Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Davis Mosha ajuta kumfahamu Le Mutuz, amuuzia Sallam TV na radio yake

Ni kweli unachosema mkuu!

Sijasema yeye kufeli Swahili Media kua hafai,hapana...

Nachosema ni kua,akubali kua hajui vitu vyote,Media imemshinda!....No shame kukubali uliposhindwa na ku-move on!

Ukisema akina Mosha walishindwa kitu,unaonekana wewe ni mbaya,snitch,una wivu,etc..Wakati ni true it happened!

Na ukicheck trend za watu kama akina Mosha,hawezi biashara zinazotaka KNOW-HOW!

Yaani biashara yoyote yenye "technicality" tu,hua hawawezi!
Mimi ninaamina ukiwa investor hutakiwi kujua vitu vyote. Ila unachotakiwa na kuajiri smart people and pay them well. Inawezekana hapo kwenye kuajiri smart people ndio alipokosea au aliingizwa mjini na mtoto wa Kigogo
 
Mimi ninaamina ukiwa investor hutakiwi kujua vitu vyote. Ila unachotakiwa na kuajiri smart people and pay them well. Inawezekana hapo kwenye kuajiri smart people ndio alipokosea au aliingizwa mjini na mtoto wa Kigogo

Mkuu


Upo sahihi mno!

Hapo ndipo nadhani ana udhaifu mkubwa!Na nimeshaizungumzia kwenye post zangu za mwanzo,kua jamaa anaelekea ana udhaifu mkubwa sana kwenye ku-identify business talent na kuisimamia na uzalishaji ukatokea.

Na pia nimekua shocked sana na sifa anazopewa kua ni mjanja,mtoto wa mjini,nk..Sasa sijui inakuaje anaingizwa mjini na watu hovyo kabisa kama Lemutuz?..It shows kabisa Mosha yupo overrated sana as a "talented" businessman!

I wonder,how on this earth Mosha anaesifika eti anaingizwa mjini na mtu mjinga kabisa TZ kama Lemutuz and his cronies?

Mosha hana akili kama tunavyoaminishwa!

To prove my point,naomba watuambie ukiacha malori ya kubeba mafuta ya Kobil,na mgahawa anaouita "Hoteli",Mosha ana-run kitu gani kingine monumental?.....I wait!
 
Mkuu


Upo sahihi mno!

Hapo ndipo nadhani ana udhaifu mkubwa!Na nimeshaizungumzia kwenye post zangu za mwanzo,kua jamaa anaelekea ana udhaifu mkubwa sana kwenye ku-identify business talent na kuisimamia na uzalishaji ukatokea.

Na pia nimekua shocked sana na sifa anazopewa kua ni mjanja,mtoto wa mjini,nk..Sasa sijui inakuaje anaingizwa mjini na watu hovyo kabisa kama Lemutuz?..It shows kabisa Mosha yupo overrated sana as a "talented" businessman!

I wonder,how on this earth Mosha anaesifika eti anaingizwa mjini na mtu mjinga kabisa TZ kama Lemutuz and his cronies?

Mosha hana akili kama tunavyoaminishwa!

To prove my point,naomba watuambie ukiacha malori ya kubeba mafuta ya Kobil,na mgahawa anaouita "Hoteli",Mosha ana-run kitu gani kingine monumental?.....I wait!
Nielimishe ametapeliwa kivipi?
 
Ngoj
Mkuu


Upo sahihi mno!

Hapo ndipo nadhani ana udhaifu mkubwa!Na nimeshaizungumzia kwenye post zangu za mwanzo,kua jamaa anaelekea ana udhaifu mkubwa sana kwenye ku-identify business talent na kuisimamia na uzalishaji ukatokea.

Na pia nimekua shocked sana na sifa anazopewa kua ni mjanja,mtoto wa mjini,nk..Sasa sijui inakuaje anaingizwa mjini na watu hovyo kabisa kama Lemutuz?..It shows kabisa Mosha yupo overrated sana as a "talented" businessman!

I wonder,how on this earth Mosha anaesifika eti anaingizwa mjini na mtu mjinga kabisa TZ kama Lemutuz and his cronies?

Mosha hana akili kama tunavyoaminishwa!

To prove my point,naomba watuambie ukiacha malori ya kubeba mafuta ya Kobil,na mgahawa anaouita "Hoteli",Mosha ana-run kitu gani kingine monumental?.....I wait!
Ngoja watakuja mkuu
 
Nielimishe ametapeliwa kivipi?

Kaulize how Lemutuz and his people convinced the "Bilionea" Davis Mosha to fund the opening of Swahili Media..

What happened was that..Swahili Media was a total failure,and he was forced to sell!

Cha kushangaza,hujasoma heading ya hii thread?

Au umechangia bila kuelewa theme ya uzi?

Au ungemuuliza mleta uzi akueleze vizuri what happened!
 
Mkuu


Upo sahihi mno!

Hapo ndipo nadhani ana udhaifu mkubwa!Na nimeshaizungumzia kwenye post zangu za mwanzo,kua jamaa anaelekea ana udhaifu mkubwa sana kwenye ku-identify business talent na kuisimamia na uzalishaji ukatokea.

Na pia nimekua shocked sana na sifa anazopewa kua ni mjanja,mtoto wa mjini,nk..Sasa sijui inakuaje anaingizwa mjini na watu hovyo kabisa kama Lemutuz?..It shows kabisa Mosha yupo overrated sana as a "talented" businessman!

I wonder,how on this earth Mosha anaesifika eti anaingizwa mjini na mtu mjinga kabisa TZ kama Lemutuz and his cronies?

Mosha hana akili kama tunavyoaminishwa!

To prove my point,naomba watuambie ukiacha malori ya kubeba mafuta ya Kobil,na mgahawa anaouita "Hoteli",Mosha ana-run kitu gani kingine monumental?.....I wait!
First things first, wewe unamiliki nini?
 
Kaulize how Lemutuz and his people convinced the "Bilionea" Davis Mosha to fund the opening of Swahili Media..

What happened was that..Swahili Media was a total failure,and he was forced to sell!

Cha kushangaza,hujasoma heading ya hii thread?

Au umechangia bila kuelewa theme ya uzi?

Au ungemuuliza mleta uzi akueleze vizuri what happened!
Yy anasema wameikodisha
 
First things first, wewe unamiliki nini?

Namiliki pumbu zangu!

Na wewe unamiliki nini kumtetea?

Humiliki kitu kama mimi,wewe unamtetea na mimi simtetei,we are both shit!

Kwavile hujui kucheza mpira professionally huruhusiwi kumuongelea Messi?

Stop being clown!
 
- Hahaha MArekani mimi nilikuwa najisomesha College wao wanalinda usiku na kulea matahira halafu unasema ninafanana nao? wao wamebaki mimi nimerudi mwendo ni ule ule hahahahaha pole sana!

le Mutuz
Hakuna kitu ulijisomesha zaidi ya kozi ya kingereza kisha ukafukuzwa America na kwenda Huko Dsm na kukaa kwao nyumba moja na House
 
Mkuu


Upo sahihi mno!

Hapo ndipo nadhani ana udhaifu mkubwa!Na nimeshaizungumzia kwenye post zangu za mwanzo,kua jamaa anaelekea ana udhaifu mkubwa sana kwenye ku-identify business talent na kuisimamia na uzalishaji ukatokea.

Na pia nimekua shocked sana na sifa anazopewa kua ni mjanja,mtoto wa mjini,nk..Sasa sijui inakuaje anaingizwa mjini na watu hovyo kabisa kama Lemutuz?..It shows kabisa Mosha yupo overrated sana as a "talented" businessman!

I wonder,how on this earth Mosha anaesifika eti anaingizwa mjini na mtu mjinga kabisa TZ kama Lemutuz and his cronies?

Mosha hana akili kama tunavyoaminishwa!

To prove my point,naomba watuambie ukiacha malori ya kubeba mafuta ya Kobil,na mgahawa anaouita "Hoteli",Mosha ana-run kitu gani kingine monumental?.....I wait!
Kuna Apartments Sinza Mori zinaitwa Delina ni za Mosha
 
Matola unafeli mno...

Wewe unadhani uhuru ni consumer based perception kama unavyotoa hapo?

Inaonesha unaendeshwa na consumerism tupu.Mtu hapimwi katumia nini wewe mtu,mtu anapimwa kaleta turnover au kabadili sector au maisha ya watu kwa kiwango gani na sio hayo unayofikiria.

Kununua nyumba London,kwenye physical address ipi wewe?Anaweza kununua apartment au lower end housing unit ambayo waTZ wengi tu tena wafanyakazi wa mashirika hapo sijasemea wafanyabiashara wanazo huko na mifano ninayo,hawezi nunua nyumba ya say 12mil GBP wewe,kafie huko!

Nyumba watu wa kawaida wengi TZ wananunua UK,US,etc...zinapoanza kuzidi 3mil USD ndio hata Mosha hakatizi.To begin with,Mosha ameshindwa kua na residence Masaki,hawezi na hana hela hiyo,hivyo by deduction units anazoweza nunua abroad ni lower end and very cheap na vichache...Case closed!

Kuhusu safari,mkuu hebu kua serious....wafanyakazi wa serikali wenye mishahara midogo wanaenda na familia zao kila mwaka,sembuse mfanyabiashara?Ndio kitu cha kuongelea hapa kua ni maendeleo mkuu?Tuweni serious.

Ukweli ni kua,Mosha ameshindwa kuendesha ile media company sababu ana akili ndogo,competition ni kali,inatakiwa ubunifu masaa 24 ili media company isimame,theory yangu inabaki palepale,yeye anaweza biashara zisizohitaji know-how kama biashara ya malori...

Kawa exposed,he has been smoked!

Kubalini tu,sio lazima ajue kila kitu,yeye ni kibaraka wa CCM sio mfanyabiashara....ni mwanasiasa uchwara who happen to do business to make a living...mfanyabiashara wa kweli humkuti kwenye siasa,ni 100% kwenye biashara aka Bakheresa,Mengi and others..Fake businessmen are Mo Dewji,Manji,Mosha na wengine unaowaona NEC ya CCM humo...

Hey,one another thing...hawa ni wachezaji sisi ni washabiki,ndio maana wewe unaweza kumlaumu Messi kwanini anacheza vibaya au Ronaldo au Salah,kwanini wewe binafsi siende kucheza kama unajua sana?Jibu ni kua sisi ni washabiki,wao ni wachezaji,tunaruhusiwa kuchambua the way we want about them ndio maana ni public people.Hivyo ninavyokaa hapa namchambua Mosha nipo sawa kabisa japo mimi sio mchezaji kama yeye!
Mkuu nimekusoma umeua mbaya.. lkn nina swali moja.. Huku Africa ni ngumu sana kutenganisha Siasa na Biashara.. Kama huamini njoo uingalie ITV imekuwa kama TBC... Angalia tuu heading za Nipashe . Kwa Africa ni ngumu sana mkuu.. ila nimekukubali unavyofikiria njee ya box.. Big UP
 
Huu uzi una mengi ya kujifunza lakini muache kutukanana.....wyatt na Ndjabu....

Just a small point. Rostam hakusoma Cambridge alisoma LSE, London School of Economics. Equally one of the very top education institution in the world.

Kuhusu biashara na siasa, sijawahi kuona mfanyabiashara aliyejipendekeza au kujiweka karibu na wanasiasa akawa na mwisho mzuri. Not in Africa.

In fact in sasa hivi utawala WA JPM umeanza kuwa expose. Wengi WA hawa wafanyabiashara wameishi kwa kukwepa kodi. Wakati walikuwa wanaaminisha umma kwamba in mafanikio yao. Ndo maana wengi Sasa hivi uhai wao kwenye biashara uko mashakani.
 
Huu uzi una mengi ya kujifunza lakini muache kutukanana.....wyatt na Ndjabu....

Just a small point. Rostam hakusoma Cambridge alisoma LSE, London School of Economics. Equally one of the very top education institution in the world.

Kuhusu biashara na siasa, sijawahi kuona mfanyabiashara aliyejipendekeza au kujiweka karibu na wanasiasa akawa na mwisho mzuri. Not in Africa.

In fact in sasa hivi utawala WA JPM umeanza kuwa expose. Wengi WA hawa wafanyabiashara wameishi kwa kukwepa kodi. Wakati walikuwa wanaaminisha umma kwamba in mafanikio yao. Ndo maana wengi Sasa hivi uhai wao kwenye biashara uko mashakani.
mkuu hivi kwenye serikali hii kuna Mfanyabiashara ambae hajipendekezi kwenye serikali.. Unaona jinsi wapinzani wafanyabiashara wanafilisiwa? nitajie tajiri hata mmoja ambae yupo Upinzani hapa Tz
 
mkuu hivi kwenye serikali hii kuna Mfanyabiashara ambae hajipendekezi kwenye serikali.. Unaona jinsi wapinzani wafanyabiashara wanafilisiwa? nitajie tajiri hata mmoja ambae yupo Upinzani hapa Tz
Ukiwa tajiri achana na mwanasiasa, jifanye huna chama
 
mkuu hivi kwenye serikali hii kuna Mfanyabiashara ambae hajipendekezi kwenye serikali.. Unaona jinsi wapinzani wafanyabiashara wanafilisiwa? nitajie tajiri hata mmoja ambae yupo Upinzani hapa Tz
Hata Devis mosha anaogopa kumfukuza Le mutuz kwa sababu Le mutuz atamchongea unaa kwa Maliyamungu Bashite na kwa viongozi wegine wakubwa.
 
Back
Top Bottom