Raia - JMT
Senior Member
- Jun 23, 2024
- 121
- 112
SijakuelewaNi kwa nini kuku akitaga mayai yake wewe unachukua na kuyala wakati wewe mayai yako unayaficha kiunoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijakuelewaNi kwa nini kuku akitaga mayai yake wewe unachukua na kuyala wakati wewe mayai yako unayaficha kiunoni?
Kama lako?Kafulila ana tatizo la afya ya akili, Marekani wanaomba misaada kama sisi?
Sister nakuheshimu balaa, karibu lakini kama kuna kitu unakitafuta kitajibiwa kwa kipimo kile kileKama lako?
Kweli CHADEMA ya Lissu mmeishiwa hoja kama hizi ndizo hoja zenuKafulila ana tatizo la afya ya akili, Marekani wanaomba misaada kama sisi?
Huyu ni kichwa kwenye nchi ya Wapumbavu, Marekani wanakopa yes je wanakopa kufanhia ujinga kama huu wetu? au China wanakopa kufanyia ujinga===
Akiongea katika Kipindi cha DAKIKA 45 kinachorushwa "LIVE" na kituo cha runinga cha ITV Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi PPPC David Kafulila alikuwa na haya ya kuwaambia Watanzania,
Akifafanua kuhusu Tanzania kuendelea kukopa na kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo alisema "Kiuchumi na Kibiashara huwezi kukopeshwa kama huna uwezo wa kukopesheka ili mtu au taasisi akopesheke kwa masharti mazuri Lazima awe vizuri Kiuchumi hili ni Sayansi ipo kuanzia ngazi ya familia mpaka Ile ya Taifa" alisema Bwana David Kafulila.
Tanzania imepimwa kwa vigezo vyote ukianzia na na vile vya World Bank, IMF na hata taasisi za credit rating kama Moody's na Fitch wote wanasema Tanzania deni lake ni himilivu na stahimilivu ndio maana hakuna siku Serikali itaacha kukopa hata Marekani, China, Urusi wote hawa wanakopa alisisitiza Kafulila.
China Taifa lenye dhahabu nyingi kuliko Taifa lolote Dunia inakopa, Urusu yenye gesi nyingi duniani nayo inakopa tatizo sio kukopa labda tatizo liwe unakopa kwaajili ya kufanya nini ila kukopa ili kujenga miradi ya Maendeleo ndio haswa tunapashwa kuendelea kukopa- alisema David Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC-Tanzania.
Sasa msikilize mpaka mwisho.
View attachment 3224599
===
Mkuu hongera kwa Ushindi ila CHADEMA jaribuni kuleta watu serious huku Jf, sio kuropoka ropoka tuSister nakuheshimu balaa, karibu lakini kama kuna kitu unakitafuta kitajibiwa kwa kipimo kile kile
Kujenga SGR ni Ujinga?Huyu ni kichwa kwenye nchi ya Wapumbavu, Marekani wanakopa yes je wanakopa kufanhia ujinga kama huu wetu? au China wanakopa kufanyia ujinga
Sawa ungeleta evidence Sasa ya ulichokiandiakaJamaa ni mweupe.
Ukopaji wa US na China unaendana na ukubwa wa uchumi wao, maendeleo ya kiviwanda na wingi wa wananchi walionao.
Tanzania ni nchi masikini na inazidiwa wingi wa wananchi kulinganisha na US au China, hata kipato cha mtu mmoja mmoja tunazidiwa mbali sana.
Hivyo kimahesabu Tanzania inakopa pesa nyingi zaidi kuliko US na China....
Ni sawa na mfanya biashara A mwenye biashara yenye mzunguko wa milioni 100 kwa mwezi akope milioni 200.
Halafu mfanya biashara mwingine B mwenye biashara yenye mzunguko wa milioni 1 kwa mwezi akope milioni 50.
Kati ya hao wawili, mmoja ana mkopo mkubwa lakini upo ndani ya uwezo wake, mwingine ana mkopo mdogo lakini kwa uchumi wake atahangaika sana kurejesha.
Hivyo kimahesabu Tanzania inakopa pesa nyingi sana sana. Wasitake kutuona sisi hatuna akili.
Kafulila ni hazina kwa Taifa===
Akiongea katika Kipindi cha DAKIKA 45 kinachorushwa "LIVE" na kituo cha runinga cha ITV Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi PPPC David Kafulila alikuwa na haya ya kuwaambia Watanzania,
Akifafanua kuhusu Tanzania kuendelea kukopa na kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo alisema "Kiuchumi na Kibiashara huwezi kukopeshwa kama huna uwezo wa kukopesheka ili mtu au taasisi akopesheke kwa masharti mazuri Lazima awe vizuri Kiuchumi hili ni Sayansi ipo kuanzia ngazi ya familia mpaka Ile ya Taifa" alisema Bwana David Kafulila.
Tanzania imepimwa kwa vigezo vyote ukianzia na na vile vya World Bank, IMF na hata taasisi za credit rating kama Moody's na Fitch wote wanasema Tanzania deni lake ni himilivu na stahimilivu ndio maana hakuna siku Serikali itaacha kukopa hata Marekani, China, Urusi wote hawa wanakopa alisisitiza Kafulila.
China Taifa lenye dhahabu nyingi kuliko Taifa lolote Dunia inakopa, Urusu yenye gesi nyingi duniani nayo inakopa tatizo sio kukopa labda tatizo liwe unakopa kwaajili ya kufanya nini ila kukopa ili kujenga miradi ya Maendeleo ndio haswa tunapashwa kuendelea kukopa- alisema David Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC-Tanzania.
Sasa msikilize mpaka mwisho.
View attachment 3224599
===
Evidence ipi, Tanzania inachukua mikpo inayowazidi uwezo.Sawa ungeleta evidence Sasa ya ulichokiandiaka
Hazina ya fedha au dhahabu?Kafulila ni hazina kwa Taifa
Soma vizuri report ya IMF Tanzania kiwango Cha deni kwa Uchumi ni 47% hii ni takwimu nzuri sana kwa afya ya TaifaEvidence ipi, Tanzania inachukua mikpo inayowazidi uwezo.
Hio report ipo wapi?Soma vizuri report ya IMF Tanzania kiwango Cha deni kwa Uchumi ni 47% hii ni takwimu nzuri sana kwa afya ya Taifa
Google tuHio report ipo wapi?
Nashauri mama akiondoka atuachie Kafulila===
Akiongea katika Kipindi cha DAKIKA 45 kinachorushwa "LIVE" na kituo cha runinga cha ITV Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi PPPC David Kafulila alikuwa na haya ya kuwaambia Watanzania,
Akifafanua kuhusu Tanzania kuendelea kukopa na kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo alisema "Kiuchumi na Kibiashara huwezi kukopeshwa kama huna uwezo wa kukopesheka ili mtu au taasisi akopesheke kwa masharti mazuri Lazima awe vizuri Kiuchumi hili ni Sayansi ipo kuanzia ngazi ya familia mpaka Ile ya Taifa" alisema Bwana David Kafulila.
Tanzania imepimwa kwa vigezo vyote ukianzia na na vile vya World Bank, IMF na hata taasisi za credit rating kama Moody's na Fitch wote wanasema Tanzania deni lake ni himilivu na stahimilivu ndio maana hakuna siku Serikali itaacha kukopa hata Marekani, China, Urusi wote hawa wanakopa alisisitiza Kafulila.
China Taifa lenye dhahabu nyingi kuliko Taifa lolote Dunia inakopa, Urusu yenye gesi nyingi duniani nayo inakopa tatizo sio kukopa labda tatizo liwe unakopa kwaajili ya kufanya nini ila kukopa ili kujenga miradi ya Maendeleo ndio haswa tunapashwa kuendelea kukopa- alisema David Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC-Tanzania.
Sasa msikilize mpaka mwisho.
View attachment 3224599
===
Kafulila bana ana ID nyingi sana hapa JF za kumsifia na kujijibu mwenyeweKama Kuna watu Upinzani tulipoteza basi ni huyu Kafulila na Mzee Wassira
Atawaacha wewe na KishoaNashauri mama akiondoka atuachie Kafulila
Tanzania inachukua mikopo inyoizidi uwezo, hivyo acheni kulinganisha mikopo wanayochukua China na US, wananchi si wajinga kiasi hiko.Google tu
Hakuna mpinzani anayeumia kuwapoteza hawa hususan mzee wa hovyo WassiraKama Kuna watu Upinzani tulipoteza basi ni huyu Kafulila na Mzee Wassira