David Kafulila atolea ufafanuzi wa Adani kuwekeza katika Miundombinu ya Umeme kwa Ubia

MAFISADI YA SAMIA YANATENGENEZA PROJECT ZA UFISADI ENDELEVU WA KIMIKATABA...TANZANIA INATAKIWA IJITOE KWENYE MAHAKAMA ZA KIMATAIFA HARAKA SANA HIVYO VYOMBO VIPO KUFANIKISHA UKOLONI MAMBOLEO WA KIFISADI
 
Lukasi Mwashambwa Leo pokea maua Yako🌻🌻🌻🌻
Asante Nashukuru sana.Mimi namuunga mkono Mheshimiwa David Kafulila kwa sababu natambua kuwa ni kiongozi Mzalendo na mchapakazi sana.nilikuwepo Mbozi wakati akiwa RAS mkoa wa Songwe.kila mtu alikuwa ana mkubali sana huyu Mheshimiwa kwa uchapakazi wake. na ameacha historia na alama njema sana kwa mkoa wa Songwe. yeye ndiye aliyesimamia ujenzi wa makao makuu ya mkoa wa Songwe.na kwa uzalendo alirejesha hadi pesa za chenji zaidi ya Billion 2 katika Billion 6 alizokuwa amepatiwa.sasa kwanini nisimuunge mkono?

Nipo tayari kuitwa chawa au kunguni lakini nitaendelea kumuunga mkono na kuandika yote afanyayo kwa Taifa letu kila nikiwa na Bando kwenye Simu yangu.hakuna wa kunizuia.ni lazima tuwatie moyo wazalendo na wachapakazi aina ya Mheshimiwa David Kafulila.
 
Hakuna majitu poyoyo kama haya yanatembea kwenye gari za kujaziwa mafuta na Kodi zetu,zile AC za yale magali huwa zinafuta uwezo wa asili wa kufiri na kujikuta wanakubali kila kitu.Imagine Karne ya 21 na gesi unayo kama Urusi,na madini kila Kona,bahari yenye samako zaidi ya kiasi kikubwa,Mbuga za wanyama mpaka zingine mnagawa kwa waarabu,eti.leo hii mnakodisha Tanesco na Bandari.
 
Askogu kasema.chawa ni dhambi mpya wewe bado unaongeza dhamvi nyingine
 
Halafu yuko India huko na anayazungumza hayo.

Hivi ndivyo serikali inavyofanya kazi??
Dunia ni kama kijiji.acha ushamba wako wewe.kwani huwa huoni Rais anafanya uteuzi na utenguzi akiwa hata nje ya Nchi? Hivi wewe utakua na kukomaa lini akili yako? Mbona kila siku unazidi kuwa mjinga mjinga tu?
 
Unaelewa maana ya Ubia?
 
Sio yeye Mkuu.
Huyu kaisha bebeshwa mabomu, atake asitake lazima atekeleze.
Sio yule mpinga ufisadi
Mkapa aliuza mashirika yote yaliyokuwa yanatengeneza hasara

Magufuli aliuza nyumba zote za Serikali
 
Mkapa aliuza mashirika yote yaliyokuwa yanatengeneza hasara

Magufuli aliuza nyumba zote za Serikali
Hawakuuza,waligawa bure kimtandao.
Imagine nyumba Oysterbay iliuzwa tshs 18 million wakati bei ya soko ni 2billion
 
Huyo tumbili kipi alichofanya chenye tija,wewe lucy huwa hutumii akili kujenga hoja...ni kuandika uharo tupu humu jf
 
Hap wahindi wacha wawekeze kwenye betting tu huko ndo wametuweza sana
 
CC: JPM
 
Dah, ila we jamaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…