Davido ambwaga tena Diamond kwenye tuzo za BET

Davido ambwaga tena Diamond kwenye tuzo za BET

Kama ni hivyo, wengi wenu mtakua mmeanza kufuatilia muziki baada ya Diamond kutoka. Jamaa ni wakari na walitoka kabla minanawe hawajamtoa Lady Jaydee hivyo kama umewasikia mafikizolo mwaka huu basi fahamu kua hauna hadhi ya kubishana ktk mambo ya Muziki.
The problem with you guys mnadhani kila mmoja ana equal and same taste in music as everyone else!!! Mtu kama sio mpenzi wa muziki wa SA, how do you expect atawafahamu Mafikizolo? Mtu kama si mpenzi wa Nigerian Music, how do you expect him/her amfahamu Davido? Fanyeni research... msije mkashangaa hadi leo kuna watu hawawafahamu P Square lakini wanawafahamu wanamuziki wa kawaida kabisa kutoka Mashujaa Band!!! BInafsi, sikupata kabisa kuupenda muziki wa Congo ingawaje back 1990's ndo ulikuwa una-hit lakini sikuwahi kuupenda! Na kama si kwamba enzi zile, hatukua na choices kwenye TV, sidhani hata kama hao akina Bongoman ningewafahamu lakini kv ndicho pekee kilikuwa kinaoneshwa na hakuna option unalazimika hivyo hivyo lakini niulize nikutajie nyimbo 3 za Bongoman, sizijui....

Mwisho, si kweli, NARUDIA, SI KWELI unaposema eti "kabla minanawe hawajamtoa Lady Jaydee!" Minanawe hawajamtoa Lady JD... Minanawe walfanya kolabo na Jide wakati tayari Jide alikuwa kwenye peak!!! Still nakumbuka kwenye mashindano ya Miss Tanzania ambapo Minanawe walialikwa kutumbuiza... wakataka kufanya ki-star... Jide akabaki nyuma ya pazia akisubiria ifike sehemu yake ya kuimba ili atokeze kwa-surprise huku akitegemea full makofi! Kama kawaida ya Watanzania, wakamchunia... as if kaongia mtu wa kawaida sana hadi ikafikia Jide anaomba kupigiwa makofi!!!!
 
Hahahahahaaaa! tunajitahidi kumponda Diamond. Heaven on Desert mwambie kakamondi aongeze juhudi, mwakani nitaendelea kumpa support. One Love!
 
Hii nchi hatutakaa tuendelee kamwe manake wengi wetu tumejawa na wivu wa kijinga... Unaweza kuona Wasanii wenzake ndio wanaongoza kufurahia Diamond kukosa tuzo... roho ya kwanini inatutafuna!!! Hizi roho za kwanini zinatafuna hadi soka letu... utashangaa midume mizuri kufuri zinaning'inia kwenye suruali wanashangilia timu ya kigeni dhidi ya ile ya home... roho ya kwanini!!Wasanii na mashabiki wao wenye roho ya korosho hawafahamu kwamba Music Labels kubwa duniani zina ofisi South Africa na Nigeria coz' wanamuziki wa huko wanafahamika... sisi tunataka atoke yule tunayempenda sisi tu, aliyekuwa nominated kama si wetu basi heri akose ili TUKOSE WOTE... NI USHAMBA ULIOJE!!! Yaani hapa watu wanavyoongea unaweza kusema huwa wameshwahi kukaa meza moja na Diamond na kuna siku akamzingua kwahiyo hasira zake anaona heri akose tu... utashangaa, wengine hata kwenye show zake hawajawahi hata kwenda tuseme labda alikuzingua kwenye show!! Sasa chuki na bifu linatoka wapi... TUKOSE WOTE, kv uliyemtaka hakupata nafasi??? Kwani hakupata nafasi kwa ajili ya Diamond au hakupata nafasi kv hafahamu biashara ya muziki wa kisasa inafanyika vipi!!!Jambo moja lipo clear hapa! Wengi wenu mnaomponda hamjafikia japo nusu ya mafanikio yake... labda mumtishe na hivyo vi-degree vyenu mnavyosihia kulipwa salary ya Laki 6 kwa mwezi kabla ya kodi wala PPF!!! Labda hiki ndicho kingine kinatusumbua... tumesotaa weeee.... na ma-HGK, ma-PCM, ma-CBG na makadhalika... halafu anakuja mwingine anapiga short cut....aaaaargh, inaumiza aisee!!
 
attachment.php

Huyu Davido ana kipini puani kama cha Chidi Benz au macho yangu hayaoni vizuri?
 
watu wanapojadili muziki kaa kimya, kama umewajuwa mafikizolo mwaka huu pole nyinyi ndio mnaompotosha diamond.

Kwahiyo unanilazimisha kusema kile unachopenda, chuki ni mzigo mzito sana kubeba.
 
we peke yako ulikuwa huwajui ndo nyie mmeanza kusikiza mziki baada ya diamond kuanza kusikika...huna hadhi ya kubishana na watu haa jiandae uende tuition...mchikidown ukapge pindi!

Umevurugwa ww si bure.
 
The problem with you guys mnadhani kila mmoja ana equal and same taste in music as everyone else!!! Mtu kama sio mpenzi wa muziki wa SA, how do you expect atawafahamu Mafikizolo? Mtu kama si mpenzi wa Nigerian Music, how do you expect him/her amfahamu Davido? Fanyeni research... msije mkashangaa hadi leo kuna watu hawawafahamu P Square lakini wanawafahamu wanamuziki wa kawaida kabisa kutoka Mashujaa Band!!! BInafsi, sikupata kabisa kuupenda muziki wa Congo ingawaje back 1990's ndo ulikuwa una-hit lakini sikuwahi kuupenda! Na kama si kwamba enzi zile, hatukua na choices kwenye TV, sidhani hata kama hao akina Bongoman ningewafahamu lakini kv ndicho pekee kilikuwa kinaoneshwa na hakuna option unalazimika hivyo hivyo lakini niulize nikutajie nyimbo 3 za Bongoman, sizijui....

Mwisho, si kweli, NARUDIA, SI KWELI unaposema eti "kabla minanawe hawajamtoa Lady Jaydee!" Minanawe hawajamtoa Lady JD... Minanawe walfanya kolabo na Jide wakati tayari Jide alikuwa kwenye peak!!! Still nakumbuka kwenye mashindano ya Miss Tanzania ambapo Minanawe walialikwa kutumbuiza... wakataka kufanya ki-star... Jide akabaki nyuma ya pazia akisubiria ifike sehemu yake ya kuimba ili atokeze kwa-surprise huku akitegemea full makofi! Kama kawaida ya Watanzania, wakamchunia... as if kaongia mtu wa kawaida sana hadi ikafikia Jide anaomba kupigiwa makofi!!!!

Mkuu w ni great thinker.
 
Chuki zako kwa Diamond zinatokana na mahaba yako kwa Ally Kiba na wala huna sababu za msingi. Kwani Davido alikuwa anashindanishwa na Diamond? Zile ni tuzo jombi... ni mmoja tu ndie anapata na wengine wote kukosa. Ngoja nikuulize... umeshapata kuona matangazo ya nafasi za kazi? Watasema hivi: Minimum Requirement: University Degree in so and so... Hapa mwenye Diploma hapaswi kuomba unless kama hana akili timamu. Wenye hizi minimum requirement wataomba makumi kwa mamia ni ikibidi hata maelfu... utafuata mchujo wa kuondoa makapi, kisha utafanyika mchujo ili kupata pure breed... hii pure breed ndio itaitwa kwenye oral interview... hawa wote wana sifa sawa lakini anatakiwa mmoja! Yule atakayepata kazi huwezi kusema kwamba ndo mkali kuliko wote coz' miongoni mwa wote wenye sifa, aliyetakiwa ni mmoja tu, PERIOD! Katika hili, Diamond alikuwa na sifa za ziada... alipita hadi kwenye kapu la kutenganishwa kati yake na makapi... akaingia kwenye kundi la pure breed... among all, alitakiwa mmoja tu! Huyo Ally KIba anayekufanya umchukue Diamond hakuwemo hata kwenye kundi la makapi, seuze pure breed???!!!

Hilo la kwamba Diamond alisema yeye ndie alimtoa Davido, acha uongo wako usio na maana... alichosema ni kwamba alisaidia kumtangaza Davido Tanzania na hili ni kweli. Watu mnaobisha kwamba Diamond hakusaidia kumtangaza Davido Tanzania ni wale wenye mawazo kale mnaodhani kila mtu anapenda muziki wa Nigeria, so kwavile Davido ni Nigerian Star basi atakuwa anafahamika na kila mtu... this's wrong!!! Wapo watu kibao, including myself ambao we're more crazy in Bongo Flavor kuliko NIgerian Music. Binafsi, nilimfahamu Martin (hata sikumbuki jina lake vizuri) baada ya kufanya kolabo na Ommy Dimpoz na AY/Mwana-FA! Sasa ikiwa mfuatiliaji wa muziki amemfahamu Martin kupitia wana-Bongo Flavor, what about mtu asiyefuatilia?

nazdaz
Kwanza bange zako peleka kwenu,hakuna aliyemtaja allykiba hapa..

Pili,kama umenielewa tangu mwanzo simchukii diamond wala mzki wake ila nachukia mbwembwe zake za kitoto(mfano:kumtuma afisa habar wake kuja kutudanganya kuwa jina lake limewekwa kwenye HWF wakat hata tupac mwaka huu ndo atawekwa).

TATU,diamond hakusema "nimesaidia kumtangaza davido tz" yeye alisema "nimemtoa davido" hakuweka neno lingne lolote mbele,kama hayo maneno aliwapa mkiwa geto,who is to blame.?mimi au yey.?na hata kama angesema hvo kulikua na haja gani kwani davido amewahi kusema "nimemtoa diamond kimataifa",.?

Alafu kwanni mashabiki wa diamond mnaumizwa sana Allykiba aliyefulia.?Kila kitu nyie mnamuingiza Allykiba wakat huohuo mnasema amefulia,je angekua hit si mngekufa kabsa nyie.?

NasDaz
 
Last edited by a moderator:
Samahani mbona mnapenda kupotosha ,hata kama mtu hamkubali si kiivyo mnafanya,si kweli kuwa alienda na idadi hiyo mnayoikuza hapa..Diamond aliondoka hapa na dancers coz alienda kuperfome,baby ake,mama na meneja baasi..wengine walienda kikakzi kama millard ,missago ..pia wpo walienda kwa mapenzi kabisa na kwa nauri zao kwenda kutoa sapoti..na mbona hiyo ni kawaida wasanii kwenda na wapambe wao kwenye tuzo..mbna kina davido na wasanii wengine walipokuwa wanaenda kuchukua tuzo walikua wanaenda na rundo la watu wao pale stejini hamkuona hayo??acheni bana hizo..

Vipi kuhusu madam kwenda maana siku tu ya nomination zimetoka akasema cant wait to see my sisters LA vp wapambe BET hawajawaruhusu lol
 
Ebu usituchekeshe apa, zile kura zilikuwa ni za wa tz tu, ndomo awashinde akina davido kwa lip?
hicho nilikigundua mapema saana kuona kwa nin wale washindani wengine hawana kura alafu wanajulikana afrika nzima wakati huyu wakwetu anajulikana bongo tu na nchi chache za jirani alafu ana kura kibao
 
Hii nchi hatutakaa tuendelee kamwe manake wengi wetu tumejawa na wivu wa kijinga... Unaweza kuona Wasanii wenzake ndio wanaongoza kufurahia Diamond kukosa tuzo... roho ya kwanini inatutafuna!!! Hizi roho za kwanini zinatafuna hadi soka letu... utashangaa midume mizuri kufuri zinaning'inia kwenye suruali wanashangilia timu ya kigeni dhidi ya ile ya home... roho ya kwanini!!Wasanii na mashabiki wao wenye roho ya korosho hawafahamu kwamba Music Labels kubwa duniani zina ofisi South Africa na Nigeria coz' wanamuziki wa huko wanafahamika... sisi tunataka atoke yule tunayempenda sisi tu, aliyekuwa nominated kama si wetu basi heri akose ili TUKOSE WOTE... NI USHAMBA ULIOJE!!! Yaani hapa watu wanavyoongea unaweza kusema huwa wameshwahi kukaa meza moja na Diamond na kuna siku akamzingua kwahiyo hasira zake anaona heri akose tu... utashangaa, wengine hata kwenye show zake hawajawahi hata kwenda tuseme labda alikuzingua kwenye show!! Sasa chuki na bifu linatoka wapi... TUKOSE WOTE, kv uliyemtaka hakupata nafasi??? Kwani hakupata nafasi kwa ajili ya Diamond au hakupata nafasi kv hafahamu biashara ya muziki wa kisasa inafanyika vipi!!!Jambo moja lipo clear hapa! Wengi wenu mnaomponda hamjafikia japo nusu ya mafanikio yake... labda mumtishe na hivyo vi-degree vyenu mnavyosihia kulipwa salary ya Laki 6 kwa mwezi kabla ya kodi wala PPF!!! Labda hiki ndicho kingine kinatusumbua... tumesotaa weeee.... na ma-HGK, ma-PCM, ma-CBG na makadhalika... halafu anakuja mwingine anapiga short cut....aaaaargh, inaumiza aisee!!

Inaelekea kila sehemu unayopita unakuta watu wanasifia elimu wakati wewe hauna hivo hasra zako ni kutukana degree za watu..

Ebu sikiliza we pimbi,kwa sisi watu waelewa hatujatafta elimu ili itupe mshahara ila tumetafta elimu ili itupe uelewa wa kipi ni sawa na kipi sio sawa,huwez kukuta msanii mwenye elimu kma niki mbishi anavua suruali jukwaani,au anasema nina bilion1 benki wakat hana,au aNaandikwa kwa mambo ya kitoto kila siku kwenye magazet..

Hiyo ndo faida ya elimu,generally ukiwa na elimu unaishi kwa amani zaid ya yule asie na elimu hata kama amekuzidi mafanikio..

Kama elimu ingekua na maana ya mshahara kama unavotuamisha wewe familia tajiri zisingesomesha watoto wao..

Sumaye alisoma wakat tayar ana kila kitu,umaarufu,pesa na heshima nchini,lakin bado akarudi darasani,alafu wewe na bange zako za sinza unataka u underestimate elimu.!!!!!

NasDaz
 
Last edited by a moderator:
Mwenzangu kumbe unakumbuka bibi bomba alivyokuwa akijishau? Manina tupa kule kimekuwa kipole kama hakipo, ngoja nikamchambe kwanza uko insta nimpe swaumu vzur

Hahahaaaa binamu utamtoa Swaumu bana kuwa na Subra
 
Nadhani vigezo vya kumpata mshindi vitakuwa ni Kura, na sisi wote tunajua Nigerians ni wengi sana ( takribani 200m), na wana muamko sana kimaisha kuliko nchi yeyote kwa afrika, so you can easily predict the results.

But kama ni ukali wa muziki kati ya diamond, Davido na mafikizolo, I would bet for mafikizolo, diamond and last huyu kanjanja wa ki Nigeria.

Masikhara hayo..
My number one iwe mbele ya AYE au EBENADO ya TIWA SAVAGE.???
 
Wewe una matatizo gani? Kwan kuna mtu aliyefungwa kamba au kulazimishwa kumsifia mtu? Ebu acha mambo yako ya kizamani apa, wewe kama unamsifia na kumuabudu fanya kivyako kwa mapenzi yako na muda wako usitake kutuletea habar zako, ndomo ndomo hatupumui

Hahaaa binamu mwambie huyo kwan lazima hata 9ja wapo wanaoponda Davido waangalie blog zao wasome comments
 
Ndio Dangote ndio aliomtoa Davido East Africa kwani mwanzoni tulikuwa hatumfahamu kabisa.

Sio tulikuwa sema ulikuwa usimsemee wenzio bana.... Davido asingejulikana Ruge asingemuita Fiesta, Domo kamjulia Davido kwenye fiesta ndio wakafanya remix ya my number one.

Kaa humo
 
Afu cha ajabu siku hizi hadi chuki ziko kwa watoto wa kiume wenye ndevu zao,,teh teh teh hizo mambo waachieni kina dada. Unamponda Diamond wakati hata robo ya mafanikio yake hujayapata ndio kwanza unakaa kwenu unagombea maandazi na wadogo zako.

Diamond kajitahidi hapo alipo sio jambo dogo ila kashindanishwa na wakali zaidi yake na davido alistahili kuchukua no doubt. Ila waBongo tupunguze chuki.


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom