DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

Hakuna hoja hata moja iliyoqahi kujibiwa humu na hawa nyumbu DART! Ushuzi kabisa huu!
 
Huduma zetu zinaendelea vyema tafadhali endelea kutufuatilia , yajayo yanafurahisha.
 

Attachments

  • Januarry 4 photo.jpg
    Januarry 4 photo.jpg
    215.4 KB · Views: 19
Huduma zetu zinaendelea vyema tafadhali endelea kutufuatilia , yajayo yanafurahisha.
Jamani e u wakatazeni wanawake wanaoingia kwenye hizi bus huku wamevaa vicodom na matiti nje nje. Sio maadil ya kitanzania. Kutiana dhambi tuu
 
BASI LA MWENDOKASI (KIMARA _KIVUKONI) LAPITA NA ABIRIA WA KOROGWE HADI KIBAHA

Leo 30/11/2023 basi la mwendokasi limeenda na abiria waliopanda korogwe ili wageuze na basi kutokana na changamoto ya mabasi asubuhi ya leo!
Mabasi yalikuwa yanatoka kimara mwisho yakiwa yamejaa hivyo abiria kusubiri kituoni kwa muda mrefu!!
Basi lilipo fika kimara mwisho licha ya wingi wa abiria kituoni, supervisor aliwataka abiria kushuka na kukata tiketi upya ili waweze kuendelea na safari!
Wengine walioweza kukata tiketi walishuka pamoja na wanafunzi walio kuwa na mitihani iliwabidi wawahi shule!
Wengine tuliobakia tulihitaji kufaulishwa basi jingine bila tiketi mpya au la basi liendelee na safari!
Supervisor akabadili basi route kwenda KIBAHA
Abiria tuliopandia korogwe tukachanganywa na wa KIBAHA !
Njiani tuliomba msaada kwa traffic akampa maelekezo dereva wa basi kuwa akifika mbezi Luis aingie ili supervisor wa mbezi atufaulishe basi la mjini, lakini tulivyo fika mbezi Luis dereva alikaidi hakuingia, akapitiliza!!
Tumefika KIBAHA tukatakiwa tena kukata tiketi ya kurudi mjini kama ilivyo awali na ustaarabu wetu tukamuita askari ili kutatua mzozo, haikuwa rahisi mpaka alivyo kuja kiongozi wa LATRA mkoa wa Pwani kuja kutatua mzozo!!
Ni kweli tumefika makazini kwa kuchelewa (kucheleweshwa) lakini tulikuwa tunasimama kwenye haki, unaweza vipi kukaa dk45 kituoni kusubiri mwendokasi, na magari yanakuja hayasimami???
Wasimamizi walishindwa nini kutoa taarifa kuwa kituo cha korogwe kimejaa watu zije gari tupu kuondoka kadhia???
Supervisor aliona hasara gani sisi abiria wa KOROGWE kupandia basi kimara mwisho??
Ukweli hakuna asiye jua changamoto iliyopo sasa kwenye mwendokasi, lakini hakuna anaye taka kutatua!
Pamoja na uchache wa mabasi kwa sasa lakini bado asubuhi unakuta mabasi yame_paki na abiria wanapata shida!!
Tunalazimika kupanda mwendokasi kwasababu daradara ziliondolewa kwenye route ya mwendokasi, sasa kama mzigo umekuwa mkubwa waruhusu daradara kama awali!
Hivi hii huwa ni special thread ya DART au UDART ? Anyway ! Wafanyakazi wa mabasi wana jeuri, kiburi, dharau, kejeli na katiri kwa abiria wa mabasi ya MWENDOKASI. Inatia moyo kuona leo bosi wa DART ametenguliwa. Tusubiri.
 
Kweli kabisa ilitakiwa huduma ya daladala angalau kati ya Mbezi na Kariakoo ili uwepo ushindani
 
Mnazingua Hakuna Chenchi Vituoni Kama Kazi Imewashinda Semeni Mtuachie Hzo Barabara Zenu Watembea Kwa Miguu
 
Habari wadau
Mimi leo naomba tujiulize kwa pamoja hivi raia wanateseka kwa usafiri monopoly wa mwendo kasi ni kwa faida ya nani ,magari yaliyopo yanamudu kuchukua abiria wachache kwenye vituo vikubwa kama vile mbezi mwisho na kimara mwisho ,kwingineko mtu unakaa kituoni masaa matatu ,unachoona ni mashindano ya Express kivukoni na Express gerezani yanapita kama yameibiwa ,mimi najiuliza hali hii itadumu hadi lini ?
Kama watumishi wa mwendokasi hawalioni je na serikali haioni au ndio tumekuwa yatima kila kitu kwetu ni anasa?
 
Habari wadau
Mimi leo naomba tujiulize kwa pamoja hivi raia wanateseka kwa usafiri monopoly wa mwendo kasi ni kwa faida ya nani ,magari yaliyopo yanamudu kuchukua abiria wachache kwenye vituo vikubwa kama vile mbezi mwisho na kimara mwisho ,kwingineko mtu unakaa kituoni masaa matatu ,unachoona ni mashindano ya Express kivukoni na Express gerezani yanapita kama yameibiwa ,mimi najiuliza hali hii itadumu hadi lini ?
Kama watumishi wa mwendokasi hawalioni je na serikali haioni au ndio tumekuwa yatima kila kitu kwetu ni anasa?
Kwa hali ilivyozidi kuwa mbaya, monopoly ya UDaRT ni hasara na mateso zaidi Kwa abiria Kwa faida yao wenyewe. Sio win win situation.

Kutokana na upungufu mkubwa wa mabasi , UDaRT wanatakiwa kufuta ruti zote za ziada (zile ambazo zinaenda nje ya mfumo rasmi wa Barabara na vituo) namaanisha zile za Mbezi, Mloganzila na Kibaha.

Kwa kifupi abiria wa Mbezi anayo option ya kupanda Daladala pale Kimara Mwisho, hivyo kufuta ruti za ziada kutaongeza mabasi ambayo Sasa yatakuwa hayaendi Mbezi na kuokoa muda wa kwenda Mbezi kutoka Kimara na kurudi.

Chaguo la pili ni Kwa LATRA kuruhusu Daladala za kuanzia Mbezi au Kimara kwenda mjini (Posta/Kariakoo) na kurudi hata kama itakuwa ni Kwa asubuhi na jioni TU kipindi ambacho kunakuwa na abiria wengi na mfumo kuzidiwa.
 
Kwa hali ilivyozidi kuwa mbaya, monopoly ya UDaRT ni hasara na mateso zaidi Kwa abiria Kwa faida yao wenyewe. Sio win win situation.

Kutokana na upungufu mkubwa wa mabasi , UDaRT wanatakiwa kufuta ruti zote za ziada (zile ambazo zinaenda nje ya mfumo rasmi wa Barabara na vituo) namaanisha zile za Mbezi, Mloganzila na Kibaha.

Kwa kifupi abiria wa Mbezi anayo option ya kupanda Daladala pale Kimara Mwisho, hivyo kufuta ruti za ziada kutaongeza mabasi ambayo Sasa yatakuwa hayaendi Mbezi na kuokoa muda wa kwenda Mbezi kutoka Kimara na kurudi.

Chaguo la pili ni Kwa LATRA kuruhusu Daladala za kuanzia Mbezi au Kimara kwenda mjini (Posta/Kariakoo) na kurudi hata kama itakuwa ni Kwa asubuhi na jioni TU kipindi ambacho kunakuwa na abiria wengi na mfumo kuzidiwa.
umeongea kitu cha muhimu sana magari ya mbezi ,kibaha yatolewe yaje yasaidie yanayopita mfumo wa BRT maana kuongeza magari imekua anasa
kumtoa udart sababu hakidhi vigezo imekua mtihani.

Bila DART kuongeza mbia mwingne wakurugenzi watendaji watabadilishwa sana maana UDART( kampuni ya msajili wa hazina) amekua boss hawezekani kutoka wanachokifanya DART ni kazi bure

hata ya mbagala akija kupatikana mtoa huduma ndani ya mwaka 2024-2025 naondoka jamiiforum nawambia mods wafute acc yangu
 
Asante kwa kuja.
Ni lini hayo mabasi mtayapeleka Mwanza pia ili wananchi wapate huduma ya usafiri..??
Sababu jiji la Mwanza limekua na tayari limechangamka na mkituletea hizo Bus zikaanzia route ya Kisesa, Igoma, Neshno, Buzuruga, Mabatini, Nata, Pepsi, Mkuyuni, Nyegezi, Buhongwa, Nyashishi hadi Usagara and Return.
Naunga mkono.
 
Jamani e u wakatazeni wanawake wanaoingia kwenye hizi bus huku wamevaa vicodom na matiti nje nje. Sio maadil ya kitanzania. Kutiana dhambi tuu
Hebu Jikaze we Mzab mbona safari nyenyewe haiwagi hata ndefu. 😎
 
Back
Top Bottom