Unaweza kununua software, kulipiza course za online kama Udacity, tutorialspoint, udemy, n.k.ukinunua vitu online hukamatwi?
Vitu vitakufikiaje kama hujazi detail zako za delivery?
Najifunza
Wenye card wengi hawajui haraka Kama detail zao zimeibiwa.ukinunua vitu online hukamatwi?
Vitu vitakufikiaje kama hujazi detail zako za delivery?
Najifunza
Card ya kuswap unatoa wapi ilihali wale jamaa kule dark web wanakuuzia number za account Kwa ajili yamalipo mtandaoni.?Wenye card wengi hawajui haraka Kama detail zao zimeibiwa.
Unaingia dukani una swap unapewa vitu unatambaa hurudii tena kuitumia inaweza kuwa ipo flagged as a stolen card.
Bidhaa uliyonunua unaweza kuiuza tena kama kwenye second hand goods. Hiyo ni money laundering flani.
Hehehe,Yani mtu anakadi yenye dola 1000( sawa na shilingi 2, 300, 000/-) halafu mtu huyohuyo atafute wateja online kupitia dark web aanze kuuza kwa dola tanotano sawa na shilingi elfu kumi na moja [emoji16][emoji16][emoji16] dah inaingiaje akilini hii wataalamu wa darkweb?
Naona Wengi wame ngangania wapewe link π π .Maana humu kuna mdau kashaingia amekuja hapa kasema huko hamna ishu..
Inawezekana acess ya kupata hayo yote ni too difficult ni wachache sana wame penetrate huko.
Ila kwa story za hapa jf unakuta jamaa mshipa wa shingo unamtoka kuelezea utafkili anajua vile...
Kumbe kaenda google
Mkuu embu ingia hapo kwenye Non commercial erotica
Hiyo card inaweza kuchongwa na kuwa replica na unaletewa mpaka mlangoni kwako Kwa additional fee .Card ya kuswap unatoa wapi ilihali wale jamaa kule dark web wanakuuzia number za account Kwa ajili yamalipo mtandaoni.?
Kwenye Darkweb Unaweza nunua us credit card ya wizi toka Marekani yenye dollar hata 20000 kwa USD 500 ,na wakakuchongea replica yake ambayo unaweza tumia kwenye atms au swapping machines Kwa risk zako mwenyewe , hiyo card wabayokuchongea inakuwa na uwezo ule ule kama alivyo nayo huyo aliyeibiwa hizo taarifa zilizotumika kuchonga hiyo card nyingine .Card ya kuswap unatoa wapi ilihali wale jamaa kule dark web wanakuuzia number za account Kwa ajili yamalipo mtandaoni.?
Nimekupata sasa changamoto inabaki kuwa hapa tz ukinunua mfano kifaa cha $20000 ni lazima utapewa na maristi na pengine dukani panakuwa na camera vipi upelelezi ukiendelea huwezi kudakwa Kwa kuangaliwa Kwa kumbukumbu kutoka pale dukani?Kwenye Darkweb Unaweza nunua us credit card ya wizi toka Marekani yenye dollar hata 20000 kwa USD 500 ,na wakakuchongea replica yake ambayo unaweza tumia kwenye atms au swapping machines Kwa risk zako mwenyewe , hiyo card wabayokuchongea inakuwa na uwezo ule ule kama alivyo nayo huyo aliyeibiwa hizo taarifa zilizotumika kuchonga hiyo card nyingine .
Kiufupi siku hizi wahuni hawana muda wa kukuibia card yako ,wao information tu chache za kwenye card uliyonayo zinatosha , we baki na plastic lako ,kazi watamaliza wenyewe .
Ndio maana kuna mdau hapo kasema , kama ukiamua kutumia credit card au debit card ya wizi ,ni vizuri kuitumia maramoja na kuhakikisha unakomba kila kilichomo humo kwa mpigo na kudispose hiyo card mazima .
Maana mara nyingi muhusika anakuwa hajashtukia kama kuna wahuni wana replica ya card yake na wameshaanza kuwithdraw pesa either Kwa online payments , kuswap au kuwithdraw Kwa atm
Ndio risk zenyewe hizo , ndio maana kuna mtu anaweza jiuliza kwa nini hao wadukuzi wanaamua kuuza hizo card za wizi na kuchonga card za wizi kwa kuiba au kudukua information za watu ? .Nimekupata sasa changamoto inabaki kuwa hapa tz ukinunua mfano kifaa cha $20000 ni lazima utapewa na maristi na pengine dukani panakuwa na camera vipi upelelezi ukiendelea huwezi kudakwa Kwa kuangaliwa Kwa kumbukumbu kutoka pale dukani?
Unajua mode operandi ya wizi wa kutumia grabber na kutengeneza kadi mpya yenye taarifa kama Ile original?Card ya kuswap unatoa wapi ilihali wale jamaa kule dark web wanakuuzia number za account Kwa ajili yamalipo mtandaoni.?
Mkuu uko deep Sana,Asante Kwa elimu.Ndio risk zenyewe hizo , ndio maana kuna mtu anaweza jiuliza kwa nini hao wadukuzi wanaamua kuuza hizo card za wizi na kuchonga card za wizi kwa kuiba au kudukua information za watu ? .
Jibu ni kwamba wanatawanya risk .
Yeye muuzaji na mdukuzi anayetengeneza card na kuiba information za watu anaona ni less risky kuliko kuamua kuwithdraw pesa au kununua vitu kwa kutumia card hizo za wizi ,
So inatakiwa kila unachofanya utambue na risk zake pia
Hata wewe unayenunua unabeba risk kubwa tu ya kudakwa na vyombo vya kuzuia uhalifu kama ukishtukiwa
Okay hapo sawa hawa jamaa ni noma Sana,sasa mfano aliyeibiwa taarifa za card yupo Iceland atamdakaje anaye withdraw Hela Kwa ATM akiwa na kadi ya mchongo akiwa kigoma na pengine anaingia ATM akiwa kaficha sura?Unajua mode operandi ya wizi wa kutumia grabber na kutengeneza kadi mpya yenye taarifa kama Ile original?
Kadi inaibiwa taarifa Zanzibar inaonekana imetumika UK au SA na mmiliki anayo original yake USA?
Imetumika physically siyo online.
Na ukisha nunua hizo bidhaa utazitumia wapi ? Yaani hukohuko Dark Web au utakuja tumia huku duniani?Unaweza nunua hata sumu kali za kuua maelfu ya watu kwa wakati mmoja , vitu kama polonium , cyanide , vinapatikana kule .....
Hadi viungo vya mwili vinapatikana , porn za kila aina , makahaba wa jinsia zote ,madawa ya kulevya , kukodi wauaji , silaha , vitambulisho vya kila aina , wadukuzi wa kukodi nk
Kila uchafu unaoujua
Unajua dunia hii ina mambo ya ajabu sana! Yani ilikuwa ala ya music ambayo nilisikiliza kupitia laptop yangu. Hakuna maneno ni ala peke yake nilisikiliza muda usiozidi sekunde 3 hivi amini usiamini kuna vitu utaviona au kuvisikia utadhani ni vya kawaida kumbe vyaweza kuwa roho na kuleta madhara makubwa kwa mtu.Ilikuwaje mkuu
Ubongo wa binadamu umeumbwa kuchunguza vitu ulimwenguni haijalishi ni vya namna gani!Unajua dunia hii ina mambo ya ajabu sana! Yani ilikuwa ala ya music ambayo nilisikiliza kupitia laptop yangu. Hakuna maneno ni ala peke yake nilisikiliza muda usiozidi sekunde 3 hivi amini usiamini kuna vitu utaviona au kuvisikia utadhani ni vya kawaida kumbe vyaweza kuwa roho na kuleta madhara makubwa kwa mtu.
Yaani ule mziki ulikuwa mmbaya mnooo, sina maneno ya kusema miziki mibaya sote tunaijua kwa hali ya kawaida; ila bwana kuna miziki MIBAYA!!! Ulishawahi kusikia rangi au kuona harufu? Huo mziki niliuona na kunusa harufu yake! Oooohhh!!! Acha kabisa duniani kuna mambo ya ajabu.
Niliingiliwa na kitu nachoamini ni supernatural yaani pepo mmbaya sana na nilijikuta sina tena ile amani na ubinadamu nilioumbiwa na Mungu! Kumbe Mungu ametuumbia mambo mazuri hivyo na kwamba roho wa Mungu yupo kweli ndani yetu kama tunvyosikia watu wa Mungu wakisema?
Manake kwa muda mfupi tu less than two days nilizokuwa katika hali ile kila mtizamo wangu kuhusu maisha ulibadilika sikuweza kukaa au kulala na kupata usingizi. Hata nikitembea barabarani natamani kukimbia au kuruka.
Nashukuru Mungu bado roho ile Mungu hakuiruhusu initawale ufahamu wangu kwani bado nilikuwa najitambua na kujua nini cha kufanya. Na liporusha laptop yangu nikaingia kuomba Mungu msaada haraka na kukemea hali hiyo kwa Jina la Yesu.
Kesho yake baada ya toba kubwa niliingia Agano na Mungu kuwa nisiamke asubuhi inayofuata nilikuwa na hii hali. Na Yesu ni mwezaji na mwaminifu. Ilipofika saa 11 asubuhi ile nazinduka tu usingizini ghafla nilisikia sauti kubwa ikitoka kinywani huku kinywa changu kikifunguka bila mimi kupenda na sauti kubwa HIIIIIIIIIHHHH ilisikika! Haikuwa mwayo hata kidogo. Sikuamini huo ndio ulikuwa mwisho wa hali ile. Lakini kuteseka niliteseka hata kutamani kufa kabisa!
Vijana msithubutu kuangalia dark webs/sites ni sawa na kwenda kuzimu, ni malango ya kuzimu (portals) na yamewekwa mahsusi kuwaingizia watu mapepo!
πππππAlafu kuna watu wanapambana humu ahahahah yaani mambo ya hovyo tuu...
Hata mimi niliwahi ingia mkuu nilijua takuta watu wanauza viungo kweli au video za watu wakichinjana kumbe mbambamba tuu
Uwezo wako bado ni mdogo sana kuelewa kinachojadiliwa humuNa ukisha nunua hizo bidhaa utazitumia wapi ? Yaani hukohuko Dark Web au utakuja tumia huku duniani?
Msitufunge kamba bana? Ni porn gani ambayo iko Dark Web na haiko huko GOOGLE? Hayo madawa ya kulevya ukishanunua utafikishiwaje hapa Kimara unapoishi?
Eti silaha kununua Dark Web? Kwanini nisiende kununua Eastern Europe huko au DRC kwenye mapigano.
ACHENI UFALA na hiyo DARK WEB, Haina lolote