Mnanguliti
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 490
- 1,351
Nadhani awamu hii wamefanikiwa kumdaka
Haka kayoga kapo wap ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haka kayoga kapo wap ?
Hapn kingereza Cha yoga kinaelewekaAsante sana yoga tulikua tunakusubiria sana natumaini Christmas itakua ya furaha sana .
Tunatarajia mengi mazuri, ombi langu binafsi kwa vile ni mada zenye lugha iliyofungwa ikiwezekana punguza kidogo kiingereza kwa sababu ugumu unazidi kwa kiasi chake.
Yote kwa yote asante na karibu sana pia heri ya siku za Christmas.
Bado yuko chanika huyoUMESHAHAMA MKUU ,NIKUPOKEE (Natania) Nimekukumbusha tu
Sidhani kama yoga alisoma private, kiingereza ni lugha unayoweza kujifunza katika mazingira yoyote, ila kitu ukikiwasilishakwa lugha mama kinaeleweka vizuri kuliko lugha mgeni.Hapn kingereza Cha yoga kinaeleweka
Lkn pia somesha watoto private school ili wasije lalamika kama wewe
Kwanini hudhani Yoga alifundishwa na private school?Sidhani kama yoga alisoma private, kiingereza ni lugha unayoweza kujifunza katika mazingira yoyote, ila kitu ukikiwasilishakwa lugha mama kinaeleweka vizuri kuliko lugha mgeni.
Nimemwona akisalimiana na BT kwa upendo mkubwa sana hadi nikasema kumbe huwa wanasingiziwa eti wana "bifu"!Sherehe za mapinduzi ya Zanzibar, Mr. Slim is in da house!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nimemwona akisalimiana na BT kwa upendo mkubwa sana hadi nikasema kumbe huwa wanasingiziwa eti wana "bifu"!
Yoga hamna kitu.Yoga ebu leta "episode" inayofuta, kwa kuwa uzi wako umejaa mazongezonge mengi. Kama vipi toa neno moja ili uzi ufe. Kukaa kwako kimya bila ya ratiba yenye muendelezo wenye kutambulika na wadau ni sawa kabisa na wewe kukosa "consistence" na kualika hisia za ubabaishaji.
I'm sorry my sister, I ought to tell you this.
Hapana mimi sio kitengo,a normal civilian!sema ndio vile naandika ninachowaza kichwani!
Huna madhara ila unawatafuna watu mbususu zao kimaskhara!sina madhara kabisa!!
Sina hizo mkuu!Huna madhara ila unawatafuna watu mbususu zao kimaskhara!
Natamani kujua kuhusu mtumishi wa Mungu kuchukua ikulu.Sina hizo mkuu!
Ni stori na fantasy za jf tu!!
Inadhaniwa ni huyo Mzee was operation thunderstorms hata huyo nabii wa Dar kuangamia keshaonyeshwa huyo kwamba ndio ajaye!!Natamani kujua kuhusu mtumishi wa Mungu kuchukua ikulu.
Hii habari imenisisimua kidogo, maana kuna mtumishi naona anapiga sana kampeni, sijui ndio yeye!!
Hukuona mlinzi wa KP alizuiwa kumkaribia BT akagoma?Nimemwona akisalimiana na BT kwa upendo mkubwa sana hadi nikasema kumbe huwa wanasingiziwa eti wana "bifu"!