harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
Aeleze vizuri kumzidi magu? Ivyo ndivyo magu alivyotengua uteuzi ndani ya dkk1 kama ilivyo mada yenyeweHebu elezea vizuri tukuelewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aeleze vizuri kumzidi magu? Ivyo ndivyo magu alivyotengua uteuzi ndani ya dkk1 kama ilivyo mada yenyeweHebu elezea vizuri tukuelewe
Alifikiri kwa kuwa alikuwa anakula kitu ya mabosi kule CDM (wakudadavuliwa),basi akajiaminisha na huyu atamla tu,kumbe ni tofauti.Huyo atakuwa aliingia anga za mtu. Kwani hajui kuna teuzi zinafanyika kulinda maslahi binafsi? Mtela Mwampamba akome kabisa maana kila akiona kinachong'aa anadhani ni halali yake. Aliingia vibaya. DC piga kazi sana kwa utulivu.
kama ni kweli yohana amesema hayo hadharani basi ni aibu kubwa kwa mtu kama yeye kuyasema hayoUmemsikia Rais alivyomwambia DAS mpya ?Kamwambia sasa wakagombanie wanaume na DC. That means Jocate na Mtela walikuwa wanagombana.
Maadili ya kazi! Sio lazima iandikwe UKIMTONGOZA MKE WA MTU UNATUKUZWA. Pia mpaka inafikia rais anapewa taarifa kuhusu huyo DAS, ni wazi alio nao wamemchoka!Kila anaetongoza wake za watu serikalini anafukuzwa?
Kwa sheria ipi?
Ndio anaonekana bado anatabia za kimbowe mboweHivi si ni yule alietokaga CHADEMA. Sijui ni Mtela Mwampamba.
2020
Mmojawao ni nani?
...😂😂😂... 'Karma is real' kusema kweli.
Kashfa mbaya sana hii, bora angemsitiri tu kutokutoa sababu ya utenguzi wake. mbona viongozi wengi tu wanatenguliwa bila kutajwa sababu husika. Aint fair na itamtesa sana kisaikolojiaMambo ni moto
View attachment 1490942
Mtela (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe
RAIS MAGUFULI AMTENGUA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISARAWE
Rais wa John Pombe Magufuli, amemtengua Katibu Tawala wa Kisarawe, Mtela Mwampamba na kumteua Mwanana Msumi, aliyekuwa Afisa Tawala wa Wilaya kuchukua nafasi hiyo.
Rais Magufuli amesema kuwa Katibu Tawala huyo amekuwa akikiuka kimaadili ya viongozi wa umma, hata kuchukua wake za watu.
Ameyasema hayo alipokuwa katika uzinduzi wa mradi wa maji Kibamba-Kisarawe uliogharimu Tsh Bilioni 10.6.
Pia katika uzinduzi huo Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Joketi Mwegelo kwa kutokomeza ziro.
Soma pia: Mtela Mwampamba aondolewa Ubungo na badala yake awa DAS Kisarawe
wakati wa Mobutu, kuna ndugu yake Mobutu alimpenda mume wa mtu, huyo jamaa alikua ni mtangazaji wa habari, basi huyo ndugu yake Mobutu akamchukua jamaa kwa nguvu licha ya kuwa jamaa kaoa, mke wa jamaa alistukia tu mumewe kaenda kazini hakurudi na alipomtafuta alipewa onyo akae mbali nae, jamaa akateuliwa kuwa balozi wa Zaire huko Africa ya kusini nk mpaka akafa baada ya miaka hakuwahi tena kuonana na mkewe akaenda kumuoa ndugu yake MobutuBado yule naibu waziri anayefakamia waume wa watu , wasaliti watapukutika wote .
Ndo huyo huyo Mkuu! Aliuuza ushindi wa CHADEMA mara mbili kwa ma CCM wakamzawadia Udas. Kisiasa amekwisha kabisaaa, labda akiwa huko Kisarawe ajifunze fani ya uchawi awe anawaloga CHADEMA hapo JPM atamkumbuka tena.Hivi si ni yule alietokaga CHADEMA. Sijui ni Mtela Mwampamba.
2020
... sio alitoka bali alifukuzwa Chadema.Hivi si ni yule alietokaga CHADEMA. Sijui ni Mtela Mwampamba.
2020