Imani yake na watu waliofaidi uwepo wake pale si haba
Naomba kuuliza kwa mnaojua, hivi kwanini tuhuma za udini zinamwanda Dr Dau peke yake? Kabla ya Dr Dau kuingia NSSF alikuwepo Bw. Mkulo ambaye pia ni muislam je tuhuma hizi zilikuwepo? Na Dr Dau ndo alikuwa CEO peke muislam kwenye mashirika ya umma hapa nchini?
A
Acha wehu maaskofu walipewa na hawakuiba,akili za ki nguruwe hizo[/QUOT
Kwa hiyo maaskofu ni mambulula, wapokee kiasi kikubwa cha mshiko bila kujua source na motive ya mtoaji hasa nini tena kupitia bank yao ya money laundering (Mkombozi). Haileti maana, utapeli mtupu na unyonyaji. Wolves in sheep clothing.
Ambassador, Dr Dau is a daring personality who elavated NSSF status and Improve members' need. It is so unfortunate, some power hungry, good for nothing individuals who are illusioned enough to think they can fit in his shoes.Wakati tukiwa bado tunasubiri ripoti za wizi ulifanya na kiongozi huko Nssf,tayari kuna taarifa kuwa kampuni nyingine zinazofanya kazi na NSSF zina uhusiano na Dr. Dau.
Hizi ni pamoja na kampuni ya ulinzi inayolinda majengo na ofisi za NSSF,pia kuna taarifa kuwa kuna kampuni ya mtoto wake aliyeko Uingereza imepewa kazi ya kuiwezesha NSSF kupata cheti cha ubora ie ISO.
Kampuni hiyo imemtuma mwakilishi wake ambaye analala hotelini ya bei ghali na kulipiwa na NSSF kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Mabilion ya pesa yameshatumika kuilipa hiyo kampuni ya mwanae Dau.
Pia inasemekana NSSF waliingia mkataba na wawakilishi feki wa Real Madrid kwa ajili ya kujenga chuo cha mambo ya mchezo na gharama kubwa imeshatumika huku kukiwa na sintofahamu baada ya Real Madrid kudai hawahusiki ktk hilo suala na sasa NSSF wameshtakiwa kwa kutumia jina hilo bila idhini yao.
Nitakuja nawapakulia jinsi ntavyozidi kuzinyaka.
Hata kama ameiba lakini hili la Iso mtoa uzi itakuwa umepata taarifa kijiwe kwa waswahili.
Mimi ni mmoja wapo ninaye fanya kazi kwenye taasisi ambayo imethibitishwa na Iso hiki ni chombo madhubuti cha kimataifa kinachothibiti ubora na viwango hawezi mtu akaghushi maana ukisajiliwa unakuwa na namba ya uthibitisho.
Kama wangekuwa wameghushi basi wangekuwa wameshtakiwa kwenye vyombo vya kimataifa siku nyingi.
Acheni kuleta story za vijiweni humu hata kama hayo mengine ni kweli uzi wako siuamini tena.
Wewe mwenyewe jina lako la kikafiri,nyie ndo wale makafiri watumwaEwe kafiri Ficha upumbavu wako, unaweza kuthibitisha hayo madai yako au unahorojoka usicho kujua???
Nchi yetu na hatia ya uongozi wa ccmJamani mambo ya udini yamefanyika na hayana nafasi tena humu sasa ni kujadili ufisadi wa dau,
Dau kaiba sana Nssf na hili halina ubishi,kuna jamaa yangu ni mmoja wa timu iloyotumwa kumfukunyua mambo huko Nssf hasa idara ya uwekezaji anasema ni nomaa wamekuja hadi viwanja hewa,vongine viko baharini !!!!, bado wako huko watakuja na ripoti ndipo mapopo bawa natamani ardhi ipasuke muingie humo😀😀
Embu tufanye hatujaona hilo aliloongelea kuhusu I SO... Je, hayo mengine nayo ni uongo pia?[emoji4]Yeye ina maana hajui kuwa ISO hutoa cheti hiko baada ya ukaguz na kujiridhisha?
Hajui kuwa ISO inabase ktk uhalisia wa kimataifa kisha ndipo hutoa hiko cheti?
Jinga kabisa eti anadhani cheti hicho kinatolewa kwa kujuana au kifamilia...
HA ha ha ha poleni, kumbe ndevu zile ni za kupiga hela zetu. Inawezekana huna hata Michango NSSF.Kwa hiyo shida sasa ni ubalozi?!! Mnataka akae kando kabisaaa ndio mfurahi?!! Endeleeni na hizi kelele pengine Magufuli atawasikia tena.
Waislam hawana sifa?/ hawajasoma?Wanasifa za kielimu/wamesoma.
Ewe kafiri elewa, kafiri sio tusi bali ni jina unalo stahili. Kafiri ni yoyote aliye kinyume na uislam, ingekuwa wewe ni muislam usinge sema kafiri ni tusu.kwa taarifa yako mie ni mwenzako si mkristo. Bali hoja yangu ni watu kuwa wastahimilivu kidogo hata Kama umekereka. Fikiria wewe ukiitwa kafiri utajisikaje? Mjibu kiuataarabu si matusi. Kawaida hapa JF kumekuwepo Na wimbi la wakurupukaji wa kukanusha ila inauma pale ukweli unapojidhihirisha. Kumbuka hizi ni tetesi na zinatakiwa kuthibitishwa. Pole sana
Na hilo ndilo kitakalompatia utetezi wa nguvu sio facts. Umeona huyo Bigie wa Mtwara alivyokuja kwa kasi? Huyo yuko tayari kumtetea hata jambazi mradi awe na hakika ni wa imani yakeImani yake na watu waliofaidi uwepo wake pale si haba
Kwa hiyo wewe kama baba yako anaenda kinyume na uislamu unaweza kumuita kafiri kwa kuwa sio tusi?Kaf
Ewe kafiri elewa, kafiri sio tusi bali ni jina unalo stahili. Kafiri ni yoyote aliye kinyume na uislam, ingekuwa wewe ni muislam usinge sema kafiri ni tusu.
Silimu kwanza ndio ukatae kuitwa kafiri. Usipo Silimu utaendelea kuwa kafiri mpaka kufa kwako. MwenyeziMungu akuongoze utoke kwenye ukafiri.
Yeye ina maana hajui kuwa ISO hutoa cheti hiko baada ya ukaguz na kujiridhisha?
Hajui kuwa ISO inabase ktk uhalisia wa kimataifa kisha ndipo hutoa hiko cheti?
Jinga kabisa eti anadhani cheti hicho kinatolewa kwa kujuana au kifamilia...
Cheti iko!,..nachotaka kukujuza ni kwamba Cheti cha ISO hakitolewi kwa magumashi kama unavyodhani
Na siyo Nssf pekee ambao wana cheti cha ISO ..ni makampuni meengi private na goverment ambayo wamefanikiwa kupata hiko cheti baada ya hayo makampuni kufanyiwa ukaguz
Mfano PSPF..KCMC..Bahkhera Groups na mengine meengi
Cheti hiko ni cha kimataifa huwez kukipata kwa magumashi
Ficha upumbavu wako
Teh teh kazi kweliHuyu ni moja ya kambi pinzani ya Dr Dau, yaani hili sakata la NSSF ni burdani tupu.
Hapa bado watetezi wa Dr Dau hawajaja kwa wingi, nadhani kwa sababu ya siku yenyewe hii.
Ukajua!, bakhera!Ukila tu lazima uteteee tumekujuwa ilooooooooooooo, tulia utumbuliwe
Yatajulikana tu. Hata akiuficha upumbavu wake, kama ni ya kweli yatafahamika kupitia angle nyingine. Tusubiri tuone.