Kila abiria anatumia nusu Lita ya mafuta!?!!?Kwani tangu balaa lianze, mafuta yamepanda kwa kiasi gani? Mbona kama ongezeko lote anabebeshwa abiria mmoja?
Au kila abiria anatumia lita yake kwa kila kilomita anayosafiri?
1,500/- kimara hadi posta ni ndogo? Kuweni na aibu basi hata kama mmetumwa kufanya propaganda mitandaoni.Wamefanya vizuri sana. Ni lazima kila mwananchi achangie kuijenga nchi yake. Lakini mbona viwango pendekezwa bado ni vidogo? Ni bora wapandishe zaidi ili zitumike kwa muda mrefu!
MWENDOKASI TISA. KUMI NIMABASI YA MBEZI MLANDIZI. MAFUTA YAMEPANDA KWA MIA TATU LKN HUKU NAULI IMEPANDA KWA MIA $ITA (TOKA 1600 HADI 2200)Kwani tangu balaa lianze, mafuta yamepanda kwa kiasi gani? Mbona kama ongezeko lote anabebeshwa abiria mmoja?
Au kila abiria anatumia lita yake kwa kila kilomita anayosafiri?
Kuna nyumbu zinasema 1,500 ni ndogo eti iwe 3,000/-. Hizi nyumbu zitakuwa ziko ngorongoro hata mwendokasi hazijui.Wallah wakipandisha sitakaa nipande.
Mzima coco...Habari nzuri kwa kuongeza kipato.. tupate huduma na mengi..
Kazi iendeleee....
Mzima coco...
Nirudi kwenye mada,sawa wasifikirie tu kuongeza nauli,waboreshe na huduma pia,maana usafir huo ni wa ovyo
Ova
Huduma zenyewe mbovuduh!!!
Sikujua ni wa hovyo pia.
Mkuu wangu hii TZ hatujui tunataka niniKabisa, njia jumuishi inaanzia wapi mpaka wapi? Mbona hakuna hiyo nauli ya 800, kuna 400,650,1050. Sijui hiyo jumuishi ni ipi Aiseee
Ukitaka kutoa maoni yako kuhusu nauli ha mwendokasi iongezeke au laah tuma e mail kama walivyoelekeza kwenye hii attachmentWakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) umependekeza nauli kwa njia jumuishi kuwa TZS 1,500 kutoka TZS 800 inayotozwa hivi sasa.
DART imetoa mapendekezo hayo katika kipindi hiki ambapo Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) ikitarajia kufanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi hayo yaendeyo haraka maarufu mwendokasi.
Kwa mujibu wa taarifa ya LATRA, wameitisha mkutano wa wadau kutoa maoni ya nauli ya mabasi hayo baada ya kupokea maombi ya kurejea nauli za mabasi hayo kwa mkoa wa Dar es Salaam kutoka DART.
Katika mapendekezo yake DART inataka njia kuu ambazo abiria wanatozwa TZS 650 kwa sasa ipandishwe hadi TZS 1,200 na kwa njia ambazo abiria wanatozwa TZS 400 kwa sasa ipande hadi kufikia TZS 600.
Kwa upande wa njia jumuishi ambazo nauli TZS 800, DART imependekeza abiria watozwe TZS 1,500 na kwa wanafuzi wanaotozwa TZS 200 imependekezwa walipe TZS 300.
Toa hayo maoni yako kwenye e mail hizi hapa kwenye attachmentHapana elf 1500 ni ndogo, ilitakiwa iwe sh elf5, ili chenji isisumbue
Njia jumuhishi ndo zipi?
Naunga mkono hoja yako. Tatizo lipo kwenye hii menejimenti ya Dart. Wapigaji walikimbilia na kukwapua mradi. Serikali ilikwama wapi sijui.Kimsingi DART wanatakiwa kupunguza nauli kutokana na biashara iliyopo...Kwa sasa DART wanakusanya fedha nyingi ambazo zinaibwa kutokana na mpango na usimamizi mbovu...Serikali itafute taasisi nje ya nchi ambayo ina utaalamu katika usqfirishaji wa abiria.
Kama wakiruhusu DART kuongeza nauli basi waruhusu watu binafsi waende mjini na kariakoo kwa bei nafuu.
Huku vijijini umbali kama huo kutoka kivukoni hadi kimara tunalipa 3000 siku nyingi na hatulalamiki ,kituo hadi kituo buku,Nashauri iwe 3000 ili miradi iishe haraka tumalize na huo umeme huko vijijini tupumzike.WANAUME WA DAR TUNAHUDUMIA NCHI NZIMA HALAFU KUNA DUWANZI MMOJA AMEKAA KIJIJINI HUKO ANAJAMBA HOVYO ATALETA DHARAU.