Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

tukale wapi polisi au...km huwezi kupiga kaa/tulia ivoivo! ule za uso!! ..... na bado!! akija mwingine kaa jiwe safari ijayo tunapiga nyundo ya kichwa ana kaa chini japo ni vigumu kumpata tena Lugumya! mlipukaji km jiwe!
Je, kama atakayekuja hatokuwa mropokaji, hatokuwa mpayukaji, atakuwa muwazi na mkali kwa yeyote atakayefanya uzembe, atakayehimiza kuwahi kazini, atakayeajiri, atakayethibiti mafisadi kisawa sawa, atakayeleta nidhamu kazini na maendeleo kwa ujumla, atakayetawala kwa haki n.k

Je, huyo mtampiga nyundo pia?
 
Je, kama atakayekuja hatokuwa mropokaji, hatokuwa mpayukaji, atakuwa muwazi na mkali kwa yeyote atakayefanya uzembe, atakayehimiza kuwahi kazini, atakayeajiri, atakayethibiti mafisadi kisawa sawa, atakayeleta nidhamu kazini na maendeleo kwa ujumla, atakayetawala kwa haki n.k

Je, huyo mtampiga nyundo pia?
Kwa sifa hizo tu!! tutamshika shika!! mahali fulani!! na sisi pia kimya!! kimya!!...ukizingatia dawa ya moto ni moto!!........Hakuna mweusi fisadi wewe!! ,,,hao ni waganga njaa!! rudi shule ndo uje hapa! ...

Nakuelimisha bure mafisadi wote!! ndo waleee! wauza watumwa!! km hujui!! .... unasikia dogo!
 
Gudu pipo how are you! Mko kimya vip na nyie mpo mnazurula ati natangaza wanyama na vinyago na milima na mabonde?

Nyie nilikuwa busy nasoma riwaya nimegundua
sijawahi kuona CEO anaeswampa kiasi hiki, ofisin hakukaliki ni full kuswampa kampuni zote duniani.

Wateja wa kampuni hii ambavyo hawatambui mambo basi wanachekelea na kusifia.

Nawaambia hivi, ukiona manyoa..........

wenye kampuni yao sasa wako jikoni wanapika na kupakua.
 
Gudu pipo how are you! Mko kimya vip na nyie mpo mnazurula ati natangaza wanyama na vinyago na milima na mabonde?

Nyie nilikuwa busy nasoma riwaya nimegundua
sijawahi kuona CEO anaeswampa kiasi hiki, ofisin hakukaliki ni full kuswampa kampuni zote duniani.

Wateja wa kampuni hii ambavyo hawatambui mambo basi wanachekelea na kusifia.

Nawaambia hivi, ukiona manyoa..........

wenye kampuni yao sasa wako jikoni wanapika na kupakua.
Inawezekana Kuna ukweli hapa maana ngoja tuone Mei mosi
 
kama uliacha page ya 97 huko ghafla umeingia ukakuta page zimeongezeka 105 kwashahuku ukaperuzi fasta nakuacha kazi zako ili kile kimbunga kisihe kunyofoa karatasi halafu unamalizia kuzisoma hizo page unakuta ni majibizano ya kifwalasi mwanzo mwisho njoo tusaidiane kuwataftia tusi hawa waliojaza huu uzi
 
kama uliacha page ya 97 huko ghafla umeingia ukakuta page zimeongezeka 105 kwashahuku ukaperuzi fasta nakuacha kazi zako ili kile kimbunga kisihe kunyofoa karatasi halafu unamalizia kuzisoma hizo page unakuta ni majibizano ya kifwalasi mwanzo mwisho njoo tusaidiane kuwataftia tusi hawa waliojaza huu uzi
 
Je, kama atakayekuja hatokuwa mropokaji, hatokuwa mpayukaji, atakuwa muwazi na mkali kwa yeyote atakayefanya uzembe, atakayehimiza kuwahi kazini, atakayeajiri, atakayethibiti mafisadi kisawa sawa, atakayeleta nidhamu kazini na maendeleo kwa ujumla, atakayetawala kwa haki n.k

Je, huyo mtampiga nyundo pia?
Akileta habari za kijiwejiwe ni nyundo tu
 
Gudu pipo how are you! Mko kimya vip na nyie mpo mnazurula ati natangaza wanyama na vinyago na milima na mabonde?

Nyie nilikuwa busy nasoma riwaya nimegundua
sijawahi kuona CEO anaeswampa kiasi hiki, ofisin hakukaliki ni full kuswampa kampuni zote duniani.

Wateja wa kampuni hii ambavyo hawatambui mambo basi wanachekelea na kusifia.

Nawaambia hivi, ukiona manyoa..........

wenye kampuni yao sasa wako jikoni wanapika na kupakua.
Kuna yule CEO alikuwa anaua wafanyakazi wake. Ndiyo maana wafanyakazi wanaona bora huyu kwani hali zao zimeimarika na wana amani
 
Back
Top Bottom