Uchaguzi 2020 David Kafulila amjibu Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 David Kafulila amjibu Tundu Lissu

Pumba tupu hivi ya maisha tuliyonayo hapa Tz hali ya duni ya uchumi inajionesha wazi haina hata haja ya hao wadau hadi waseme,yaani huyo kafulila anaingea as if anaishi rwanda hayupo Tanzania.

hivi hii hali ya uchumi wa watu na biashara ndogo hadi kubwa kuanguka tunaziona kwa macho yetu mnadanganya danganya ili iweje,ni muda wa kumwambia magufuli atatue changamoto za kiuchumi.

hata rate ya watu kufa imeongozeka kutokana na chumi mbovu za watu.
Ushauri wa bure nawe uwafikishie wenye mawazo kama yako kwamba WTz wanahitaji Rais makini, mwadilifu na msema ukweli. Moja ya sifa za kiongozi bora ni kujiridhisha na taarifa kabla ya kuziweka hewani
 
Takwimu za Lissu anazitoa kwa Bwana Robertson na yule seneta amri jeshi mkuu wa machoko duniani. Hao ndio wamemshikua akili mgombea urais wa CHADEMA.

Hivi Lissu alisha wahi kukanusha zile tuhuma za usaliti alizojituhumu pale Njombe na Tunduru?
 
Anayedidimiza vijana ni nani hasa?
Kama sio hao Viongozi utoporo?

Mfumo wa uongozi ukiwa mbovu unadhani Nani atajikwamua kiuchumi?

Ona Leo hii vijana wenzangu na Mimi ma-beach boy na ma-photographer hawana lolote la kufanya riziki zao zimewekewa uzio, ajira zao ziko rehani mpaka sasa,eti kusajiri drone $100 na kila ukihama mkoa shart usajiri upya kwa gharama nyingine tofauti hii ni haki kweli?.

Halafu mnatusisitiza tufanye kazi manina zenu.
VIJANA WENZANGU HAKUNA MAISHA RAHISI KWENYE NCHI ZINAZOENDELEA NI WAPUUZII PEKEE WANAOFIKILI KUBADALISHA VIONGOZI WA KISIASA KUTABADILISHA MAISHA YAO KATIKA UTAWALA HUU HUU WA MAGU VIJANA TUMEJIAJILI KWENYE UFUGAJI KILIMO NA BIASHARA NDOGONDOGO TUNAISHI MAISHA MAZURI KWANINI SISI TUWEZE NYINYI MSHINDWE SABABU NI UVIVU NA AKILI TEGEMEZE NA KUSUBILI SERIKALI IWAFANYIE KILA KITU VIJANA AMKENI MJITUME MAISHA NI HATUA WACHA KABISA
 
Kongole David.

Naona wafuasi wa CDM badala ya kusoma na kuelewa yaliyoandikwa na Kafulila wamebaki kum attack personally.
 
Anayedidimiza vijana ni nani hasa?
Kama sio hao Viongozi utoporo?

Mfumo wa uongozi ukiwa mbovu unadhani Nani atajikwamua kiuchumi?

Ona Leo hii vijana wenzangu na Mimi ma-beach boy na ma-photographer hawana lolote la kufanya riziki zao zimewekewa uzio, ajira zao ziko rehani mpaka sasa,eti kusajiri drone $100 na kila ukihama mkoa shart usajiri upya kwa gharama nyingine tofauti hii ni haki kweli?.

Halafu mnatusisitiza tufanye kazi manina zenu.
Me sio Mzee na sihisi kukandamizwa Kwa sababu Mtazamo wangu sijauekekeza kuitegemea serikali
 
Kitu pekee nilichokiona kama si kukigundua hapa tu ni kwamba Kafulila 'Kafulia' Kichwani mwake.
 
Bro I can Give u my Contact and I will invite cone and see mini nafanya ninafanya vitu ambavyo vijana Wa mtandaoni wanona ni ushamba lakini napiga hela Nafuga kuku chotaara nafanya biashara ya mlonge na ninafuga Mbuzii pia biashara ya kusaidia watu kutangazawatu biashara zao instagramu kupitia account ya Business sasa nyie endeleeni kusubiri Serikali iwafanyie kila kitu sio Magufuri wala Lissu atakaebadiliasha maisha yakoo MAISHA YAKO UNAYABADILISHA MWENYEWE Acheni ubishoo Wa kutaka kufunga Tai
Yaani unaganga njaa Ila kelele nyingi.

Sera zikiwa nzuri utaweza hata kuuza hao mbuzi wako Uarabuni ukalipwa $$$ kwa Paypal ambayo Serekali ya Ccm haitaki itumike nchini.

Vijana mnafikiria locally sana. Mnafikiri kila anayepinga Ccm mvivu.
 
Ni kwa nini Vituo vya TV na Redio havitangazi kampeni za vyama??
 
Yaani unaganga njaa Ila kelele nyingi.

Sera zikiwa nzuri utaweza hata kuuza hao mbuzi wako Uarabuni ukalipwa $$$ kwa Paypal ambayo Serekali ya Ccm haitaki itumike nchini.

Vijana mnafikiria locally sana. Mnafikiri kila anayepinga Ccm mvivu.
Hahahaha dah ya Wewe no Wa 4 sana Mani kakuambia Pay pal haitumiki Nina Chumba napangisha kupitia BNB nishakamata wajamaika na Watusi wote wanilipa kwa Pay pal Sasa unaongea mini wewe Ndio Maana Kafulila kawatandika nondo mmemkimbia hamna takwimu utesema hata kuwa huwezi Agiza kitu amazon wala EBay Hahaha Babu acheni kuwa na akili ya kupingaaa Kuweni wadadis Someni pia
 
Shehullohi
hakuna usaliti mbaya kama kuchukua pesa za viwanda kwenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge , hata kuchukua pesa hazina kwenda kuficha chato ni usaliti zaidi, sasa SGR wanaenda kugoma ujenzi utasimama hawajalipwa pesa zao zaidi ya miezi minne huku pesa zote zimeenda kufichwa chato,
 
Ni kwa nini Vituo vya TV na Redio havitangazi kampeni za vyama??
Hahahahaa Makonda alipovamia Clouds Mlisema TV na redo wakubaliane wasitangaze Habari zake Leo Mmewatimua TBC kwenye mikutano yenu Mnatakaje Tuwasiadiaje ITV waungane na nyie wanyanyasaji Wa vyombo vya habari wtanagze habari zenu au
 
Kongole David.

Naona wafuasi wa CDM badala ya kusoma na kuelewa yaliyoandikwa na Kafulila wamebaki kum attack personally.
Kusoma nini kule? Hakuna cha maana kakiandika mle zaidi ya kujipendekeza kwa mtukufu apate uteuzi tu.
 
Hahahaha dah ya Wewe no Wa 4 sana Mani kakuambia Pay pal haitumiki Nina Chumba napangisha kupitia BNB nishakamata wajamaika na Watusi wote wanilipa kwa Pay pal Sasa unaongea mini wewe Ndio Maana Kafulila kawatandika nondo mmemkimbia hamna takwimu utesema hata kuwa huwezi Agiza kitu amazon wala EBay Hahaha Babu acheni kuwa na akili ya kupingaaa Kuweni wadadis Someni pia
Ukilipwa kwa Paypal unatoaje hiyo hela. Wewe unajua hata Paypal kweli? Hao Wajamaica gani wanapanga chumba wanalipa kwa Paypal??

Hapo Kenya wanauza vitu Online kwenye masoko ya dunia sababu wanapokea pesa Paypal na wanatoa through Mpesa. Yaani mchonga Kinyago pale Mwenge hana haja ya kwenda Europe kuuza,anauza online tu.

Watu wapo kwenye Uraia pacha now, Wanachuma nje wanawekeza kwao sisi bado tupo na Uraia wa nchi moja. Ukitoka nje unaonekana beberu. Kusajili YouTube channel hela, kurusha drone hela,tunazuia ndoto za vijana bila sababu ya Sera za kijinga.

Kama wewe ni kijana na huoni haya ni hasara kwa Taifa. Dunia ishakuacha nyuma.
 
Ukilipwa kwa Paypal unatoaje hiyo hela. Wewe unajua hata Paypal kweli? Hao Wajamaica gani wanapanga chumba wanalipa kwa Paypal??

Hapo Kenya wanauza vitu Online kwenye masoko ya dunia sababu wanapokea pesa Paypal na wanatoa through Mpesa. Yaani mchonga Kinyago pale Mwenge hana haja ya kwenda Europe kuuza,anauza online tu.

Watu wapo kwenye Uraia pacha now, Wanachuma nje wanawekeza kwao sisi bado tupo na Uraia wa nchi moja. Ukitoka nje unaonekana beberu. Kusajili YouTube channel hela, kurusha drone hela,tunazuia ndoto za vijana bila sababu ya Sera za kijinga.

Kama wewe ni kijana na huoni haya ni hasara kwa Taifa. Dunia ishakuacha nyuma.
Nalala Kwanzaa kubishana na BAVICHA sio kazi ndogo ntakujibu asubuhi
 
Back
Top Bottom