Please Madam NEW CEO,
Tafadhali nakusihi Kwa Jina la Mungu,
Itisha na litangazie Taifa juu ya maombi ya TOBA na REHEMA Kwa Taifa Zima Kwa japo siku 3.
Nimeona umeenda CHATO kuzuru tena kaburi la Old CEO,
Tafadhali sana, Kaburini hakuna solution, walioko gizani hawamsifu Mungu, wamefungwa ktk vifungo kusubiri HUKUMU,
Umepewa mamlaka juu ya watu, Mungu ametoa ujumbe Kwa Taifa Ili watu wote waingie ktk maombi bila kujali dini zao, kabila Wala RANGI.
Tangaza walau siku 3 za maombi ya kitaifa, tumebakiwa miezi 10 bt zisipoonekana jitihada, ADHABU juu ya Taifa, viongozi na KANISA vinaweza kuwa even before muda huo.
Ee Mungu, mbariki Madam NEW CEO, tunamuombea HEKIMA yako Mungu ktk kuwaongoza watu wa Mungu ktk Taifa.
Sikia kuomba kwetu.
Amen.
Tafadhali nakusihi Kwa Jina la Mungu,
Itisha na litangazie Taifa juu ya maombi ya TOBA na REHEMA Kwa Taifa Zima Kwa japo siku 3.
Nimeona umeenda CHATO kuzuru tena kaburi la Old CEO,
Tafadhali sana, Kaburini hakuna solution, walioko gizani hawamsifu Mungu, wamefungwa ktk vifungo kusubiri HUKUMU,
Umepewa mamlaka juu ya watu, Mungu ametoa ujumbe Kwa Taifa Ili watu wote waingie ktk maombi bila kujali dini zao, kabila Wala RANGI.
Tangaza walau siku 3 za maombi ya kitaifa, tumebakiwa miezi 10 bt zisipoonekana jitihada, ADHABU juu ya Taifa, viongozi na KANISA vinaweza kuwa even before muda huo.
Ee Mungu, mbariki Madam NEW CEO, tunamuombea HEKIMA yako Mungu ktk kuwaongoza watu wa Mungu ktk Taifa.
Sikia kuomba kwetu.
Amen.