO, Amen
Amen..

Viwango vyako viko juu.. Unaweza kujua huyu wa chini.. Huyu wa Kati.. Huyu wa juu..

Hakika hata Musa hakujiinua namna hii kuupiga ule mwamba na fimbo yake kuwanywesha kundi lake.
 
Mkuu weka Link watu tuone uongo wako
HAPA HAKUNA LINK
ni wewe tu unaandika Notice za madhabahuni kwa waumini wa kilokole
 
Du kanisa limeamia kwenye bandiko hili Sasa, hum Kuna watu wanajua maandiko hivi KILA mtu akiamuka na nondo zake tutafika jaman
Tuliwaambia UZI wa yoga umevamiwa na mapunguani hamkutuamini
sasa nagalia ulivyopotezwa ukahamia Dini za Uongo
je na mwinginw akileta Dini yake hapa si mtafaruku
Bora tusubiri hiyo season 2 huko Agosti 2022
 
Hizi hekaya za kuichafua Rwanda na rais wake Paul kagame ,eti " wanaiba madini ya congo DR" ifike Mahalia zipuuzwe.

Haiingii akirini , Rwanda iliyo Toka kusambaratika 1994 , ikiwa imezingukwa na vitisho vya wapiganaji wa kihutu , waliyo kimbilia Kongo Tena wakiwa na siraha za kivita ,iweze kijikusanya nakuanza kuchimba madini congo kabla hata ya miaka 5.
Kama madini yana weza kuibiwa kiupesi hivyo basi kusingekua ,GGM ,ACASIA, BARICK, Kule Tanzanait tungendelea kuikota, na Mwadui asingekuwepo muekezaji.
 
Wimbi la mwazo ni 1954. Ilikua kabla ya Mchonga meno, japo ukimsoma Muinjilist Kasupa anasema" hata Mchonga anatoka Hima empire"

Hao walio ingia 1954 miongoni mwao.walikua na ujuzi kama ualim , U doctor, nafani nyinginezo lakini zaidi mifugo.

Wengi walihudum.kulingana na ujuzi wao,hivyo ilitoa nafasi ya kuweza kuandaa kizazi kinachofuata.

Kimbuka hiki kizazi kilicho fuata kina uraia wa kizaliwa ,kutoka kwa zazi wao wenye wa kuandikishwa.
 
Viongozi wenyewe wanaleta uspiritcho kwenye siasa zao
 
Samahani muheshimiwa tunaomba link.
 
Samahani muheshimiwa tunaomba link.
Nimetoa rejea page no 244 nilipomjb CHLORINE GAS. Tatz wengi hamtafiti, anyway,

Kuna video U-Tube: type; NDOA za Kishetani Part 3, by mahanaim International.

Humo Kuna pepo ktk form ya kibinadamu alioa mke kanisani kbs na wakazaa watoto, alikuwa daktar hosp kubwa hapa mjini,

Alikuwa na uwezo wa kujigawa Akawa 2 places at same time na watoto ni nusu mtu nusu binadamu.
 
Nakusubiri kwa shauku mpenzi ukuje sasa August 15!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…