Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Aisee....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaKwa huduma gani wanayotoa
Kabisa, njia jumuishi inaanzia wapi mpaka wapi? Mbona hakuna hiyo nauli ya 800, kuna 400,650,1050. Sijui hiyo jumuishi ni ipi AiseeeNjia jumuhishi ndo zipi?
Itakuwa ile ya kukaa kituoni zaidi ya saa mojaKwa huduma gani wanayotoa
Wapandishe tu hadi 5000 Kisha tumpongeze mama kwamba anaupiga mwingi.Mbowe anaongoza kwenda ikulu.Wamefanya vizuri sana. Ni lazima kila mwananchi achangie kuijenga nchi yake. Lakini mbona viwango pendekezwa bado ni vidogo? Ni bora wapandishe zaidi ili zitumike kwa muda mrefu!
Kwa Jiwe nadhani nusu ya abiria tungekuwa tumekufa, huyo mwamba alikuwa hatari sana kwa TaifaKumekucha.
Wale wa kimara kivukoni express kazi tunayo.
Utoke hapo upande ya mbezi.
Mbona tutamkumbuka JPM kwa mazuri.
#MaendeleoHayanaChama
Kipindi cha Jiwe kulikuwa na shida ya mafuta duniani? Jiwe kipindi chake ndiyo watu wasiojulikana waliibuka kuteka na kuua watu. Sasa hivi hayo mambo hayapoDuu aisee huyu mama nae anaendeshwa sana mbona wakati wa Magu watu walikuwa hawaji na haya mambo.Na asipoangalia hadi anaondoka soda itakuwa 1000
Kichwa maji kweli wewe...eti chenji itasumbua.yaani nauli ipande kwa zaidi ya 100% wewe unaona sawa tu.Dart wamependekeza nauli ya mabasi ya mwendokasi iwe 1500. Kutokana na kupanda kwa gharama za uendeshaji.
Mimi ninaona hii nauli ni ndogo, ilipaswa kuwa 3000, kwa kuwa kutoka gerezani hadi kimara ni mbali sana, pia Yale mabasi ni mazuri na yapo faster, pia 1500 chenji zitakua zinasumbua sana.
View attachment 2239464
Yapo Ila kwa kiwango kidogoKipindi cha Jiwe kulikuwa na shida ya mafuta duniani? Jiwe kipindi chake ndiyo watu wasiojulikana waliibuka kuteka na kuua watu. Sasa hivi hayo mambo hayapo
Kusoma hujui?Kwa hiyo Kimara-Kivukoni/Gerezani itakuwa shingapi? Nimeona tu 1,500..mara 800..mara 600...sijaelewa!!
1500 ni ndogo sana. Ilistahili kuwa 3000Kichwa maji kweli wewe...eti chenji itasumbua.yaani nauli ipande kwa zaidi ya 100% wewe unaona sawa tu.
Nieleweshe kiongozi!Kusoma hujui?
Akili ya kuiba?3000 Itapendeza na itatupa akili zaidi .
Si usome hiyo habariNieleweshe kiongozi!