David Kafulila: Hakuna siku Serikali itaacha kukopa kwani hata Marekani na China nao wanakopa zaidi ya Tanzania

David Kafulila: Hakuna siku Serikali itaacha kukopa kwani hata Marekani na China nao wanakopa zaidi ya Tanzania

Jamaa ni mweupe.
Ukopaji wa US na China unaendana na ukubwa wa uchumi wao, maendeleo ya kiviwanda na wingi wa wananchi walionao.
Tanzania ni nchi masikini na inazidiwa wingi wa wananchi kulinganisha na US au China, hata kipato cha mtu mmoja mmoja tunazidiwa mbali sana.

Hivyo kimahesabu Tanzania inakopa pesa nyingi zaidi kuliko US na China....

Ni sawa na mfanya biashara A mwenye biashara yenye mzunguko wa milioni 100 kwa mwezi akope milioni 200.
Halafu mfanya biashara mwingine B mwenye biashara yenye mzunguko wa milioni 1 kwa mwezi akope milioni 50.

Kati ya hao wawili, mmoja ana mkopo mkubwa lakini upo ndani ya uwezo wake, mwingine ana mkopo mdogo lakini kwa uchumi wake atahangaika sana kurejesha.

Hivyo kimahesabu Tanzania inakopa pesa nyingi sana sana. Wasitake kutuona sisi hatuna akili.
 
===
Akiongea katika Kipindi cha DAKIKA 45 kinachorushwa "LIVE" na kituo cha runinga cha ITV Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi PPPC David Kafulila alikuwa na haya ya kuwaambia Watanzania,

Akifafanua kuhusu Tanzania kuendelea kukopa na kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo alisema "Kiuchumi na Kibiashara huwezi kukopeshwa kama huna uwezo wa kukopesheka ili mtu au taasisi akopesheke kwa masharti mazuri Lazima awe vizuri Kiuchumi hili ni Sayansi ipo kuanzia ngazi ya familia mpaka Ile ya Taifa" alisema Bwana David Kafulila.

Tanzania imepimwa kwa vigezo vyote ukianzia na na vile vya World Bank, IMF na hata taasisi za credit rating kama Moody's na Fitch wote wanasema Tanzania deni lake ni himilivu na stahimilivu ndio maana hakuna siku Serikali itaacha kukopa hata Marekani, China, Urusi wote hawa wanakopa alisisitiza Kafulila.

China Taifa lenye dhahabu nyingi kuliko Taifa lolote Dunia inakopa, Urusu yenye gesi nyingi duniani nayo inakopa tatizo sio kukopa labda tatizo liwe unakopa kwaajili ya kufanya nini ila kukopa ili kujenga miradi ya Maendeleo ndio haswa tunapashwa kuendelea kukopa- alisema David Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC-Tanzania.

Sasa msikilize mpaka mwisho.



View attachment 3224599


===
Huyu ni kichwa kwenye nchi ya Wapumbavu, Marekani wanakopa yes je wanakopa kufanhia ujinga kama huu wetu? au China wanakopa kufanyia ujinga
 
Jamaa ni mweupe.
Ukopaji wa US na China unaendana na ukubwa wa uchumi wao, maendeleo ya kiviwanda na wingi wa wananchi walionao.
Tanzania ni nchi masikini na inazidiwa wingi wa wananchi kulinganisha na US au China, hata kipato cha mtu mmoja mmoja tunazidiwa mbali sana.

Hivyo kimahesabu Tanzania inakopa pesa nyingi zaidi kuliko US na China....

Ni sawa na mfanya biashara A mwenye biashara yenye mzunguko wa milioni 100 kwa mwezi akope milioni 200.
Halafu mfanya biashara mwingine B mwenye biashara yenye mzunguko wa milioni 1 kwa mwezi akope milioni 50.

Kati ya hao wawili, mmoja ana mkopo mkubwa lakini upo ndani ya uwezo wake, mwingine ana mkopo mdogo lakini kwa uchumi wake atahangaika sana kurejesha.

Hivyo kimahesabu Tanzania inakopa pesa nyingi sana sana. Wasitake kutuona sisi hatuna akili.
Sawa ungeleta evidence Sasa ya ulichokiandiaka
 
===
Akiongea katika Kipindi cha DAKIKA 45 kinachorushwa "LIVE" na kituo cha runinga cha ITV Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi PPPC David Kafulila alikuwa na haya ya kuwaambia Watanzania,

Akifafanua kuhusu Tanzania kuendelea kukopa na kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo alisema "Kiuchumi na Kibiashara huwezi kukopeshwa kama huna uwezo wa kukopesheka ili mtu au taasisi akopesheke kwa masharti mazuri Lazima awe vizuri Kiuchumi hili ni Sayansi ipo kuanzia ngazi ya familia mpaka Ile ya Taifa" alisema Bwana David Kafulila.

Tanzania imepimwa kwa vigezo vyote ukianzia na na vile vya World Bank, IMF na hata taasisi za credit rating kama Moody's na Fitch wote wanasema Tanzania deni lake ni himilivu na stahimilivu ndio maana hakuna siku Serikali itaacha kukopa hata Marekani, China, Urusi wote hawa wanakopa alisisitiza Kafulila.

China Taifa lenye dhahabu nyingi kuliko Taifa lolote Dunia inakopa, Urusu yenye gesi nyingi duniani nayo inakopa tatizo sio kukopa labda tatizo liwe unakopa kwaajili ya kufanya nini ila kukopa ili kujenga miradi ya Maendeleo ndio haswa tunapashwa kuendelea kukopa- alisema David Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC-Tanzania.

Sasa msikilize mpaka mwisho.



View attachment 3224599


===
Kafulila ni hazina kwa Taifa
 
===
Akiongea katika Kipindi cha DAKIKA 45 kinachorushwa "LIVE" na kituo cha runinga cha ITV Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi PPPC David Kafulila alikuwa na haya ya kuwaambia Watanzania,

Akifafanua kuhusu Tanzania kuendelea kukopa na kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo alisema "Kiuchumi na Kibiashara huwezi kukopeshwa kama huna uwezo wa kukopesheka ili mtu au taasisi akopesheke kwa masharti mazuri Lazima awe vizuri Kiuchumi hili ni Sayansi ipo kuanzia ngazi ya familia mpaka Ile ya Taifa" alisema Bwana David Kafulila.

Tanzania imepimwa kwa vigezo vyote ukianzia na na vile vya World Bank, IMF na hata taasisi za credit rating kama Moody's na Fitch wote wanasema Tanzania deni lake ni himilivu na stahimilivu ndio maana hakuna siku Serikali itaacha kukopa hata Marekani, China, Urusi wote hawa wanakopa alisisitiza Kafulila.

China Taifa lenye dhahabu nyingi kuliko Taifa lolote Dunia inakopa, Urusu yenye gesi nyingi duniani nayo inakopa tatizo sio kukopa labda tatizo liwe unakopa kwaajili ya kufanya nini ila kukopa ili kujenga miradi ya Maendeleo ndio haswa tunapashwa kuendelea kukopa- alisema David Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC-Tanzania.

Sasa msikilize mpaka mwisho.



View attachment 3224599


===
Nashauri mama akiondoka atuachie Kafulila
 
Back
Top Bottom