Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Asante sana yoga tulikua tunakusubiria sana natumaini Christmas itakua ya furaha sana .
Tunatarajia mengi mazuri, ombi langu binafsi kwa vile ni mada zenye lugha iliyofungwa ikiwezekana punguza kidogo kiingereza kwa sababu ugumu unazidi kwa kiasi chake.

Yote kwa yote asante na karibu sana pia heri ya siku za Christmas.
Hapn kingereza Cha yoga kinaeleweka

Lkn pia somesha watoto private school ili wasije lalamika kama wewe
 
Yoga ebu leta "episode" inayofuta, kwa kuwa uzi wako umejaa mazongezonge mengi. Kama vipi toa neno moja ili uzi ufe. Kukaa kwako kimya bila ya ratiba yenye muendelezo wenye kutambulika na wadau ni sawa kabisa na wewe kukosa "consistence" na kualika hisia za ubabaishaji.

I'm sorry my sister, I ought to tell you this.
 
Yoga ebu leta "episode" inayofuta, kwa kuwa uzi wako umejaa mazongezonge mengi. Kama vipi toa neno moja ili uzi ufe. Kukaa kwako kimya bila ya ratiba yenye muendelezo wenye kutambulika na wadau ni sawa kabisa na wewe kukosa "consistence" na kualika hisia za ubabaishaji.

I'm sorry my sister, I ought to tell you this.
Yoga hamna kitu.
 
Upo kitengo gani pale LUMUMBA?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mimi sio kitengo,a normal civilian!sema ndio vile naandika ninachowaza kichwani!

Kwa ku connect dots!

Ni mlipakodi nisiekwepa was kwaida hata ukiniona huwezi dhania naandika hivi!

Wengi humu wananifaham coz Sina madhara kabisa!!
 
Natamani kujua kuhusu mtumishi wa Mungu kuchukua ikulu.

Hii habari imenisisimua kidogo, maana kuna mtumishi naona anapiga sana kampeni, sijui ndio yeye!!
Inadhaniwa ni huyo Mzee was operation thunderstorms hata huyo nabii wa Dar kuangamia keshaonyeshwa huyo kwamba ndio ajaye!!

Japo anaanza kukosea ameitwa kutoa sadaka ya mil. Kumi Ili apakwe mafuta na kiwekwa wakfu Kwa kiti ana sua sua na hii inaweza kutuletea matatizo toka Kwa wahuni ndani ya chama kubwa!!

Na huu uteuzi wa mwanamkakati kua KM wa chama nahisi tutaanza kuona shughuli ya kunyamazishana inaanza rasmi ndani ya chama kubwa!!

Ni kweli ndio huyo huyo !!!
 
Back
Top Bottom