Dark web hamna lolote!! Nimeingia huko sijaona kinachoelezwa!

huko siyo uhalifu tu bob
Hiyo ni una censored internet
Wasiwasi wako tu wangekua wanashida wangeanza na hawa watz wanaomiliki blog za porn hapa hapa bongo!

we jamaa ni muoga na uko paranoid hujui hata nchi yako jinsi inavyo work
Sijui nchi inavyo work sawa ,ila najua Cyber security na Sheria zake,kwa kusoma darasani na kwa kusikia kama hivi,..unajua mwenye piratebay ujinga kidogo sana,zaidi ya kidogo umemkamatisha,now yupo segadance,jela miaka 15
 
😅😅😅
Kaka mimi ni muumini wa falsafa hii,"everything is possible under the sun".
Yan naamin kabisa hata yale ambayo mimi sijawah hata kufikir kama yapo, tayar kuna watu wanayajua na kuyafanya since long time.
Ila unayoyajua kama dark web hutaki kunishirikisha. Sijui kwa nini bro hunitakii mema kiasi hiki 😁
 
huko siyo uhalifu tu bob
Hiyo ni una censored internet
Wasiwasi wako tu wangekua wanashida wangeanza na hawa watz wanaomiliki blog za porn hapa hapa bongo!

we jamaa ni muoga na uko paranoid hujui hata nchi yako jinsi inavyo work
Hujaelewa,porn sio illegal,..ila Ina content gani ndio illegal,huwezi kutafutwa na askari wa Tanzania,utafatiliwa na FBI,kama umeangalia Movie inaitwa Snowden au umesoma habari zake,FBI na CIA wanauwezo wa kusoma hata hii post,tena watu hawazidi watano,wanasoma emails na message za watu Dunia nzima,Kuna Maneno Wana ya filter so zile potential threat ndio zinachujwa,..so mtandaoni usikae kwa kujiamini sana,
 
Nenda kajifunze na kujioneea kisha ukija hapa ubaki kuwasoma tu la ukiweza wachallenge
Yeah mkuu maana naona wadau wa dark web wanamwaga data tu. Ila pia wamenijibu swali nililokuwa najiuliza sana kuwa, kwa nini human trafficking ni biashara kubwa sana lakini impact yake ni utaiona kwenye simulizi za documentaries bila kuwa na specific data. Sasa ndio nimeelewa
 
Wewe hapo unaongea kwa experience au unaongea kwa sababu na wewe ulisimuliwa mkuu
 
Acha uongo we bwana mdogo wa Nkasi Rukwa.😀😃😄😁
 
Mkuu,nataka nikaangalie porn bila kuvunja sheria...ni porn gani naweza ona bila kuvunja sheria?
Kwa kweli sijui maana sijawahi fungua hizo link .. Na pia hata kama ningejua nisingeweka hapa maana nitakubwa na balaa la kusambaza maudhui ya ngono mitandaoni.

Wewe tumia njia zako utazipata tu.
 
Wakuu ukisikiliza stori za dark web mtandano na mitaani unaweza pagawa.

Lakin huko dark web hamna lolote
Ungekuja taratibu kuuliza ungeelekezwa.
Kuna jamaa alitoka mkoani kwenda Dar kutembea, akafika pale stand ya magufuli, akazungukazunguka mle ndani akatoka pale nje akaangaza angaza akaamua kukata tiketi ya kurudi kwao.

Aliporudi huko mkoani aliipondea sana Dar, kwamba watu wanazusha tu kuhusu dar lakini haina chochote sababu yeye amefika na akazungukazunguka sana pale stand lakini hakuona kitu cha maana zaidi ya jengo la stand na akahitimisha kwamba Dar yote jengo kubwa na zuri ni ile stand ya pale Mbezi meisho.
 
Tuleten odds tule mikeka tuwe matajr
 
likuwa money manager wa APOLLO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…