Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayashuki maana hiyo issue ya wese ni Kama mimba iliogoma kutoka kinachosubiliwa Ni kujifungua ndo hivyo DART wanapendekeza.Kwanza mafuta si yatashuka??Kwa nini wasisubiri kwanza
Kumekucha.
Wale wa kimara kivukoni express kazi tunayo.
Utoke hapo upande ya mbezi.
Mbona tutamkumbuka JPM kwa mazuri.
#MaendeleoHayanaChama
Nchi bei hazishukagiKipindi chake Sukari ilipanda haikushuka mpaka leo.
Hata hizi nauli zinazopanda kwa sasa tusitegemee kushuka hata hali ya mafuta itakapo kuwa nzuri.
Kwani Jiwe angemzuia dikteta Putin kavamia nchi ya watu?!!!Mbona tutamkumbuka JPM kwa mazuri.
Mi-5 tena 🙄 kwa Bi-tozo!Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) umependekeza nauli kwa njia jumuishi kuwa TZS 1,500 kutoka TZS 800 inayotozwa hivi sasa.
DART imetoa mapendekezo hayo katika kipindi hiki ambapo Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) ikitarajia kufanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi hayo yaendeyo haraka maarufu mwendokasi.
Kwa mujibu wa taarifa ya LATRA, wameitisha mkutano wa wadau kutoa maoni ya nauli ya mabasi hayo baada ya kupokea maombi ya kurejea nauli za mabasi hayo kwa mkoa wa Dar es Salaam kutoka DART.
Katika mapendekezo yake DART inataka njia kuu ambazo abiria wanatozwa TZS 650 kwa sasa ipandishwe hadi TZS 1,200 na kwa njia ambazo abiria wanatozwa TZS 400 kwa sasa ipande hadi kufikia TZS 600.
Kwa upande wa njia jumuishi ambazo nauli TZS 800, DART imependekeza abiria watozwe TZS 1,500 na kwa wanafuzi wanaotozwa TZS 200 imependekezwa walipe TZS 300.
Kimsingi DART wanatakiwa kupunguza nauli kutokana na biashara iliyopo...Kwa sasa DART wanakusanya fedha nyingi ambazo zinaibwa kutokana na mpango na usimamizi mbovu...Serikali itafute taasisi nje ya nchi ambayo ina utaalamu katika usqfirishaji wa abiria.
Kama wakiruhusu DART kuongeza nauli basi waruhusu watu binafsi waende mjini na kariakoo kwa bei nafuu.
Kumekucha.
Wale wa kimara kivukoni express kazi tunayo.
Utoke hapo upande ya mbezi.
Mbona tutamkumbuka JPM kwa mazuri.
#MaendeleoHayanaChama
Kufa ukamkumbuke vizuriKumekucha.
Wale wa kimara kivukoni express kazi tunayo.
Utoke hapo upande ya mbezi.
Mbona tutamkumbuka JPM kwa mazuri.
#MaendeleoHayanaChama
Daladala gani inafika KKOO kutokea Kimara?Hiyo nauli ikipanda kwa kiwango hicho vurugu itarudi kwenye daladala, japo sidhani kama hayo mapendekezo yatafikiwa, itapanda kwa kiasi kidogo kama ilivyokuwa kwa daladala na mapendekezo yao.
HIVI HAWA WANAKUNYWAGA KWANZA POMBE HALAFU NDIO WANAKAA VIKAO AU HUWA AKILI WANAPELEKA WAPI?Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) umependekeza nauli kwa njia jumuishi kuwa TZS 1,500 kutoka TZS 800 inayotozwa hivi sasa.
DART imetoa mapendekezo hayo katika kipindi hiki ambapo Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) ikitarajia kufanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi hayo yaendeyo haraka maarufu mwendokasi.
Kwa mujibu wa taarifa ya LATRA, wameitisha mkutano wa wadau kutoa maoni ya nauli ya mabasi hayo baada ya kupokea maombi ya kurejea nauli za mabasi hayo kwa mkoa wa Dar es Salaam kutoka DART.
Katika mapendekezo yake DART inataka njia kuu ambazo abiria wanatozwa TZS 650 kwa sasa ipandishwe hadi TZS 1,200 na kwa njia ambazo abiria wanatozwa TZS 400 kwa sasa ipande hadi kufikia TZS 600.
Kwa upande wa njia jumuishi ambazo nauli VTZS 800, DART imependekeza abiria watozwe TZS 1,500 na kwa wanafuzi wanaotozwa TZS 200 imependekezwa walipe TZS 300.
Uko sahihi. Hata Marekani kituo hadi kituo ni dola 5 zaidi ya elfu 10 za kitanzania. Tulipokuwa ziarani Marekani hatukuwahi kuona wananchi wakilalamikia nauli; walikuwa wanalipa kwa bashasha kwanini hapa iwe tofauti? Hapana, watu walipe!Wamefanya vizuri sana. Ni lazima kila mwananchi achangie kuijenga nchi yake. Lakini mbona viwango pendekezwa bado ni vidogo? Ni bora wapandishe zaidi ili zitumike kwa muda mrefu!
Mlikuwa mnaua wote?Kipindi cha Jiwe kulikuwa na shida ya mafuta duniani? Jiwe kipindi chake ndiyo watu wasiojulikana waliibuka kuteka na kuua watu. Sasa hivi hayo mambo hayapo
Yale yale unafanaisha mimba na kitambi. Kama ndio hivyo sasa kwanini wanashindwa kulipa mishahara na posho sawa sawa kama Marekani anavyo walipa watu wake.Uko sahihi. Hata Marekani kituo hadi kituo ni dola 5 zaidi ya elfu 10 za kitanzania. Tulipokuwa ziarani Marekani hatukuwahi kuona wananchi wakilalamikia nauli; walikuwa wanalipa kwa bashasha kwanini hapa iwe tofauti? Hapana, watu walipe!
Hili ni soko huria kila mwananchi alipie huduma hakuna vya bure. Wasioweza wahamie Urundi.