David Silinde ni Naibu Waziri Utumishi na Utawala Bora

David Silinde ni Naibu Waziri Utumishi na Utawala Bora

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
David Silinde ni Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora.

Unaposema Wizara ya Utumishi na Utawala Bora, maana yake watumishi wote wa umma na pengine mashirika yote ya umma.

Utawala Bora ni taasisi za dola kama TISS na TAKUKURU.

Je, ni bahati mbaya Silinde kuwepo katika wizara hiyo nyeti?

Silinde alijihusisha na mambo ya utekaji kipindi cha Mwendazake. Watekaji ni genge la watu wasiojulikana ingawa wanajulikana wanatokea taasisi gani.

Kwakuwa mambo ya kutekana, kupotezana na kudhuriana chini ya Serekali ya Mama hayapo tena wala hayana nafasi ni vyema Silinde akaondolewa katika Wizara ya Utawala Bora na kupelekwa wizara nyingine au kuondolewa kabisa katika baraza la Mawaziri.
 
Inaonekana reshuffle haipo kilomita nyingi.

Sarakasi zimekuwa nyingi.
 
Good Governance ina maana pana ikigusa private sector, public sector na civil societies si kama ulivyo tafsiri, kuhusu utekaji mnaushahidi gani au mlienda kumchafua kisiasa jimboni kwake. Kama ni mtekaji na muuaji kwanini msimshtaki.
Huyu ni kilaza huko shule alipata zero

USSR
 
Good Governance ina maana pana ikigusa private sector, public sector na civil societies si kama ulivyo tafsiri, kuhusu utekaji mnaushahidi gani au mlienda kumchafua kisiasa jimboni kwake. Kama ni mtekaji na muuaji kwanini msimshtaki.

Unaongea utafikiri labda hujui siasa za kiafrika pamoja na mazingira yake.
 
David Silinde ni Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora.

Unaposema Wizara ya Utumishi na Utawala Bora, maana yake watumishi wote wa umma na pengine mashirika yote ya umma.

Utawala Bora ni taasisi za dola kama TISS na TAKUKURU.

Je, ni bahati mbaya Silinde kuwepo katika wizara hiyo nyeti?

Silinde alijihusisha na mambo ya utekaji kipindi cha Mwendazake. Watekaji ni genge la watu wasiojulikana ingawa wanajulikana wanatokea taasisi gani.

Kwakuwa mambo ya kutekana, kupotezana na kudhuriana chini ya Serekali ya Mama hayapo tena wala hayana nafasi ni vyema Silinde akaondolewa katika Wizara ya Utawala Bora na kupelekwa wizara nyingine au kuondolewa kabisa katika baraza la Mawaziri.
Silinde ni Tamisemi. Naibu wa UUB ni Deo Ndejembi.
 
David Silinde ni Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora.

Unaposema Wizara ya Utumishi na Utawala Bora, maana yake watumishi wote wa umma na pengine mashirika yote ya umma.

Utawala Bora ni taasisi za dola kama TISS na TAKUKURU.

Je, ni bahati mbaya Silinde kuwepo katika wizara hiyo nyeti?

Silinde alijihusisha na mambo ya utekaji kipindi cha Mwendazake. Watekaji ni genge la watu wasiojulikana ingawa wanajulikana wanatokea taasisi gani.

Kwakuwa mambo ya kutekana, kupotezana na kudhuriana chini ya Serekali ya Mama hayapo tena wala hayana nafasi ni vyema Silinde akaondolewa katika Wizara ya Utawala Bora na kupelekwa wizara nyingine au kuondolewa kabisa katika baraza la Mawaziri.
Umekunywa nini mapema hii? Hivi hakuna jukwaa lenu?
 
David Silinde ni Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora.

Unaposema Wizara ya Utumishi na Utawala Bora, maana yake watumishi wote wa umma na pengine mashirika yote ya umma.

Utawala Bora ni taasisi za dola kama TISS na TAKUKURU.

Je, ni bahati mbaya Silinde kuwepo katika wizara hiyo nyeti?

Silinde alijihusisha na mambo ya utekaji kipindi cha Mwendazake. Watekaji ni genge la watu wasiojulikana ingawa wanajulikana wanatokea taasisi gani.

Kwakuwa mambo ya kutekana, kupotezana na kudhuriana chini ya Serekali ya Mama hayapo tena wala hayana nafasi ni vyema Silinde akaondolewa katika Wizara ya Utawala Bora na kupelekwa wizara nyingine au kuondolewa kabisa katika baraza la Mawaziri.
Hv nani atakuamini mtu ambaye hujui hata Silinde yuko wizara gani. Wakisema watanzanii wengi ni mapoyoyo mnalalamika
 
Nimeamini uchawi upo na wachawi wapo kweli.
Huu si uchawi jamani? Unamchawia mwenzio ili hiyo nafasi apewe mtu wako au wewe mwenyewe?
Kazi ya siasa ni kazi hatari sana.
 
Silinde ni Tamisemi. Naibu wa UUB ni Deo Ndejembi.
Hizi ni Wizara mbili tofauti.

Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serekali za mitaa.
 
David Silinde ni Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora.

Unaposema Wizara ya Utumishi na Utawala Bora, maana yake watumishi wote wa umma na pengine mashirika yote ya umma.

Utawala Bora ni taasisi za dola kama TISS na TAKUKURU.

Je, ni bahati mbaya Silinde kuwepo katika wizara hiyo nyeti?

Silinde alijihusisha na mambo ya utekaji kipindi cha Mwendazake. Watekaji ni genge la watu wasiojulikana ingawa wanajulikana wanatokea taasisi gani.

Kwakuwa mambo ya kutekana, kupotezana na kudhuriana chini ya Serekali ya Mama hayapo tena wala hayana nafasi ni vyema Silinde akaondolewa katika Wizara ya Utawala Bora na kupelekwa wizara nyingine au kuondolewa kabisa katika baraza la Mawaziri.
Silinde Yupo TAMISEMI Jua hilo kwanza
 
Back
Top Bottom