David Silinde ni Naibu Waziri Utumishi na Utawala Bora

David Silinde ni Naibu Waziri Utumishi na Utawala Bora

Tunachangamoto ya kuto upate website na taarifa nyingi za kwenye mtandao.

Ila huyo Silinde hajawahi kuwa Waziri kwenye Ofisi ya Rais Utumishi
Kwamba website ya Bunge kuna vilaza?.
 
Ila nahisi Kuna Jambo lipo chinichini nazani litahapeni soon kwa Silinde
Siyo rahisi

Wafuatilie Vijana wote wa Mbowe na mahali waliko sasa mfano Joshua Nassari, Dr Mashinji, Zitto Kabwe, Juliana Shonza, David Silinde, Halima Mdee nk

Usione Vyaelea!
 
Tayari Silinde ni mtuhumiwa, na vyema chama na serikali zikamuweka pembeni kupisha uchunguzi dhidi yake.

Tuache jazba, mtu ukishutuhuma ni vyema ukapishe ofisi ya umma kwanza kwa uchunguzi zaidi, na kama hatopatikana na hatia arudi tu ofisini.
 
David Silinde ni Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora.

Unaposema Wizara ya Utumishi na Utawala Bora, maana yake watumishi wote wa umma na pengine mashirika yote ya umma.

Utawala Bora ni taasisi za dola kama TISS na TAKUKURU.

Je, ni bahati mbaya Silinde kuwepo katika wizara hiyo nyeti?

Silinde alijihusisha na mambo ya utekaji kipindi cha Mwendazake. Watekaji ni genge la watu wasiojulikana ingawa wanajulikana wanatokea taasisi gani.

Kwakuwa mambo ya kutekana, kupotezana na kudhuriana chini ya Serekali ya Mama hayapo tena wala hayana nafasi ni vyema Silinde akaondolewa katika Wizara ya Utawala Bora na kupelekwa wizara nyingine au kuondolewa kabisa katika baraza la Mawaziri.
Mama hajui anataka nini anangojea ushauri wa wapigaji
 
Kwanza David Silinde hayupo utawala Bora Bora Bali yupo TAMISEMI.

Pili Silinde hayupo kwenye Baraza la mawazir
 
Silinde si alikua chadema huyu? Huyu ni mmoja wa vichwa vya chadema, ambao chuma aliwanyofoa kuwaleta ccm,, 😁
 
Silinde ni binge la kiongozi ,kama una shida naye binafsi mtafte mzungumze. La sivyo wewe ni Kari ya watu wanataka viongozi wababaishaji.
 
Nadhani kama Mama yuko honest ni lazima aondokane na wasaidizi wenye makando kando.
Mama yupi huyo?

Mambo ya familia mnayaletaje kwenye Uma.

Kaeni myamalize kwa busara.
 
David Silinde ni Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora.

Unaposema Wizara ya Utumishi na Utawala Bora, maana yake watumishi wote wa umma na pengine mashirika yote ya umma.

Utawala Bora ni taasisi za dola kama TISS na TAKUKURU.

Je, ni bahati mbaya Silinde kuwepo katika wizara hiyo nyeti?

Silinde alijihusisha na mambo ya utekaji kipindi cha Mwendazake. Watekaji ni genge la watu wasiojulikana ingawa wanajulikana wanatokea taasisi gani.

Kwakuwa mambo ya kutekana, kupotezana na kudhuriana chini ya Serekali ya Mama hayapo tena wala hayana nafasi ni vyema Silinde akaondolewa katika Wizara ya Utawala Bora na kupelekwa wizara nyingine au kuondolewa kabisa katika baraza la Mawaziri.
Tumefika huku? We never intended maridhiano to be like this. Inaonekana mbowe ana poodles waje kila mahali, kumbe waliwanunua kwa kuwapa chupi na suti young graduates wenye shida chuoni? Now they are being blackmailed! Ni wote - zitto, halima, huyu, mrema, heche, waitara, joyce1, joyce2, wote graduates wako under threat of blackmail. This is serious isipite hivihivi. Ni bora kuwa chawa wa Samia kuliko kuwa mbwakoko wa mbowe.
 
Mama yupi huyo?

Mambo ya familia mnayaletaje kwenye Uma.

Kaeni myamalize kwa busara.
Lazima mbowe ashitakiwa kwa blackmail and extortion makosa ya jinai, na defamation, kosa la madai. Although watoto wa shule sasa anawataka wamrambe mguu ili asiwaseme? Hela si uliwapa bure? Kama uliwakopesha u a leseni ya Benki Kuu ya kukopesha? Msajili wa Vyama vya Sias aliangalie hili. Na Tume ya Maadili ya Viongozi. Na TAKUKURU
 
Back
Top Bottom