Labda akitaka amchukue yeye.Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema. Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh,halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya. JOCATE ACHA USINITCH.