Uchaguzi 2020 David Kafulila amjibu Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 David Kafulila amjibu Tundu Lissu

Kwa mwenye upeo Mdogo Akili finyu atamuona kafulila yupo sawa lakini kule kigoma wanamjua kafulila ni mbumbumbu juha zuzu ndiyo maana walimtosa kwenye kura za maoni, hakuna binadamu mwenye Akili timamu atamkubali Tumbili kafulila.
Siasa na vyama ni imani. Muumini anayepingana nawe hana upeo mdogo wala akili finyu ila anaamini kwenye kile anachokijua. Kazi ni kwako wewe unayeona amepotea kumfanya akuelewe kwa kumuelimisha bila kumdharau, kumtusi wala kutumia nguvu.
Siasa na dini vinahitaji uelewa na uvumilivu mkuu
 
Sometimes ni bora kubaki bila chama kuliko kuwa mwanachama wa CCM. Mimi wananikera wanavyouponda upinzani kisha baada ya hapo anakuomba nauli au pesa ya kula etc, seriously mwana CCM kunikopa mimi aandike maumivu! Kuna mmoja tena subiri nitaweka na screen shot yake hapa, kaniambia oogh Kaka maisha magumu sana, nikamuuliza na mwaka huu tena utamchagua?

Alichonijibu hahahahahhaa. Huyu mtu 2015 alisumbua sana sana, yaani kwenye group hatukua tunapoa, dooohh 2016 ghafla kafunga Duka, ghafla kahamia kwenye kuuza genge la mkaa ghafla anadaiwa REJESHO VICOBA, ngoja niishie hapa
 
Mmh atamezwa na akili za Lusinde

Charles Kimei ni mbobezi sana kwenye masuala ya uchumi, he has credits nyingi sana from CRDB , kuanzia haijulkan mpaka sasa hivi, sasa hivi CRDB ipo mpaka Congo , Burundi , he has alot of credits kwenye uchumi
 
[SUB]Huyu jamaa alikua sawa sana enzi zake.[/SUB]
[SUB]Sijui CCM inawafanyaga nini watu makini wakijiunga nacho.[/SUB]
[SUB]Huyu jamaa alikua muamsha dude Bungeni kwa hoja za kizalendo lakini leo hii sijui anatumia nini kufikilia.[/SUB]

[SUB]Siamini tumempotesa na yeye kama tulivyo mpoteza Polepole wa Katiba ya Walioba. Bashiru nae sio yule yule alivyokua huko nyuma.[/SUB]

[SUB]Jamani hivi CCM huwa inawafanya nini watu makini wakijiunga nacho.[/SUB]
Kukiwa na lundo la ujinga, hata mwerevu ukiingia unamezwa. Ni kama vile Christian Ronaldo asajiriwe na Lipuli FC, atakuwa bwege balaa uwanjani
 
Pumba tupu hivi ya maisha tuliyonayo hapa Tz hali ya duni ya uchumi inajionesha wazi haina hata haja ya hao wadau hadi waseme,yaani huyo kafulila anaingea as if anaishi rwanda hayupo Tanzania.

hivi hii hali ya uchumi wa watu na biashara ndogo hadi kubwa kuanguka tunaziona kwa macho yetu mnadanganya danganya ili iweje,ni muda wa kumwambia magufuli atatue changamoto za kiuchumi.

hata rate ya watu kufa imeongozeka kutokana na chumi mbovu za watu.
Naona na wewe umeamua kuanzisha mada yako ndani ya mada ya mwenzio.
Hoja alizotoa mwenzio hujajibu hata moja unaleta hoja mpya yaHali ngumu
Mzee umekula maharage ya wapi!?
 
Napenda Critics..., kwa kuwa critical ndio tunaona makosa na kujenga..., swali langu ni kwamba hawa critics hawaoni mapungufu ya pande zile (hususan huyu aliyekuwa mpinzani thus ideology yake haiendani na Chama Tawala) Je kweli yote yanayofanyika huko ni Kosher ?, au ndio kujitoa ufahamu na kujivika u- Cheer Leader....
Katika wengi nimechagua kukunukuu, maana nawaza kama unawaza kabla ya ku comment ili sisi ambao hatuvutwi na mihemko ya uchama tupate pa kuhoji.
Nilitamani sasa wenye uelewa kama wewe kuzihoji au kupinga hoja za Kafulila kwa hoja na ushahidi kama alivyofanya.
Asante mkuu
 
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini kwasasa Jimbo la Uvinza amejibu hoja zilizotolewa jana na Mgombea kiti cha Urais wa JM !-

LISSU APANGULIWA HOJA 7 KWA MIKWAJU 7 YA TAKWIMU NA KAFULILA!

NIMEONA MATOBO 7 HOJA ZA LISSU!....
Majibu Mujarabu kabisa. Kumbe Kumbe tuhuma zile hazikwa za kweli.. Asante sana Ndugu Kafulila.

Jenga hoja za Kafulila nae aje na data, sio kulialia hapa na kutukana..!
 
Asubiri uteuzi kama Katambi
Kafulila Kesha fulia,anajibu hoja Kama Nani? Namfahamu huyu huku Hana soko.alikuja hapa Kijiji Cha Mtego kweli anatia huruma.pole Sana ndugu yangu hata kwenye kampeni humo .uliachia ukuu wa wilaya utajuta mtama wanje.
 
Kafulila Kesha fulia,anajibu hoja Kama Nani? Namfahamu huyu huku Hana soko.alikuja hapa Kijiji Cha Mtego kweli anatia huruma.pole Sana ndugu yangu hata kwenye kampeni humo .uliachia ukuu wa wilaya utajuta mtama wanje.
Acha kulia lia. Toa hoja. Hoja hujubiwa kwa hoja..
 
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini kwasasa Jimbo la Uvinza amejibu hoja zilizotolewa jana na Mgombea kiti cha Urais wa JM !-

LISSU APANGULIWA HOJA 7 KWA MIKWAJU 7 YA TAKWIMU NA KAFULILA!...
Lissu njoo huku
 
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini kwasasa Jimbo la Uvinza amejibu hoja zilizotolewa jana na Mgombea kiti cha Urais wa JM !-

LISSU APANGULIWA HOJA 7 KWA MIKWAJU 7 YA TAKWIMU NA KAFULILA!...
Chadema wamezoea ulevi wa konyagi.
 
Hospitali siku hizi matone/chanjo tu kwa watoto imebakia story.

Kliniki zimekuwa kwenda kupima uzito basiii.
 
Sometimes ni bora kubaki bila chama kuliko kuwa mwanachama wa CCM. Mimi wananikera wanavyouponda upinzani kisha baada ya hapo anakuomba nauli au pesa ya kula etc, seriously mwana CCM kunikopa mimi aandike maumivu! Kuna mmoja tena subiri nitaweka na screen shot yake hapa, kaniambia oogh Kaka maisha magumu sana, nikamuuliza na mwaka huu tena utamchagua?

Alichonijibu hahahahahhaa. Huyu mtu 2015 alisumbua sana sana, yaani kwenye group hatukua tunapoa, dooohh 2016 ghafla kafunga Duka, ghafla kahamia kwenye kuuza genge la mkaa ghafla anadaiwa REJESHO VICOBA, ngoja niishie hapa
Utakua unawatesa sana wanaokutegemea na kuwalazimisha watende unayotaka wewe hata kama hawayapendi, watakua na dhambi ya kusema uongo kila siku kwako kuwa hawapendi CCM ili hali mioyo yao ni ya kijana kibichi ili tuu wapate huduma zako. Dah kweli hii yashinda utumwa...
Hahaha ila nawaza huo msimamo wa kuwanyima pesa ni mzuri ila ujitahidi nawewe usitumie au kuomba msaada wa pesa kwa muumini yoyote wa CCM, nadhani hata ukiwa kwenye majanga wakija watoa msaada unawaambia kama wewe ni CCM msinisaidie ondoeni

Natamani kujua hawa CCM walikupora nini unawachukia hivyo🤣🤣🤣🤣🤣
 
Dah kweli hii yashinda utumwa...
Hahaha huo msimamo wa kuwanyima pesa mzuri ila ujitahidi nawewe usitumie au kuomba msaada wa pesa kwa muumini yoyote wa CCM
Eti nisiwaombe msaada wa pesa waumini wowote wa CCM!! Makubwa haya tena
 
Back
Top Bottom