Davido ambwaga tena Diamond kwenye tuzo za BET

Davido ambwaga tena Diamond kwenye tuzo za BET

lakini angalau kawekwa kwenye HOLLYWOOD WALK OF FAME maana sidhani hata mtu kama Ben Stiller, Taye diggs, sanaa lathan, Omar Epps wamepewa hiyo heshima
 
davido kachukua tuzo ya msanii bora kutoka afrika,na hvyo kumbwaga tena Diamond platnumz beiby kama alivombwaga kule south kwenye tuzo za MTV,ambapo diamond alipata aibu ya mwaka kwasababu alisafiri na watu kama 100 na tuzo akakosa..

Mi naona afadhari,kwasababu angechukua domo,tusingelala kwa kelele,kama KUWA nominated tu tumednganywa jina lake limewekwa kwenye Hollywood hall of fame,je angechukua.?

Nakumbuka kwenye jarda moja la kila mwezi diamond alifanyiwa interview akasema yeye ndo kamtoa davido,dharau iliyoje..

Aendleee KUHONGAKILI AWARD WAMPE KUMINAMBILI KABISA ILA KULE ATA AKALALE BAGAMOYO ATASIKIA KWENYE BOMBA I MEAN
 
hiyo walk of fame hata hajawekwa Watu wamekuja kutulisha matango pori huku ndani

Yani hyo hata sio mada..
Ni kitu kisichowezekana na hakiji kuwezekana,..
Jay z mwenyewe mpaka leo analilia awekwe na hajawekwa..
 
davido kachukua tuzo ya msanii bora kutoka afrika,na hvyo kumbwaga tena diamond platnumz beiby kama alivombwaga kule south kwenye tuzo za mtv,ambapo diamond alipata aibu ya mwaka kwasababu alisafiri na watu kama 100 na tuzo akakosa..

Mi naona afadhari,kwasababu angechukua domo,tusingelala kwa kelele,kama kuwa nominated tu tumednganywa jina lake limewekwa kwenye hollywood hall of fame,je angechukua.?

Nakumbuka kwenye jarda moja la kila mwezi diamond alifanyiwa interview akasema yeye ndo kamtoa davido,dharau iliyoje..

chezea davido wewee
sio wema yule ukivua skirt anavua nguo ya ndani


bigup davidoo napanga kumpamwanangu wa kiume december jina la davido tifauti huyu atakuwa eng wandege sio muuzasura
 
Anae weza anaweza tu kudadadeki jamaa kaishajichukulia tunzo yake kilaini, ImageUploadedByJamiiForums1404070626.335998.jpg
 
Hakuna hajajitahidi ila angalie jinsi gani ya kuweza kupambana na Waafrika magharibi na aangalie watu wanaofaa kuwa kwenye timu yake haswa kwenye mambo ya kimataifa.

for me kajitahidi and I can say it again kuwa kajitahidi.

ila kwenye team yake nakubaliana inabidi abadilishe aipange haswaa
 
lakini angalau kawekwa kwenye HOLLYWOOD WALK OF FAME maana sidhani hata mtu kama Ben Stiller, Taye diggs, sanaa lathan, Omar Epps wamepewa hiyo heshima

Haki ya Mungu watakukoma na hio kebehi ya HWF hahahahah
 
Jamaa kinachowagawa mashabiki wake ni tabia ya kuji promote hata vtu vya kawaida,..

Ukisoma jarida la babkubwa sijui na la mwez wa4 Lile ambalo yeye ame cover,kuna sehem anasema "YEY NDO KAMTOA DAVIDO",nilishtuka,ila nkakumbuka alivosemaga ana Bilion1 benk,nkaona kawaida tu..

Ngoja ajifariji labda kweli inawezekana anaamini hivyo
 
Tatizo Wabongo tunapenda kweli kujidanganya. Kweli kabisa mlijua Diamond atachukua tuzo ya BET?
Ova
 
Back
Top Bottom