David Kafulila: Hakuna siku Serikali itaacha kukopa kwani hata Marekani na China nao wanakopa zaidi ya Tanzania

Huyu jamaa anajua sana kunyoosha maneno Mpina natamani apite hapa
 
Kwenye kukopa wanashindana na marekani na china ila kwenye maendeleo ukiwauliza utajikuta umetekwa 🤣🤣
Sio kweli, Mwigulu Aliwahi waambia Bungeni kwamba ishu sio kukopa ishu iwe zimetumika wapi
 
Shida sio kukopa. Tatizo wanazifanyia nini baada ya kukopa?
 
Wanakopa kufanya nini maana Chalamila katuambia tuwafanyie upasuaji wake zetu, gloves hospitali hakuna muda wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…