Uchaguzi 2020 David Kafulila amjibu Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 David Kafulila amjibu Tundu Lissu

Umemaliza kila kitu badala ya kumuattack personal wajibu hojs zake Tena kwa takwimu Kama alizotoa yeye tofauti na hapo Kafulila atakuwa mshindi

Amini nakuambia kila mtu anaichukia CCM ya sasa anaichuki kwa sababu zake binafsi, either amekosa safari za nje, au amekosa seminar za ndani na za nje, rushwa iliyokua imehalalishwa, au mfumo wa awamu hii umesababisha biashara zake, kazi, au vitega uchumi visivyokua na maslahi kwa taifa kufa, ila wanakuja kuunganishwa na kitu kimoja tuu kwamba sababu ya kukosa maslahi ni Magufuli; ndio maana hata ukiwauliza hawana majibu ya kuridhisha na wengi wanaishia kutoa matusi na kufoka.

Tanzania ni yetu wote hakuna mwenye nchi nyingine, kila mtu akiweza kuongea points wenye takwimu sahihi kama alivyoongea Kafulila itasaidia kuelimishana na kufanya maamuzi sahihi
 
Tumbili kafulila ni juha mkubwa bado amekariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM akijiona ni mjanja kumbe anajichoresha mbaya
 
Nyumbu ni CCM hata mbugani nyumbu ni wengi kama CCM walivyokuwa wengi, kafulila yupo vizuri kivipi kwa lipi? Labda yupo vizuri kwako wewe mbumbumbu juha zuzu.
Mbona unanitukana hadi mimi mna ushabiki wa kijinga Sana wa siasa sijui mnalipwaga sh ngapi?
 
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini kwasasa Jimbo la Uvinza amejibu hoja zilizotolewa jana na Mgombea kiti cha Urais wa JM !-

LISSU APANGULIWA HOJA 7 KWA MIKWAJU 7 YA TAKWIMU NA KAFULILA!...
Hivi Bwawa Kafulila ni mchumi au mhasibu au ni general purpose fella ?
Nimekuwa namfuatilia kutokea Escrow naona hoja zake ziko kwenye fedha.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini kwasasa Jimbo la Uvinza amejibu hoja zilizotolewa jana na Mgombea kiti cha Urais wa JM !-

LISSU APANGULIWA HOJA 7 KWA MIKWAJU 7 YA TAKWIMU NA KAFULILA!...
Nimeona data nyingi lakini sioni reference. Hizo data tutaziaminije?
Nikidhani nitakuta na "links" za kutupeleka kwenye ushahidi wa ayasemayo,au "references" za kututhibitishia hayo asemayo!
Sources alizozileta,kila nikijaribu kuzitafuta,nakutana na "dead ends".
 
Kafulila amejibu Kama msomi sana Kama kweli kaandika yeye basi anauwezo mkubwa Sana.
Naona wanaojibu hoja wanajaribu kupuyanga na kuhamisha Mada mara msaliti mara mambo ya mkewe mara uteuzi na vijitusi vilivyozoeleka.
Ningekua nauwezo wakumjibu kafulila ningemjibu ila hoja Zake ni nzito ngoja niendelee kutafiti ukweli wa hoja zake nisije kumjibu namimi nikawa kituko Humu.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Tundu alitoa takwimu zisizo sahihi kwa hiyo kumjibu ilitakiwa majibu yaje na takwimu sahihi na sio blah blah blah
Kafulila yuko vizuri siku zote
 
Amini nakuambia kila mtu anaichukia CCM ya sasa anaichuki kwa sababu zake binafsi, either amekosa safari za nje, au amekosa seminar za ndani na za nje, rushwa iliyokua imehalalishwa, au mfumo wa awamu hii umesababisha biashara zake, kazi, au vitega uchumi visivyokua na maslahi kwa taifa kufa, ila wanakuja kuunganishwa na kitu kimoja tuu kwamba sababu ya kukosa maslahi ni Magufuli; ndio maana hata ukiwauliza hawana majibu ya kuridhisha na wengi wanaishia kutoa matusi na kufoka....
Chuki kubwa kwa mtukufu magufuli inatokana na vitendo vyake vya kuwaonea wapinzani kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi kwa njia haramu za kishetani kwenye chaguzi mbalimbali na kibaya zaidi kaja na njia mbaya ya kupora majimbo kusema kapita bila kupingwa ikiwa ni style mpya ya kishetani.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini kwasasa Jimbo la Uvinza amejibu hoja zilizotolewa jana na Mgombea kiti cha Urais wa JM !-

LISSU APANGULIWA HOJA 7 KWA MIKWAJU 7 YA TAKWIMU NA KAFULILA!...
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa toka Lissu arudi nchini tabia ya mh propesa Magufuli libadilika ghafla; akawa mpoleeeeee.

Huyu jamaa atakuwa mpole zaidi akienda Bukoba kwa Wahaya kuomba kura!! Akidhania wamesahau matusi aliyowatukana baada ya tetemeko.
 
Tundu alitoa takwimu zisizo sahihi kwa hiyo kumjibu ilitakiwa majibu yaje na takwimu sahihi na sio blah blah blah
Kafulila yuko vizuri siku zote
Kwa mwenye upeo Mdogo Akili finyu atamuona kafulila yupo sawa lakini kule kigoma wanamjua kafulila ni mbumbumbu juha zuzu ndiyo maana walimtosa kwenye kura za maoni, hakuna binadamu mwenye Akili timamu atamkubali Tumbili kafulila.
 
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa toka Lissu arudi nchini tabia ya mh propesa Magufuli libadilika ghafla; akawa mpoleeeeee.

Huyu jamaa atakuwa mpole zaidi akienda Bukoba kwa Wahaya kuomba kura!! Akidhania wamesahau matusi aliyowatukana baada ya tetemeko.
Mtukufu mwenyekiti wa CCM lazima awe mpole kwani vyombo vya uchunguzi vya kimataifa wakiwemo Scotland Yard, FBI, CIA, wapelelezi wa mahakama ya uhalifu The Hague wapo Tanzania wanamchunguza kwa siri kuorodhesha madhambi yake yote
 
Chuki kubwa kwa mtukufu magufuli inatokana na vitendo vyake vya kuwaonea wapinzani kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi kwa njia haramu za kishetani kwenye chaguzi mbalimbali na kibaya zaidi kaja na njia mbaya ya kupora majimbo kusema kapita bila kupingwa ikiwa ni style mpya ya kishetani.
Rais John Pombe Magufuli hawezi kupiga watu risasi, office na malaka ya rais yanatosha kurekebisha mienendo ovu ya wananchi hizo mambo za kuuana zinafanyika huku mtaani na kina sisi tusiokua na doladola. Vinginevyo basi ushahidi uwekwe mezani ili kila mtanzania aamini

Hakuna anayeporwa ushindi ila kama mtu kajaza form zake na tarehe yake ya kuzaliwa ni tarehe 9 Sept 2020 hakidhi kigezo . Form zilizokosewa zimeonekana
 
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa toka Lissu arudi nchini tabia ya mh propesa Magufuli libadilika ghafla; akawa mpoleeeeee.

Huyu jamaa atakuwa mpole zaidi akienda Bukoba kwa Wahaya kuomba kura!! Akidhania wamesahau matusi aliyowatukana baada ya tetemeko.

Magufuli hajawahi kuwa mkali au mwenye fujo kwenye kampeni. Utakua humjui vizuri
 
Huyu jamaa alikua sawa sana enzi zake.
Sijui CCM inawafanyaga nini watu makini wakijiunga nacho.

Huyu jamaa alikua muamsha dude Bungeni kwa hoja za kizalendo lakini leo hii sijui anatumia nini kufikilia.

Siamini tumempotesa na yeye kama tulivyo mpoteza Polepole wa Katiba ya Walioba. Bashiru nae sio yule yule alivyokua huko nyuma.

Jamani hivi CCM huwa inawafanya nini watu makini wakijiunga nacho.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini kwasasa Jimbo la Uvinza amejibu hoja zilizotolewa jana na Mgombea kiti cha Urais wa JM !-

LISSU APANGULIWA HOJA 7 KWA MIKWAJU 7 YA TAKWIMU NA KAFULILA!...
🤭🤭🤭 Kajamaa kanatafta nafasi ya kuteuliwa
 
[SUB]Huyu jamaa alikua sawa sana enzi zake.[/SUB]
[SUB]Sijui CCM inawafanyaga nini watu makini wakijiunga nacho.[/SUB]
[SUB]Huyu jamaa alikua muamsha dude Bungeni kwa hoja za kizalendo lakini leo hii sijui anatumia nini kufikilia.[/SUB]

[SUB]Siamini tumempotesa na yeye kama tulivyo mpoteza Polepole wa Katiba ya Walioba. Bashiru nae sio yule yule alivyokua huko nyuma.[/SUB]

[SUB]Jamani hivi CCM huwa inawafanya nini watu makini wakijiunga nacho.[/SUB]
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa toka Lissu arudi nchini tabia ya mh Jiwe ilibadilika ghafla; akawa mpoleeeeee.

Huyu jamaa atakuwa mpole zaidi akienda Bukoba kwa Wahaya kuomba kura!! Akidhania wamesahau matusi aliyowatukana baada ya tetemeko.
 
Bila shaka Charles Kimei akiingia hii sekta tunafika mbali zaidi, uchumi wa juu badala ya wa kati
 
Back
Top Bottom