OffOnline
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 644
- 478
Bila Mikopo na Kodi utajenga nchi na Nini?Tanzania inachukua mikopo inyoizidi uwezo, hivyo acheni kulinganisha mikopo wanayochukua China na US, wananchi si wajinga kiasi hiko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila Mikopo na Kodi utajenga nchi na Nini?Tanzania inachukua mikopo inyoizidi uwezo, hivyo acheni kulinganisha mikopo wanayochukua China na US, wananchi si wajinga kiasi hiko.
😂😂Hebu ifanyie research akaunti yangu uone kama iñaharufu ya UCCMKafulila bana ana ID nyingi sana hapa JF za kumsifia na kujijibu mwenyewe
Mwigulu Nchemba anafanya biashara gani imayomuwezesha kuendesha na kumiliki timu ya Singida Big stars kama siyo hela za mikopo ya SGRUshahidi wa hili ni Upi?
Mikopo imezidi.Bila Mikopo na Kodi utajenga nchi na Nini?
Ule ujinga ujinga wenu umefika mwishoKweli CHADEMA ya Lissu mmeishiwa hoja kama hizi ndizo hoja zenu
Umeleta hoja gani haijajibiwa?Mkuu hongera kwa Ushindi ila CHADEMA jaribuni kuleta watu serious huku Jf, sio kuropoka ropoka tu
Huyu jamaa anajua sana kunyoosha maneno Mpina natamani apite hapa===
Akiongea katika Kipindi cha DAKIKA 45 kinachorushwa "LIVE" na kituo cha runinga cha ITV Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi PPPC David Kafulila alikuwa na haya ya kuwaambia Watanzania,
Akifafanua kuhusu Tanzania kuendelea kukopa na kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo alisema "Kiuchumi na Kibiashara huwezi kukopeshwa kama huna uwezo wa kukopesheka ili mtu au taasisi akopesheke kwa masharti mazuri Lazima awe vizuri Kiuchumi hili ni Sayansi ipo kuanzia ngazi ya familia mpaka Ile ya Taifa" alisema Bwana David Kafulila.
Tanzania imepimwa kwa vigezo vyote ukianzia na na vile vya World Bank, IMF na hata taasisi za credit rating kama Moody's na Fitch wote wanasema Tanzania deni lake ni himilivu na stahimilivu ndio maana hakuna siku Serikali itaacha kukopa hata Marekani, China, Urusi wote hawa wanakopa alisisitiza Kafulila.
China Taifa lenye dhahabu nyingi kuliko Taifa lolote Dunia inakopa, Urusu yenye gesi nyingi duniani nayo inakopa tatizo sio kukopa labda tatizo liwe unakopa kwaajili ya kufanya nini ila kukopa ili kujenga miradi ya Maendeleo ndio haswa tunapashwa kuendelea kukopa- alisema David Kafulila Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC-Tanzania.
Sasa msikilize mpaka mwisho.
View attachment 3224599
===
Aisee kaka hii bonge ya logic, kukimbizana kwenye mikopo, ila kukimbizana kwenye maendele ahhhKwenye kukopa wanashindana na marekani na china ila kwenye maendeleo ukiwauliza utajikuta umetekwa 🤣🤣
Alichosema Kafulila ni kweli ila shida tunayoumia sisi wananchi ni matumizi ya hio mikopo ndo kilio chetu. Aya kwako hapo Kafulila kaongopa nini?Kafulila mwongo mwongo sana
Kwani maendeleo hayaonekani?Aisee kaka hii bonge ya logic, kukimbizana kwenye mikopo, ila kukimbizana kwenye maendele ahhh
Huyo ni CHADEMA team MboweAlichosema Kafulila ni kweli ila shida tunayoumia sisi wananchi ni matumizi ya hio mikopo ndo kilio chetu. Aya kwako hapo Kafulila kaongopa nini?
Maendeleo yapi ? Halaf linganisha na US na chinaKwani maendeleo hayaonekani?
Sio kweli, Mwigulu Aliwahi waambia Bungeni kwamba ishu sio kukopa ishu iwe zimetumika wapiKwenye kukopa wanashindana na marekani na china ila kwenye maendeleo ukiwauliza utajikuta umetekwa 🤣🤣
Hata mbuyu ulianza kama mchichaMaendeleo yapi ? Halaf linganisha na US na china
Achana na ChalamilaWanakopa kufanya nini maana Chalamila katuambia tuwafanyie upasuaji wake zetu, gloves hospitali hakuna muda wote
Ni Kweli ila kila mmoja ni sahidi wa yeye mwenyeweShida sio kukopa. Tatizo wanazifanyia nini baada ya kukopa?
TapeliKafulila mwongo mwongo sana
Kuwa team Mbowe ndo maana yake uwe huna akiliHuyo ni CHADEMA team Mbowe