Labda akitaka amchukue yeye.Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema. Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh,halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya. JOCATE ACHA USINITCH.
Alimpeed tokomeza zero huyo. AtakomaNi kutokana na tabia ya kutongoza wake za watu.
Katibu tawala wa Tarafa ateuliwa.
2020
Umemsikia Rais alivyomwambia DAS mpya ?Kamwambia sasa wakagombanie wanaume na DC. That means Jocate na Mtela walikuwa wanagombana.Kwa nn umsingizie Jokate wakati Luna informer wengi Tu hapo. Acha uchonganishi.
2020
Mkuu muwe mnatuliza akili kabla ya kuandika,Tanzania kuna cheo cha katibu tawala wa tarafa?Ni kutokana na tabia ya kutongoza wake za watu.
Katibu tawala wa Tarafa ateuliwa.
2020
Na ndo tabia yake. Hata CHADEMA walimuonya hakusikia. AkomeAlionywa hakusikia.
Ndo hapo sasa,au Mtela alimtongoza Jocate nini ?Maana sababu ya kutumbuliwa iliyosemwa ni kuchukua wake za watu .Sasa inabidi aongee vizuri na Mkuchika ili apewe kazi nzuri. Maana anaweza pelekwa kushika chalc.Kila anaetongoza wake za watu serikalini anafukuzwa?
Kwa sheria ipi?
πππDuh .!, Mkuu yeye alijuaje?
Hapo kashaleta tafrani kwenye familia ya huyo DAS
Sioni Kama ni wake za watu aseme kaingilia makoloni ya vigogo
hii comment yako niliipita, ila baada kama ya dakika 1 nime connect dots βwake za watuβNa Kipozea cha mweshimiwa kipo kisarawe eeh
Una hakika Jokate ndo kamchongea?Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.
Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.
JOCATE ACHA USINITCH.
Umemsikia Rais alivyomwambia DAS mpya ?Kamwambia sasa wakagombanie wanaume na DC. That means Jocate na Mtela walikuwa wanagombana.