Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Tembea kwa miguu!Hatutaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembea kwa miguu!Hatutaki
Alisikika mwizi mmoja wa vingungutiKwa Jiwe nadhani nusu ya abiria tungekuwa tumekufa, huyo mwamba alikuwa hatari sana kwa Taifa
Swali zuri sana Ndugu. Maana unamwambia mtu nauli 1500 kweli kwa maisha yapi? Inamaana kila abiria na lita yake? Badala kuboresha huduma zao wao wanazidi kandamiza abiria. Gari zenyewe zimeshajifia ,unangoja gari kituoni mpaka unakoma wanapita tu, sasa ngoja gari lifike mnajazana kama nyanya na hakuna tena spika za matangazo wala screen kuionyesha gari jili linaenda wapi.Yote tisa njoo sasa kwenye tiketi zile mashine zilishakufa na hakuna mpango wa kuzifufua zamani tulitumia hadi kadi maalum unajaza ukifika huna haja ya kukaa foleni kata tiketi unaweka kwenye mashine iasoma mlango unafunguka unapita.Badala ya kuboresha wao wanazidisha nauli yaani imekuwa abiria ndiyo wa kukandamizwa.Basi moja dogo linauwezo wa kuchukua abiria mpaka 60 sasa zidisha kwa safari ngapi kwa siku na hapo ni mwanzo hadi mwisho wa safari sijaongelea wapo wanaoshuka njiani na kuingia utaona ni kiasi gani wanapata.njoo yale marefu unaweza sema yanapakia abiria 100 nayo piga hesabu. Kumbuka haya magari hayakai kwenye foleni hivo kuna unafuu wa matumizi ya mafuta .Kwani tangu balaa lianze, mafuta yamepanda kwa kiasi gani? Mbona kama ongezeko lote anabebeshwa abiria mmoja?
Au kila abiria anatumia lita yake kwa kila kilomita anayosafiri?
Nagongea like!1,500/- kimara hadi posta ni ndogo? Kuweni na aibu basi hata kama mmetumwa kufanya propaganda mitandaoni.
Huo usafiri ubadilishwe jina, uitwe Mwendokaraha au Mwendokero au Mwendokubanana!Usafiri wenyewe wa kujazana na kubanana?
Ile huduma ya mama anaupiga mwingi.Kwa huduma gani wanayotoa
Kwani mwendokasi hujui ya nani? Kisena na riz1 hao.Duu aisee huyu mama nae anaendeshwa sana mbona wakati wa Magu watu walikuwa hawaji na haya mambo.Na asipoangalia hadi anaondoka soda itakuwa 1000
Ndugu Mbaga, kuwa na aibu basi kiongozi. Hivi mnadhani maisha ni marahisi kiasi hicho, au wenzetu bado ni tegemezi hamuoni maisha yanavyokwenda eti?1500 ni ndogo sana, Udart watapata hasara mara zaidi. Mm nashauri nauli iwe 10000.
Kwan mm nmependa iwe hvy.? Hawa watu wanatuona sisi ni source of income zao Kwahiyo Acha tuwape tuuNdugu Mbaga, kuwa na aibu basi kiongozi. Hivi mnadhani maisha ni marahisi kiasi hicho, au wenzetu bado ni tegemezi hamuoni maisha yanavyokwenda eti?
Pole pole usipige kelele sana. Angalia mtoto asiamke ndiyo anataka kulala. Nimeongoza kuni kwenye moto ambao hawa watawala wameuwasha wenyewe pengine wananchi wataamka kwenye usingizi wa pono waliolala wakati nchi inaliwa!1,500/- kimara hadi posta ni ndogo? Kuweni na aibu basi hata kama mmetumwa kufanya propaganda mitandaoni.
3000 hata AC hakuna na kuna nyakati mnajazana kama ng'ombeDart wamependekeza nauli ya mabasi ya mwendokasi iwe 1500. Kutokana na kupanda kwa gharama za uendeshaji.
Mimi ninaona hii nauli ni ndogo, ilipaswa kuwa 3000, kwa kuwa kutoka gerezani hadi kimara ni mbali sana, pia Yale mabasi ni mazuri na yapo faster, pia 1500 chenji zitakua zinasumbua sana.
View attachment 2239464
Kwanza mafuta si yatashuka??Kwa nini wasisubiri kwanza