Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Nimeipenda hiiWanawake wapewe Tanesco
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda hiiWanawake wapewe Tanesco
Naamini watafanya tu vizuri sanaNimeipenda hii
Watanzania wanataka viongozi wakali na ambao wakisema wanamaanisha,,, kama watakuwa hivyo watafanikiwaNaamini watafanya tu vizuri sana
Kwani unadhani ukali ndio Uongozi?Watanzania wanataka viongozi wakali na ambao wakisema wanamaanisha,,, kama watakuwa hivyo watafanikiwa
Kama Kuna machawa kweli Kafulila anaweza kuwa Chawa?Maza naye ndiyo anataka watu kama hawa chawa chawa
Tatizo CHADEMA wote ni machawa wa Mbowe so wako addicted kwa uchwaKama Kuna machawa kweli Kafulila anaweza kuwa Chawa?
Uongozi ni Talanta sio ukali ukaliKwani unadhani ukali ndio Uongozi?
Hapana sio kweli mkuuWatanzania wanataka viongozi wakali na ambao wakisema wanamaanisha,,, kama watakuwa hivyo watafanikiwa
Kafulila ni superGeneous
Rank Country % of Women in Parliament Global rank 1 Rwanda 61.3% 1st 2 Senegal 46.1% 11th 3 South Africa 45.8% 14th 4 Namibia 44.2% 19th 5 Mozambique 43.2% 20th 6 Ethiopia 41.3% 25th 7 Cabo Verde 38.9% 30th 8 Angola 38.6% 32nd 9 Burundi 38.2% 36th 10 United Republic of Tanzania 37.4% 41st
View attachment 2931206
View attachment 2931263View attachment 2931265
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;
Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.
Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu sana.
Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu leo anatimiza miaka MITATU ya Urais ila hakuna hata mmoja wa Watanzania awe ni mpinzani au MwanaCCM anaweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (ni mwanamke).
Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini Wanawake Barani Africa kwa sasa.
Huenda labda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu.
Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa na tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% si haba.
#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama Wanaume.
Na bandari pia
Huyu jamaa sikujuwa kama ni mnafiki kiasi hichi. Mwanzoni akiwa upinzani nilikuwa nikimwona yeye na home mate wake Zitto kama watu jasiri na wasiogopa kusemma ukweli, kumbe maweeee....
Rank Country % of Women in Parliament Global rank 1 Rwanda 61.3% 1st 2 Senegal 46.1% 11th 3 South Africa 45.8% 14th 4 Namibia 44.2% 19th 5 Mozambique 43.2% 20th 6 Ethiopia 41.3% 25th 7 Cabo Verde 38.9% 30th 8 Angola 38.6% 32nd 9 Burundi 38.2% 36th 10 United Republic of Tanzania 37.4% 41st
View attachment 2931206
View attachment 2931263View attachment 2931265
Katika ukurasa wake wa (X) zamani Twitter Mhe. David Kafulila katika heri za Siku ya Mwanamke Duniani ameandika haya;
Kwanza, Mhe Kafulila anaunga mkono Uadilifu na Uchapakazi wa Wanawake dunia hasa pale wanapoaminiwa na kupewa nafasi za kiuongozi.
Mathalani hapa Tanzania unaweza ukaona namna Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyomwadilifu na mwaminifu sana.
Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu leo anatimiza miaka MITATU ya Urais ila hakuna hata mmoja wa Watanzania awe ni mpinzani au MwanaCCM anaweza kusimama na kusema Mama amekula hata Shilingi mia ya Serikali (ni mwanamke).
Katika ripoti iliyochapishwa na jarida maarufu Duniani la Insider Africa, nchi ya Rwanda ndio wanaongoza kwa kuwaamini Wanawake Barani Africa kwa sasa.
Huenda labda ndio sababu kasi ya maendeleo nchini Rwanda ni yakupigiwa mfano na Kila mwenye akili timamu.
Sisi Tanzania tunashika nafasi ya 41 kidunia na nafasi ya 10 kwa Africa na tumeamini na kuajiri Wanawake kwa zaidi ya 37.4% si haba.
#Utafiti hupingwa kwa Utafiti ila ni ukweli wa wazi kuwa Wanawake si wapigaji kama Wanaume.
Anajali maslahi binafsiHuyu jamaa sikujuwa kama ni mnafiki kiasi hichi. Mwanzoni akiwa upinzani nilikuwa nikimwona yeye na home mate wake Zitto kama watu jasiri na wasiogopa kusemma ukweli, kumbe maweeee....
Angalia viongozi wote waliopita, Mwalimu Nyerere alikuwa mkali na akimaanisha kile alichokuwa anasema watu walinyooka,,, jiwe nae hivyo hivyoHapana sio kweli mkuu
Natambua ukali sio uongozi,,, ila kuna mazingira ambayo kiongozi anapaswa kuwa mkali, kuna wakati awe mpole na kuna wakati awe anaongoza Njia,,, hii ni fani yangu ambayo nimesomeaKwani unadhani ukali ndio Uongozi?
Ndio maana Kafulila anatamani nchi iongozwe na wanawakeNatambua ukali sio uongozi,,, ila kuna mazingira ambayo kiongozi anapaswa kuwa mkali, kuna wakati awe mpole na kuna wakati awe anaongoza Njia,,, hii ni fani yangu ambayo nimesomea
Lakini watanzania ni wapigaji kwahiyo staili ambayo inawafaa ni ukali pamoja na ufuatiliaji wa karibu sana
Kiongozi akifanikiwa Katika feedback ambayo ndio nguzo muhimu ktk admistration basi atakuwa amefikia lengo
Hata Mimi natamani mama aende mpaka 2035Ndio maana Kafulila anatamani nchi iongozwe na wanawake
Hili ndilo jibu nililolisubria humu!Huyu mjinga atuwekee serikali za Marekani, Urusi na Israel
anatafuta uteuzi zaidi wala hana loloteHili ndilo jibu nililolisubria humu!
Anatofauti gani na wanawake?Ndio maana Kafulila anatamani nchi iongozwe na wanawake
Toa takwimu kamili ,hustuletee hadithi za alfu Lela ulela,dunia imeshachafukwa kwa ufuska wa Aina huu sasa!Marekani Wanawake ni wengi sijui kuhusu Urusi