Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Kumshitaki kwenye mahakama zipi??Good Governance ina maana pana ikigusa private sector, public sector na civil societies si kama ulivyo tafsiri, kuhusu utekaji mnaushahidi gani au mlienda kumchafua kisiasa jimboni kwake. Kama ni mtekaji na muuaji kwanini msimshtaki.
Unamaana kwenye hizi mahakama majali wanateuliwa na kupandishwa vyeo katikati ya kesi na rais?