Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Please Madam NEW CEO,

Tafadhali nakusihi Kwa Jina la Mungu,

Itisha na litangazie Taifa juu ya maombi ya TOBA na REHEMA Kwa Taifa Zima Kwa japo siku 3.

Nimeona umeenda CHATO kuzuru tena kaburi la Old CEO,

Tafadhali sana, Kaburini hakuna solution, walioko gizani hawamsifu Mungu, wamefungwa ktk vifungo kusubiri HUKUMU,

Umepewa mamlaka juu ya watu, Mungu ametoa ujumbe Kwa Taifa Ili watu wote waingie ktk maombi bila kujali dini zao, kabila Wala RANGI.

Tangaza walau siku 3 za maombi ya kitaifa, tumebakiwa miezi 10 bt zisipoonekana jitihada, ADHABU juu ya Taifa, viongozi na KANISA vinaweza kuwa even before muda huo.

Ee Mungu, mbariki Madam NEW CEO, tunamuombea HEKIMA yako Mungu ktk kuwaongoza watu wa Mungu ktk Taifa.

Sikia kuomba kwetu.

Amen.
 
Please Madam NEW CEO,

Tafadhali nakusihi Kwa Jina la Mungu,

Itisha na litangazie Taifa juu ya maombi ya TOBA na REHEMA Kwa Taifa Zima Kwa japo siku 3.

Nimeona umeenda CHATO kuzuru tena kaburi la Old CEO,

Tafadhali sana, Kaburini hakuna solution, walioko gizani hawamsifu Mungu, wamefungwa ktk vifungo kusubiri HUKUMU,

Umepewa mamlaka juu ya watu, Mungu ametoa ujumbe Kwa Taifa Ili watu wote waingie ktk maombi bila kujali dini zao, kabila Wala RANGI.

Tangaza walau siku 3 za maombi ya kitaifa, tumebakiwa miezi 10 bt zisipoonekana jitihada, ADHABU juu ya Taifa, viongozi na KANISA vinaweza kuwa even before muda huo.

Ee Mungu, mbariki Madam NEW CEO, tunamuombea HEKIMA yako Mungu ktk kuwaongoza watu wa Mungu ktk Taifa.

Sikia kuomba kwetu.

Amen.
Amen
 
Unabii wa 2023 Unaendelea:



MTO FRATI / EUPHRATES KUKAUKA.

MTO huu ni Moja ya mito mikubwa Duniani, Ina urefu wa 1700 miles na upana wa 1.7 miles.

MTO huu unapita ktk Nchi mbili za Syria na Iraqi. MTO huu ni Moja kati ya mito 4 iliyoizunguka Edeni.

MTO huu umekauka Kwa muda mfupi sana maana 2020 ulikuwa Haina dalili za kuwa kama ulivyo Leo.

UNABII KTK BIBLIA.

UFUNUO 16:12. Says:

Na huyo wa SITA akakimimina kitasa chake juu ya MTO Ule mkubwa FRATI, maji yake yakakauka, Ili njia itengenezwe Kwa WAFALME watokao ktk MAWIO YA JUA.

UFUNUO 9:14. Kufunguliwa Kwa Malaika 4 Walofungwa MTO FRATI. Bible says;

Sauti Kutoka PEMBE ya madhabahu iliyo mbele ya MUNGU ilisema, Ikimwambia yule Malaika wa SITA aliyekuwa na baragumu, wafungue, nao Malaika wanne waliofungwa kwenye MTO mkubwa FRATI/ Euphrates.


UFUNUO 6:7&8. Muhuri wa nne kufunguliwa 2019/2020:

Na tazama farasi wa RANGI ya kijivujivu na Yeye aliyempanda, Jina lake ni MAUTI na KUZIMU akafuatana naye.

Nao wakapewa mamlaka juu ya ROBO ya nchi, WAUE Kwa upanga, na Kwa njaa na Kwa Tauni na Kwa hayawani wa Nchi.

Muhuri wa nne ulipofunguliwa 2019/2020 ndipo liliruhusiwa JANGA la CORONA ktk Dunia.

Na Nia ni kuua ROBO ya Watu bil 7 waliopo duniani. Corona imeondoka na wake, vita zinaendelea na majanga mengine pia yanaendelea.

Nabii wa Mungu kabla muhuri wa nne kufunguliwa, aliambiwa Aombee Dunia Ili WAOKOLEWE angalau watu 50 milioni Kila Nchi Kwa wastani.

KUKAUKA Kwa MTO FRATI / Euphrates ni Ishara pia ya kufunguliwa Kwa Malaika 4 waliofungwa baada ya kuasi sawasawa na kitabu Cha mwanzo. Walifungwa ktk MTO huo na sasa wamefunguliwa (Ufu.9:14).

Malaika hao ndio watakaowaongoza WAFALME watokao ktk MAWIO ya JUA. East. Na watapita ktk MTO huo Ukiwa mkavu Kwa miguu kama ilivyotabiriwa ktk (UFUNUO 16:12.).

Na WAFALME hao 4 watapita ktk MTO huo, watembeapo Kwa miguu crossing FRATI river wakiwa na Askari wa vita 200 ml. Wakiongozwa na Malaika wanne waasi.

Baada ya dalili hizo na UFUNUO huo Kutokea, ISRAEL tayari inajiandaa Kwa vita 2023 maana unabii unasema mataifa yataungana kwenda kuishambulia Israeli.

ONYO.

Vita hivi vinavyoenda Kutokea ktk mataifa vinalenga kuua ROBO ya wakazi 7 bilioni walionktk uso wa Dunia,

Hivyo walioombewa wapone angalau watu ml 50 ktk Kila Nchi ktk Dunia ni WATAKATIFU, wamchao Mungu, Wana wa Mungu ndo watapona.

Malaika 4 waasi waliofunguliwa wataungana na shetani na majeshi yake kuua watu zaidi ya 1.8 bilioni people ambao ndo inakadiriwa kuwa ROBO ya Watu bil 7 Walio duniani.

Acha dhambi, Vaa magunia, uomboleze na mtafute Mungu Ili uwe mmoja wa watakaosalimika au kuokolewa.

Pesa ktk ac Yako, bunduki Yako, uchawi wako, au marafiki zako walevi hawatakuokoa ma majanga yajayo, njia pekee ni kugeuka na kutubu na kuacha UOVU.

Shetani anayewapumbaza ktk starehe na ulevi KAZI yake ni kuiba, kuharibu na kuua, hawezi Kuokoa, zaidi ya hapo anakuwazia mabaya akuangamize.


🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎷🎺🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊

Asomaye na Afahamu. Na mwenye sikio na asikie.

Ameeeeeen.
Ujumbe huu ilitoka tangu Sept mwaka Jana.

Mataifa kama Saudi Arabia, Syria, Lebanon, Turkey yasingepata madhara makubwa ya Matetemeko, Mafuriko, njaa kiasi kile kama yangeungana kulia na kuomba TOBA mbele za Mungu.

Tupatapo ujumbe wa Mungu, tusisubiri yatokee, tuchukue hatua kuyazuia yasitokee.

Mungu hajawahi kufanya au kuruhusu Janga au ADHABU itokee bila kuwaarifu Manabii wake.

Amen
 
Swali,,,

Ina maana hao watu Nusu Malaika ni kwamba wanaishi kabisa kama raia wa Tanzania?

Yaani wamezaliwa, Kusoma na kulelewa kwenye mazingira yetu ya kawaida kabisa?

Na watu hao wanajitambua kabisa kwamba wao ni Nusu mtu musu malaika?

Wanaujua wajibu wao ipasavyo?
Tafuta uzi mmoja wa Mshana anazungumzia kuhusu mbengu inayotungwa kipindi mama anapata ujauzito, ameelezea jinsi shetani anavyoiwahi na kupandikiza roho yake na mtoto akizaliwa anakuwa na tabia za ajabu ajabu.

Ni vizuri wana ndoa kabla ya kupata mtoto wawe makini katika kuomba na kutakasika ili shetani asipate nafasi ya kuvuruga kizazi.

Chunguza familia nyingi kuna baadhi ya mtoto/watoto wanatofautiana sana tabia na matendo mpaka wanafikia kujiuliza hivi huyu ni ndugu yetu/zetu kweli?

Yaani kama ni mwizi, ni mwizi kweli kweli, mgomvi, roho mbaya, tabia chafu, jambazi sugu, mwingine ana nguvu za ajabu akianza kupigana kuanzia asubuhi hadi jioni..n.k

Kwahiyo kuna uhusiano na alichokisema mdau japo kuna ambao ni malaika wanashuka kweli katika umbo la kibinadamu na wengine wanazaliwa kawaida, wanaweza kuwa hawajui wanapokuwa wadogo lakini wakishafikia umri/muda wa kuanza kazi ndipo ujulishwa mission yao na wao ni akina nani.

Mambo ni mengi.
 
Tafuta uzi mmoja wa Mshana anazungumzia kuhusu mbengu inayotungwa kipindi mama anapata ujauzito, ameelezea jinsi shetani anavyoiwahi na kupandikiza roho yake na mtoto akizaliwa anakuwa na tabia za ajabu ajabu.

Ni vizuri wana ndoa kabla ya kupata mtoto wawe makini katika kuomba na kutakasika ili shetani asipate nafasi ya kuvuruga kizazi.

Chunguza familia nyingi kuna baadhi ya mtoto/watoto wanatofautiana sana tabia na matendo mpaka wanafikia kujiuliza hivi huyu ni ndugu yetu/zetu kweli?

Yaani kama ni mwizi, ni mwizi kweli kweli, mgomvi, roho mbaya, tabia chafu, jambazi sugu, mwingine ana nguvu za ajabu akianza kupigana kuanzia asubuhi hadi jioni..n.k

Kwahiyo kuna uhusiano na alichokisema mdau japo kuna ambao ni malaika wanashuka kweli katika umbo la kibinadamu na wengine wanazaliwa kawaida, wanaweza kuwa hawajui wanapokuwa wadogo lakini wakishafikia umri/muda wa kuanza kazi ndipo ujulishwa mission yao na wao ni akina nani.

Mambo ni mengi.
Mungu aliposema usizini alimaanisha.

Ni Kweli Kila mtoto azaliwapo anakuwa na Ile inaitwa WILL, kujua mema na mabaya. Mtoto anatakiwa achague ndani yake atapojitambua.

Bt chanzo kikuu Cha mtu kupata mtoto mwenye TABIA tofauti na wazazi ni ZINAA.

Ukilala na mwanamke hata bila kuzaa naye unaungana naye kimwili na kiroho pia.

Kama mwanamke ana mizimu yakwao, mapepo, au magonjwa ya ukoo ya kurithi kama KIFAFA, UKOMA NK, unaungana nayo kupitia kufanya tendo la NDOA.

Hivyo ktk kizazi tegemea watoto wasioeleweka kama uliwahi fanya hivyo.

Sasa tangu ujana, hesabu wanawake uliowahi zini nao na tabiri future ya kizazi chako kijacho na aina ya watoto na wajukuu utakaokuwa nao.

ZINAA ni mbaya sana. DHAMBI zote zingine mtu hufanya nje ya MWILI wake, bt UZINZI mtu hufanya na mwili wake.

Mungu tuhurumie, tunatubu, utusamehe pia.

Amen
 
Mungu aliposema usizini alimaanisha.

Ni Kweli Kila mtoto azaliwapo anakuwa na Ile inaitwa WILL, kujua mema na mabaya. Mtoto anatakiwa achague ndani yake atapojitambua.

Bt chanzo kikuu Cha mtu kupata mtoto mwenye TABIA tofauti na wazazi ni ZINAA.

Ukilala na mwanamke hata bila kuzaa naye unaungana naye kimwili na kiroho pia.

Kama mwanamke ana mizimu yakwao, mapepo, au magonjwa ya ukoo ya kurithi kama KIFAFA, UKOMA NK, unaungana nayo kupitia kufanya tendo la NDOA.

Hivyo ktk kizazi tegemea watoto wasioeleweka kama uliwahi fanya hivyo.

Sasa tangu ujana, hesabu wanawake uliowahi zini nao na tabiri future ya kizazi chako kijacho na aina ya watoto na wajukuu utakaokuwa nao.

ZINAA ni mbaya sana. DHAMBI zote zingine mtu hufanya nje ya MWILI wake, bt UZINZI mtu hufanya na mwili wake.

Mungu tuhurumie, tunatubu, utusamehe pia.
Inatisha sana .Mungu atusaidie ndio maana maombi ya toba na rehema kwa ajili ya uzinzi huchukua muda mrefu sana kuisha. Wanaoelewa wanayaelewa haya.
 
Dunia itapigwa mapigo ya kutisha, bahari na mto Nile vitakauka, jambo litakalopelekea taabu, maji yatapatikana CHANZO Cha mto NILE pekee ambapo ni Tanganyika.
Isaya 19:5-7. Ni hivi:



Baada ya Gharika, Nuhu alizaa watoto watatu.

1.Hamu 2. Yafeth 3. Shemu.
Dunia yote imejazwa mataifa Kutoka hao watatu.

.HAMU kamzaa :
1.Kushi 2. MISRI 3. Put 4. Canaan.

YAFETH kamzaa:
1.Gomeri 2. Magogu 3.Madai 4. Yaani 5. Javani nk.

Shemu akamzaa:
1.Elamu 2. Ashuru 3. Alfaksad 4. Ludi 5. Aramu

MATAIFA YOTE YATAABUBU PAMOJA. Isaya 19:23,24.

Katika siku hiyo itakuwako njia KUU itokayo MISRI na kufika hata ASHURU,

Mwashuri atafika MISRI na MISRI atafika Ashuru. Na wamisri wataabudu pamoja na waashuri.

19:24 Katika siku hiyo Israeli atakuwa wa TATU pamoja na MISRI na Ashuru.

Watakuwa baraka kati ya Dunia.

MADHABAHU MISRI: (Isaya 19:19.).

Katika siku hiyo itakuwako madhabahu katika Nchi ya MISRI Kwa BWANA.

TAFSIRI YA MISRI KIUNABII.

1. MISRI ni mtoto wa HAMU mwana wa NUHU.
2. MISRI ni Nchi iliyopo Africa, usisahau Wana wa HAMU kushi na Canaan, Puti na MISRI ni mataifa ya AFRICA.

3. MISRI ya KIROHO. Tanganyika au NYIKANI. Ufunuo 11:8.

Mji Ule mkuu, uitwao Kwa jinsi ya ''Roho'' Sodoma, na MISRI.
Ikumbukwe kuwa mji wa Sodoma na gomora na Gaza alitawala mtoto wa HAMU aitwaye Canaan alielaaniwa na babaye. MWANZO 10:1-32.

TANGANYIKA au NYIKANI kama sehemu salama ya kukimbilia: (Ufunuo 12:6,14).

JoKA akisubiri MWANAMKE azae Ili ammeze mtoto., MWANAMKE akazaa, mtoto akatwaliwa MBINGUNI.

JoKA akakasirika, yule MWANAMKE akakimbilia NYIKANI ambapo ana Mahali palipotengenezwa na Mungu Ili wamlishe huko muda wa siku Elfu mia mbili na sitini.

MTOTO=YESU,YESHUA,ISSA alienyakuliwa Mbinguni.

MWANAMKE=KANISA,KUSANYIKO la waaminio MUNGU mmoja.

Mahali SALAMA panapoandaliwa kumtunza MWANAMKE au kanisa, wamwabuduo Mungu mmoja ktk siku hizi za mwisho ni TANGANYIKA.

Ufunuo 12:15. NYOKA akatoa maji mithili ya mto ammeze,Nchi ikamsaidia MWANAMKE, ikayameza maji, MTO NILE ukakauka.

Tanganyika akimbiliapo MWANAMKE maji hayatakauka ambapo ndio chanzo Cha mto NILE.

MATAIFA YOTE wamwabuduo Mungu mmoja na Kumkiri YESU kuwa ni Masihi watakuja huku ambapo Mungu amepaandaa special walindwe dhidi ya JoKA. Na huku pekee ndo patakuwa na MAJI.

ABT, KITI CHA U-CEO wa kampuni yetu kutokalika:
Fuatilia Unabii juu ya KAMPUNI yetu, ingia You tube,, manabii wengi wameonyeshwa juu ya Hilo.

Pia imagine Mungu aiandae Nchi yetu kupokea jambo kubwa kiasi hicho amini lazima KUTIKISIKE na KUCHIMBIKE.

Asomaye na afahamu. Amen
.
 
Narudia tena nchi haina dini, na kuthibitisha hilo huo ushauri wako wa kijinga hakuna atakayeufuata, sio leo wala kesho. Endelea kuishi kwenye ulimwengu wa kufikirika.
Wakati Magufuli anaitisha maombi ya corona ulikua haujapata smartphone? Au kipindi hicho nchi ilikua na dini?

Kenya hapo juzi walifanya maombi kitaifa kuombea mvua zinyeshe. Na wao nchi yao ina dini?
 
Anapovaa mwili wa mtoto anakuwa chini ya UANGALIZI.

Bt akikua anajua Kila kitu bt hawezi Sema au kufanya chochote bila kupata maelekezo Kutoka mamlaka ilomleta.

Ni majasusi from above, aweza jiattach anywhere.

Hii Dunia Iko hivi ilivyo sababu ya watu wanaoomba Mungu,

Akiachwa huru Ibilisi hata Kwa lisaa, anaiteketeza yote Ili wakae wao.
Mkuu samahani kwa maswali yangu ila kuna jambo najifunza....
Ina maana huyo namba 1 atakayekalia Kiti atakuwa binadamu Wa aina hii?
 
Sio hilo tu na hata lile la kwaenda kanisani kila jumapili na kushika kipaza sauti lilikuwa tatizo.

Ndio maana hauoni tena likitokea wakati huu, na halikuwepo huko nyuma kabla ya Magufuli. It was an exception not a rule!

Ni muhimu kwa serikali kujitenga na mambo ya dini, na hata inapojihusisha na kwa ajili tu ya kuhakikisha ulinzi na usalama (ambalo ni jukumu lake).

Kama mwananchi unadhani kuna umuhimu wa kuliombea taifa kwa imani yako huo ni uhuru wako, lakini kiongozi wa kitaifa akiingia huko tayari uhuru wa dini unapotea, linakuwa ni jambo la kiserikali.
Ukifuatilia Bungeni wana utaratibu wa kuanza session na ratiba ya bunge kwa dua na sala kila siku.

Pia tuna katiba inatambua na kuruhusu uhuru wa kuabudu kwa watu wote kila mmoja kwa imani yake.

Sasa kama huko bungeni wanaanza siku kwa kumuomba Mungu kwa dua na sala kwanini iwe ni tatizo mkuu wa nchi kutangaza maombi kwa taifa?

Bungeni wanaomba Mungu kwanini mkuu wa nchi kutangaza maombi iwe tatizo?
 
Anapovaa mwili wa mtoto anakuwa chini ya UANGALIZI.

Bt akikua anajua Kila kitu bt hawezi Sema au kufanya chochote bila kupata maelekezo Kutoka mamlaka ilomleta.

Ni majasusi from above, aweza jiattach anywhere.

Hii Dunia Iko hivi ilivyo sababu ya watu wanaoomba Mungu,

Akiachwa huru Ibilisi hata Kwa lisaa, anaiteketeza yote Ili wakae wao.
Mkuu unaposema anaweza kuji attach anyware unamaana gani? Naomba kueleweshwa hapa mkuu....[emoji122]
 
Mkuu unaposema anaweza kuji attach anyware unamaana gani? Naomba kueleweshwa hapa mkuu....[emoji122]
Anaweza ishi family maskini kabisa, au akaishi mahali akawa na mwonekano kama wa mwendawazimu,

Anaweza kuja kama abiria na akapanda bus, treni au meli asitambulike, Nia ni Kuokoa au kuangamiza, inategemea ameagizwa Kutoka JUU au CHINI.

Mungu alipotaka kuichoma Sodoma na gomora aliwatuma Malaika waliovaa miili ya WANADAMU kabisa,

Yohana Mbatizaji alikuja akawa akiishi porini akila asali na nzige,

Wapo wengine walielekezwa kuoa na kuzaa na makahaba kabisa nk nk.

Unaweza pokea mtu mwenye shida na kumkaribisha nyumbani ukamsaidia chakula na malazi usijue ni Malaika katumwa kwako ku unlock jambo lilofungwa kwako.

In most cases hawaji ktk ufahari na utajiri. Bt nguvu zao hazielezeki.
 
Back
Top Bottom